Share this Post

dailyvideo

MAHARAMIA WA KAZI ZA WASANII WAZIDI KUKAMATWA


 Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama akionyesha CD na DVD feki zenye thamani ya sh.milioni 11 zilizokamatwa katika eneo la Mbagala jijini Dar es Salaam leo, wakati wa operesheni ya kuwakata wezi wa kazi za wasanii inayoendeshwa na kampuni hiyo kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi
 Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama akionyesha CD na DVD feki zenye thamani ya sh.milioni 11 zilizokamatwa katika eneo la Mbagala.
 Msama akionyesha mashine zinazotumika katika kurudufu kazi za wasanii.Picha na Habari Mseto Blog.

Posted by Editor on 20:43. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for MAHARAMIA WA KAZI ZA WASANII WAZIDI KUKAMATWA

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery