Taswira Za Washiriki wa Shindano la Redds Miss Mara 2012
Washiriki wa shindano la Redds Miss Mara 2012 wakiwa katika picha
ya pamoja katika ufukwe wa Ziwa Victoria, mkoani Mara baada ya mazoezi
yao jana. Warembo hao wanataraji kupanda jukwaani Ijumaa, Juni 29, 2012
kuchuana vikali kuwania taji la mkoa wa mara na tiketiketi ya Kushiriki
shindano la Redds Kanda ya Ziwa.Picha na Mpigapicha Wetu
Posted by Editor
on 17:00.
Filed under
entertainmentnews
.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0