Kamati Ya Bunge Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Chini Ya Mwenyekiti Wake Edward Lowassa Yaanza Ziara ya Siku 14 katika Balozi za Tanzania Kwenye nchi za Marekani,Canada,Uingereza na Asia Kukagua Namna Zinavyotekeleza Mambo ya Sera na Uchumi
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Edward Lowassa.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Edward
Lowassa akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari
kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es
Salaam jana, muda mfupi kabla ya wajumbe wa kamati hiyo kuelekea nchini
Canada, Marekani na Uingereza kwa ziara ya kujifunza.
Baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo.Picha Zote na Mpiga Picha Maalum wa Francis Dande
Posted by Editor
on 11:21.
Filed under
eastafricannews,
feature
.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0