Share this Post

dailyvideo

KICHANGA CHATUPWA KWENYE DAMPO LA TAKATAKA MTAA WA SOWETO JIRANI NA SOKO LA CCM

 Kichanga kikiwa kimetupwa katika Dampo hilo la Takataka Soweto Mbeya

Baadhi ya akina Mama na watu wengine waliofika eneo hilo ktazama kichanga hicho ambapo Mama  Mzazi hajafahamika. Hata hivyo Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi.
Picha na Allt Kingo Mbeya Yetu

Posted by Editor on 10:18. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for KICHANGA CHATUPWA KWENYE DAMPO LA TAKATAKA MTAA WA SOWETO JIRANI NA SOKO LA CCM

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery