PICHA: VAENI MAVAZI HAYA YA KIAFRIKA KWENYE HARUSI ZENU.
Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399
Nimekuwa
nikichunguza sana katika Sherehe mbalimbali hasa hizi za Harusi, ambapo
huanza kwa kuagwa kwa Binti na Baadae kuwa na Harusi yenyewe, kwa kweli
Vijana wanajitahidi sana kutokelezea ki Afrika zaidi siku hizi za
karibuni kwa kuvaa nguo ambazo asili yake ni ya hapa hapa Afrika, lakini
Pia Mabinti hujitahidi sana kuvaa nguo za Kiafrika hasa wakati wa
Kitchen Party pale wanapo wafunda .
Lakini
tatizo linakuja sasa wakati wa Harusi kila mtu anataka kuvaa nguo kama
wazungu na kusahau kwamba kuna hizi za Kiafrika ambazo pengine wangevaa
zaidi wangependeza zaidi kwa sababu zinaelezea u Afrika kabisa na
kuvutia zaidi.
Zifuatazo ni Picha ambazo zinaonesha Dhahili jinsi ambavyo utapendeza katika Harusi yeko endapo utavalia ki Afrika zaidi
Tazama kwa umakini Bibi na Bwana walivyo pendeza Wamevalia Nguo za kawaida kabisa lakini zenye kiwango cha juu, ukiwatazama hawa wameongezeka uzuri zaidi ni kutokana na haya mavazi yao
Huu ni ubunifu wa Hali ya Juu tazama Nguo ya Kiafrika ikiwa imefanana kabisa na ua ambalo amebeba
Wewe
unaesoma hii sasa hivi hii kitu hebu tazama kwanza .. na haujaoa wala
kuolewa unangoja nini sasa? hawa jamaa wamependeza sana na mavazi yao
ambayo yamebuniwa ki Afrika zaidi
Posted by Editor
on 13:55.
Filed under
entertainmentnews
.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0