Share this Post

dailyvideo

MISS UTALII TANZANIA KUFANYIKA SIKU YA UHURU KILA MWAKA



Bodi ya Taifa ya Mashindano ya Miss Utalii Tanzania /Moiss Tourism Tanzania Organisation, imetangaza kalenda ya kudumu ya mashindano ya Miss Utalii Tanzania  kila mwaka. Kuanzia mwaka huu fainali za Taifa za mashindano hayo zitakuwa zikifanyika mwezi Disemba ,sambamba na sherehe za Uhuru wa Tanzania."Mashindano haya ni Alama ya Urithi wa Taifa" hivyo siku ya taifa la Tanzania ni siku ya Disemba 9, ambapo watanzania wote wanaadhimisha silu ya uhuru wa Tanzania, hivyo tumeona ni vyema mashindano ya Miss Utalii Tanzania yakawa ni sehemu ya sherehe ya uhuru wa Tanzania, ili kuonyesha na kutangaza Utalii na utamaduni wa Tanzania kitaifa na kimataifa kila mwaka,ambapo watanzania nchi nzima wataungana na warembo wa Miss Utalii Tanzania katika ngazi zote kusherekea siku ya uhuru katika moja ya vivutio vya utalii vilivyopo katika mikoa yao na taifa, huku wakitangaza pia utamaduni,bidhaa na mianya ya uwekezaji ya Tanzania kila mwaka

Tembelea website hapa chini kupata update zote za Miss utalii Tanzania.

Posted by Editor on 12:42. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for MISS UTALII TANZANIA KUFANYIKA SIKU YA UHURU KILA MWAKA

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery