Share this Post

dailyvideo

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana na ujumbe wa Kampuni ya Labiofam kutoka Cuba


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Mahadhi Juma Maalim (Mb.) (katikati),  akiwa katika picha ya pamoja na Dkt. Jose Antonio Fraga Castro (kushoto), Mkurugenzi wa Kampuni ya LABIOFAM ya Cuba na Mhe. Jorge Luis Lopez Tormo (kulia), Balozi wa Cuba hapa nchini mara  baada ya kuzungumza nao kuhusu kampuni hiyo. Kampuni ya Labiofam inajenga kiwanda cha kutengeneza madawa ya kuulia vimelea vya malaria huko Kibaha.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Mahadhi Juma Maalim (Mb.) (katikati),  akiwa katika picha ya pamoja na Dkt. Jose Antonio Fraga Castro (kushoto), Mkurugenzi wa Kampuni ya LABIOFAM ya Cuba na Mhe. Jorge Luis Lopez Tormo (wa kwanza kulia), Balozi wa Cuba hapa nchini na wajumbe wengine waliofuatana nao kutoka Cuba . Kushoto ni Bi. Upendo Mwasha, Afisa Mambo ya Nje.

Posted by Editor on 14:30. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana na ujumbe wa Kampuni ya Labiofam kutoka Cuba

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery