SHUGHULI MBALIMBALI ZA RAIS KIKWETE AKIWA MJINI DAVOS, USWISI
Rais
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa mkutano wa kujadili
namna ya kuongeza kasi ya uboreshaji wa kilimo uliofanyika mjini
Davos,Uswisi usiku wa kuamkia leo Januari 23, 2014.
Rais
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Naibu Waziri Mkuu wa
Uingereza,Mhe. Niuck Clegg wakati walipokutana na kufanya mazungumzo
katika hoteli ya Sheraton mjini Davos, Uswisi leo Janaury 23, 2014.
Rais
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu
wa kampuni ya JETRO ya Japan katika hoteli ta Sheraton mjini
Davos, Uswisi leo January 23, 2014.
Rais
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mwenyekiti na
Mtendaji Mkuu wa kampuni ya JETRO ya Japan katika hoteli ta Sheraton
mjini Davos, Uswisi leo January 23, 2014.
Rais
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mkuu wa Shirika
la Maendeleo ya Kimataifa ya Marekani (USAID) Mhe Rajiv Shah katika
ukumbi wa mikutano wa Davos, Uswisi, January 23, 2014.
Rais
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Mkuu wa Shirika la Maendeleo
ya Kimataifa ya Marekani (USAID) Mhe Rajiv Shah mara baada ya mazungumzo
yao katika ukumbi wa mikutano wa Davos, Uswisi, January 23, 2014.
Rais
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza katika mkutano wa kujadili namna
ya kuongeza kasi ya uboreshaji wa kupatikana na kulinda maji salama kwa
miaka ijayo katika hoteli ya Derby,mjini Davos Uswisi Januari 23, 2014.
Rais
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akishangiliwa mara baada ya kuhutubia wakati
wa mkutano wa kujadili namna ya kuongeza kasi ya uboreshaji wa
kupatikana na kulinda maji nsalama kwa miaka ijayo katika hoteli ya
Derby,mjini Davos Uswisi Januari 23, 2014. PICHA NA IKULU.