Share this Post

dailyvideo

MVULANA NA MSICHANA WAJINYONGA HADI KUFA BAADA YA WAZAZI KUKATAA WASIOANE



Mkasa huu
umetokea huko Congo.
Wapenzi hawa wawili waliamua kuchukua jukumu la
kujinyonga kwa kujininginiza kwenye mti hadi kufa baada ya wazazi wa
mvulana kukataa mtoto wao asimuoe msichana huyo.
Baada ya jitihada zao
za kuwashawishi kushindikana basi waliamua kuchukua hatua hiyo ya
kujinyonga....Wazazi tuwe makini na maamuzi yetu mbele ya watoto
NA Juma Mtanda Blog

Posted by Editor on 18:05. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for MVULANA NA MSICHANA WAJINYONGA HADI KUFA BAADA YA WAZAZI KUKATAA WASIOANE

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery