Share this Post

dailyvideo

IKULU:Rais Jakaya Kikwete awasili Muscat Oman kwa Ziara Rasmi ya Kikazi ya Siku tatu

 Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Sultani wa Oman Qaboos bin Said Al Said wakipokea heshima za viongozi muda muda mfupi baada ya Rais Kikwete kuwasili jijini Muscat Oman leo mchana kwa ziara rasmi(State Visit) ya siku tatu nchini Oman.
 
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mwenyeji wake Sultani wa Oman Qaboos bin Said Al Said katika kasri la Sultani jijini Muscat leo.Picha na Freddy Maro-IKULU

Posted by Editor on 23:30. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for IKULU:Rais Jakaya Kikwete awasili Muscat Oman kwa Ziara Rasmi ya Kikazi ya Siku tatu

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery