WANAHABARI WAZUIWA NA NDUGU KUZUNGUMZA NA Dk ULIMBOKA
Askari wakilinda usalama jana wakati Dk. Ulimboka anafikishwa Hospitali ya Taifa Muhimbi, kupata matibabu.
Mchana huu sakata limetokea kati ya ndugu wa Dk. Ulimboka na waandishi wa habari waliotakiwa na Ulimboka kufanya nao mkutano, kukukataliwa kuingia chumba cha ICU, WAKIHOFIA USALAMA WAKE.
Licha ya madaktari kuwakubalia wanahabari kuingia lakini ndugu, akiwemo dadake walikataa katakata. Ndipo Madakatari walipoamua kuchukua wao rekoda na kamera za wanahabari na kwenda kumpiga picha pamoja na kumrekodi
Chanzo: Michuzi Blog
Chanzo: Michuzi Blog
Posted by Editor
on 19:03.
Filed under
eastafricannews,
feature
.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0