Share this Post

dailyvideo

MWANANCHI ALIYEOKOLEWA NA ASKARI WA MUHIMBILI KUTOKA MIKONONI MWA MADAKTARI WENYE HASIRA


Askari wa Hospitali ya Muhimbili, wakimuokoa mwananchi aliyenusurika kwa kipondo cha aja kutoka kwa Madaktari waliomshuku kuwa jamaa huyu ni mmoja kati ya watu wa usalama wakati akikatiza anga hizo walipokuwa katika harakati za kumsaidia kiongozi wao, ambapo walimvamia na kuanza kumshambulia kabla ya kuokolewa na askari hao.

Hata hivyo Kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Kamanda Suleiman Kova, akizungumza na waandishi wa habari jana alionya juu ya wananchi kuchukua sheria mikononi bila kufuata sheria kwa  kuwa zinaweza kuleta madhara hata kwa ndugu zao kwani kachelo huyo alikuwa kazini  na ndiye aliyefanya kazi kubwa kuhakikisha kuwa suala la  Dk. Steven Ulimboka linashughulikiwa vizuri ikiwa ni pamoja na kuletwa hospitalini hapo. 

Picha kwa hisani ya  Full Shangwe

Posted by Editor on 19:41. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

2 comments for MWANANCHI ALIYEOKOLEWA NA ASKARI WA MUHIMBILI KUTOKA MIKONONI MWA MADAKTARI WENYE HASIRA

  1. Anonymous

    Huyo ni mwanachi tuu.. Au ni mwananchi Kachelo??? Haijawa clear hapo... Sidhani kama ni sahihi kuonesha kuwa haata nyie mnaficha... Inaweza kuibua hisia tofauti kwa waatu... Huyo ni Kachero, watu wakijua ni mwananchi tu, hisia ni tofauti na wakijua ni Kachero! Au ndo uandishi wenyewe huo labda... Hi hi hiiiii...!!

  2. Anonymous

    huyu wala sio mwanamchi bali ni afisa wa polisi.
    Nakupa pole afande Mokily kwa tukio hilo, ila madaktari waliompiga wanastahili kuchukuliwa hatua hakuna kuwanyamazia hawa

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery