EAST AFRICAN NEWS

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA MPAKANI MJINI MUTUKULA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Y...

10 Nov 2017 | 0 comments | Read more

WATANZANIA WANG'ARA SHINDANO LA MWANDISHI BORA WA SAYANSI NA KILIMO AFRIKA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Uganda na Mjumbe wa Bodi ya ASARECA, Dr. Ambrose Agona (kushoto), akimkabidhi cheti Mwand...

29 Sep 2017 | 0 comments | Read more
ENTERTAINMENT NEWS

WAZIRI MWAKYEMBE AUDHURIA TAMASHA LA JAMAFEST NCHINI UGANDA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akipokelewa na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ugand...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI (TASUBA) PAMOJA NA SHORT STATURE OF KENYA ZIKIONYESHA MAIGIZO TAMASHA LA JAMAFEST

 Kikundi cha burudani ya Uchekeshaji kutoka nchini Kenya maarufu kama Short Stature Society of Kenya kikitoa igizo lake la ku...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

DKT.MWAKYEMBE AMEWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA KWA KUSHIRIKI TAMASHA LA JAMAFEST KAMPALA, UGANDA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Utamaduni, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiangalia ngoma ya kiutamaduni iliy...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

WORLD NEWS

TECHNOLOGY

CONGRESS TO SMART DEVICE MAKERS: YOUR SECURITY SUCKS

Four senators propose the "Internet of Things Cybersecurity Improvement Act,"...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

HUAWEI CAME REALLY CLOSE TO SELLING AS MANY PHONES AS APPLE

Apple sold 41 million iPhones in the second quarter, while Huawei's shipments were a...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

SECRET SERVICE WILL REPORTEDLY TEST DRONE FOR TRUMP SECURITY

The Secret Service is looking at whether unmanned aerial vehicles could be use...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

WHAT APPLE'S EARNINGS TELL US ABOUT THE IPHONE 8

The iPhone 7 and 7 Plus may see it's future sibling sooner than many expected.  S...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more
CELEBRITIES NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | 0 comments| Read more

IMPRESSIVE! BEYONCE LOOKS SLENDER IN LOW-CUT DRESS ON SUSHI DATE IN LA WITH JAY Z

Crazy in love: Beyonce looked absolutely fabulous on a sushi date night with husband Jay Z on Wednesday ...

04 Aug 2017 | 0 comments| Read more

BLOODIED JESSICA BIEL SIZZLES IN STEAMY SEX SCENE WITH HER HUNKY ONSCREEN HUSBAND

Bloody: The gimmick of the show is figuring out why this mother and wife decided to stab a man to death in the first place ...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

Share this Post

SPORTS NEWS

JOSEPH KIMWAGA KUKAA NJE MIEZI MINNE BAADA YA UPASUAJI WA GOTI

WINGA wa Klabu ya Azam FC Joseph Kimwaga akiwa katika chumba cha matibabu katika Hospitali ya Vincent Palloti iliyopo jijini ...

06 Sep 2017 | Read more
HEALTH NEWS

PAMOJA NA UNENE LAKINI HAWEZI ACHA KULA

The Brazilian boy, known only as Misael, was born a healthy 6lb 6oz (2.9kg) But every month since, has gained 6lb (3kg), meaning he str...

29 Sep 2014 | Read more
TOP TEN

Top 10 ‘Breaking Bad’ Moments

Ursula Coyote / AMC 10. The ricin’s fate is revealed For all its discussion over the course of the series, ricin had never been ...

08 May 2014 | Read more
FACTS

WACHINA NOMA SANA

 Ukisikia Wachina balaa sasa hii ni moja wapo, Kiwanda Kimojawapo cha China kijulikanacho kwa jina la LandWind kimeibuka na Kutengene...

25 Nov 2014 | Read more
ENVIRONMENT NEWS

A CLIMATE CHANGE INSPIRED PROJECT LAUNCHES IN DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399 ...

04 Aug 2017 | Read more
FASHION

MH. CATHERINE MAGIGE AZINDUA RASMI DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY

. MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Vijana , Mkoa wa Arusha Catherine Magige  leo amezindua rasmi  duka ...

12 Jan 2015 | Read more
HISTORY

MAKALA FUPI: Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua

Meriam Yehya Ibrahim Ishag aliadhibiwa kwa makosa mawili, zinaa na kuas...

28 May 2014 | Read more
TRAGEDY NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | Read more

dailyvideo

Rais Kikwete akutana na Rais Jonathan wa Nigeria


go2

Rais Jakaya Kikwete na Rais Goodluck Jonathan jijini Abuja, NIgeria leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Alhamisi, Mei 8, 2014, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Nigeria, Mheshimiwa Goodluck Jonathan katika Hoteli ya Transcorp Hilton katika mji mkuu wa nchi hiyo wa Abuja.
Katika mazungumzo hayo, Rais Kikwete kwa mara nyingine, amewasilisha rambirambi rasmi za Tanzania, za Watanzania na za kwake mwenyewe kwa kiongozi huyo wa Nigeria kufuatia vitendo vya kigaidi ambavyo vimeua maelfu ya watu na wengine kutekwa nyara katika maeneo mbali ya nchi hiyo na hasa kaskazini.
Rais Kikwete pia ametoa pongezi nyingi kwa Rais Jonathan na wananchi wa Nigeria kwa kuandaa Kongamano la Uchumi Duniani (WEF-Afrika) kwa Afrika lenye mafanikio makubwa. Kongamano hilo lilianza jana na linamalizika kesho mjini Abuja na Rais Kikwete amejiunga na viongozi kadhaa duniani kuhudhuria Kongamano hilo.
“Mheshimiwa Rais, nakushukuru sana kwa kupata muda wa kuja kujiunga nasi katika mkutano wetu huu mkubwa. Kama ulivyosema wewe mwenyewe kuwepo kwako na kwa viongozi wengine ni ishara muhimu kwa dunia kuwa nchi yetu, pamoja na matatizo makubwa ambayo tunapitia, bado inaungwa mkono duniani na ina usalama wa kutosha kuweza kuendesha mkutano kama huu,” Rais Jonathan amemwambia Rais Kikwete.
Naye Rais Kikwete amemwambia Rais Jonathan: “Tunakupogeza sana Mheshimiwa Rais kwa kuandaa kongamano zuri hapa nchini kwako. Kama unavyojua miaka yote makongamano hayo yalikuwa yanafanyika mjini Cape Town, Afrika Kusini, mpaka sisi Tanzania tulipoandaa Kongamano la kwanza nje ya Afrika Kusini. Siyo kazi rahisi, tunakupongeza sana.”
go1

Rais Jakaya Kikwete katika mazungumzo na Rais Goodluck Jonathan jijini Abuja, NIgeria leo.

“Na yale yanayoendelea katika nchi ni uendawazimu wa kiwango cha juu sana – binadamu anao uwezo mkubwa sana wa kufanya mambo ya ukatili wa hatari kabisa. Hawa ni watu wasio na roho wala moyo. Ni ukatili wa kiwango cha juu sana,” amesema Rais Kikwete.
Hata hivyo, Rais Jonathan ameonyesha matumaini kuwa ugaidi huo unaweza kuwa unaelekea mwisho hasa kufuatia uamuzi wa Marekani na Uingereza kuisaidia Nigeria kukabiliana na hali hiyo. Ufaransa na China pia zimejitolea kusaidiai.
Moja ya mambo yanayoiwekea shinikizo Serikali ya Rais Jonathan kwa sasa ni kutekwa nyara kwa watoto wa kike wa Sekondari zaidi ya 200 katika shule moja kaskazini mwa nchi hiyo zaidi ya wiki tatu zilizopita. Mpaka sasa hawajulikana walipo na kikundi cha Boko Haram ambacho kinapinga elimu ya magharibi kimesema kinawashikilia watoto hao na kinataka kuwauza kwenye utumwa.
Juzi, Kikundi hicho ambacho kinafanya kila aina ya ugaidi kiliteka nyara watu wengine wanane kutoka kijiji kimoja cha kaskazini mwa nchi hiyo na usiku wa jana, kikundi hiki kilivamia vijiji kadhaa na kuua watu zaidi ya 300.
go3

Posted by Editor on 21:40. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for Rais Kikwete akutana na Rais Jonathan wa Nigeria

Post a Comment

Photo Gallery

Designed by Solaranlagen | with the help of Bed In A Bag and Lawyers