Share this Post

dailyvideo

Kamati Ya Bunge Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Chini Ya Mwenyekiti Wake Edward Lowassa Yaanza Ziara ya Siku 14 katika Balozi za Tanzania Kwenye nchi za Marekani,Canada,Uingereza na Asia Kukagua Namna Zinavyotekeleza Mambo ya Sera na Uchumi

 Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Edward Lowassa.
  Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Edward Lowassa akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jana, muda mfupi kabla ya wajumbe wa kamati hiyo kuelekea nchini Canada, Marekani na Uingereza kwa ziara ya kujifunza.
Baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo.Picha Zote na Mpiga Picha Maalum wa Francis Dande

Posted by Editor on 11:21. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for Kamati Ya Bunge Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Chini Ya Mwenyekiti Wake Edward Lowassa Yaanza Ziara ya Siku 14 katika Balozi za Tanzania Kwenye nchi za Marekani,Canada,Uingereza na Asia Kukagua Namna Zinavyotekeleza Mambo ya Sera na Uchumi

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery