Rais Kikwete ahudhuria Mkutano wa 33 wa SADC mjini Lilongwe, Malawi, leo
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi na
baadhi ya wakuu wa nchi za SADC muda mfupi baada ya ufunguzi wa mkutano
wa 33 SADC uliofanyikaKatika ukumbi wa Bingu International Conference
centre,mjini Lilongwe Malawi leo.Wengine katika picha kutoka kushoto ni
Naibu Waziri Mkuu wa Namibia Marko Hausiku,Makamu wa Rais wa Zambia
Dr.Guy Scott,Rais wa Afrika ya Kusini Jacob Zuma, Rais Joseph Kabila wa
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo(DRC),Rais Dkt.Jakaya Kikwete,Mwenyeji
Rais Dkt.Joyce Banda wa Malawi, Rais Armando Emilio Guebuza wa
Msumbiji,Katibu Mtendaji wa SADC anayemaliza muda wake Dkt.Tomaz
Salomao, Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe, na Rais Ian Khama wa Botswana.
Chini Rais Kikwete akiongea na mwenyeji wa mkutano huo Rais Dkt. Joyce
Banda wa Malawi.
Picha na Freddy Maro wa Ikulu
Posted by Editor
on 17:37.
Filed under
.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0