Share this Post

dailyvideo

Kozi ya Uongozi ya FIFA yamalizika

Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe (wa pili kushoto) akipokea tuzo kutoka kwa mkufunzi wa FIFA kutoka Botswana, Sinca Kanyemvu wakati wa Kozi ya FIFA ya Utawala na Usimamizi (Administration and Management) iliyoendeshwa kwa wadau mbalimbali wa  soka Tanzania wakiwemo makatibu wa vyama vya mpira na uongozi wa TFF. Kozi hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa Msimbazi Centre Jijini Dar es  Salaam kuanzia Agosti 6-11, 2012. Bia ya Kilimanjaro Premium Lagerndio mdhamini wa Timu ya Taifa (Taifa Stars) na vilabu vya Simba na Yanga. Wengine kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa TFF, Ossiah Angetile, Rais wa TFF, Leodgar Tenga na Mkufunzi wa FIFA, Barry Bukoro kutoka Namibia.
Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe akkiwahutubia washiriki wa wa Kozi ya FIFA ya Utawala na Usimamizi (Administration and Management) iliyoendeshwa kwa wadau mbalimbali wa soka Tanzania wakiwemo makatibu wa vyama vya mpira na uongozi wa TFF. Kozi hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa Msimbazi Centre Jijini Dar es  Salaam kuanzia Agosti 6-11, 2012. Bia ya Kilimanjaro Premium Lager ndio mdhamini wa Timu ya Taifa (Taifa Stars) na vilabu vya Simba na

Yanga.
 Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe akisalimiana na Mkurugenzi wa Ufundi wa TFF, Saad Kawemba wakati wa Kozi ya FIFA ya Utawala na Usimamizi (Administration and Management) iliyoendeshwa kwa wadau mbalimbali wa soka Tanzania wakiwemo makatibu wa vyama vya mpira na uongozi wa TFF.
 Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe akimkabidhi cheti Beatrice Mgaya kutoka Tanga wakati wa Kozi ya FIFA ya Utawala na Usimamizi (Administration and Management)  liyoendeshwa kwa wadau mbalimbali wa soka Tanzania wakiwemo makatibu wa vyama vya mpira na

uongozi wa TFF. Kozi hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa Msimbazi Centre Jijini Dar es Salaam kuanzia Agosti 6-11, 2012. Bia ya Kilimanjaro Premium Lager ndio mdhamini wa Timu ya Taifa (Taifa Stars) na vilabu vya Simba na Yanga
 Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe akimkabidhi cheti Rais wa TFF Leodgar Tenga wakati wa Kozi ya FIFA ya Utawala na Usimamizi (Administration and Management) iliyoendeshwa kwa wadau mbalimbali wa soka Tanzania wakiwemo makatibu wa vyama vya mpira na

uongozi wa TFF.
Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe (mwenye shati jeupe) akiwa kwenye picha ya pamoja na washiriki wa Kozi ya FIFA ya Utawala na Usimamizi (Administration and Management) iliyoendeshwa kwa wadau mbalimbali wa soka Tanzania wakiwemo akatibu wa vyama vya mpira na uongozi wa TFF.
Kwa Hisani ya Father Kidevu Blog

Posted by Editor on 17:02. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for Kozi ya Uongozi ya FIFA yamalizika

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery