EAST AFRICAN NEWS

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA MPAKANI MJINI MUTUKULA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Y...

10 Nov 2017 | 0 comments | Read more

WATANZANIA WANG'ARA SHINDANO LA MWANDISHI BORA WA SAYANSI NA KILIMO AFRIKA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Uganda na Mjumbe wa Bodi ya ASARECA, Dr. Ambrose Agona (kushoto), akimkabidhi cheti Mwand...

29 Sep 2017 | 0 comments | Read more
ENTERTAINMENT NEWS

WAZIRI MWAKYEMBE AUDHURIA TAMASHA LA JAMAFEST NCHINI UGANDA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akipokelewa na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ugand...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI (TASUBA) PAMOJA NA SHORT STATURE OF KENYA ZIKIONYESHA MAIGIZO TAMASHA LA JAMAFEST

 Kikundi cha burudani ya Uchekeshaji kutoka nchini Kenya maarufu kama Short Stature Society of Kenya kikitoa igizo lake la ku...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

DKT.MWAKYEMBE AMEWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA KWA KUSHIRIKI TAMASHA LA JAMAFEST KAMPALA, UGANDA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Utamaduni, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiangalia ngoma ya kiutamaduni iliy...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

WORLD NEWS

TECHNOLOGY

CONGRESS TO SMART DEVICE MAKERS: YOUR SECURITY SUCKS

Four senators propose the "Internet of Things Cybersecurity Improvement Act,"...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

HUAWEI CAME REALLY CLOSE TO SELLING AS MANY PHONES AS APPLE

Apple sold 41 million iPhones in the second quarter, while Huawei's shipments were a...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

SECRET SERVICE WILL REPORTEDLY TEST DRONE FOR TRUMP SECURITY

The Secret Service is looking at whether unmanned aerial vehicles could be use...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

WHAT APPLE'S EARNINGS TELL US ABOUT THE IPHONE 8

The iPhone 7 and 7 Plus may see it's future sibling sooner than many expected.  S...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more
CELEBRITIES NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | 0 comments| Read more

IMPRESSIVE! BEYONCE LOOKS SLENDER IN LOW-CUT DRESS ON SUSHI DATE IN LA WITH JAY Z

Crazy in love: Beyonce looked absolutely fabulous on a sushi date night with husband Jay Z on Wednesday ...

04 Aug 2017 | 0 comments| Read more

BLOODIED JESSICA BIEL SIZZLES IN STEAMY SEX SCENE WITH HER HUNKY ONSCREEN HUSBAND

Bloody: The gimmick of the show is figuring out why this mother and wife decided to stab a man to death in the first place ...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

Share this Post

SPORTS NEWS

JOSEPH KIMWAGA KUKAA NJE MIEZI MINNE BAADA YA UPASUAJI WA GOTI

WINGA wa Klabu ya Azam FC Joseph Kimwaga akiwa katika chumba cha matibabu katika Hospitali ya Vincent Palloti iliyopo jijini ...

06 Sep 2017 | Read more
HEALTH NEWS

PAMOJA NA UNENE LAKINI HAWEZI ACHA KULA

The Brazilian boy, known only as Misael, was born a healthy 6lb 6oz (2.9kg) But every month since, has gained 6lb (3kg), meaning he str...

29 Sep 2014 | Read more
TOP TEN

Top 10 ‘Breaking Bad’ Moments

Ursula Coyote / AMC 10. The ricin’s fate is revealed For all its discussion over the course of the series, ricin had never been ...

08 May 2014 | Read more
FACTS

WACHINA NOMA SANA

 Ukisikia Wachina balaa sasa hii ni moja wapo, Kiwanda Kimojawapo cha China kijulikanacho kwa jina la LandWind kimeibuka na Kutengene...

25 Nov 2014 | Read more
ENVIRONMENT NEWS

A CLIMATE CHANGE INSPIRED PROJECT LAUNCHES IN DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399 ...

04 Aug 2017 | Read more
FASHION

MH. CATHERINE MAGIGE AZINDUA RASMI DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY

. MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Vijana , Mkoa wa Arusha Catherine Magige  leo amezindua rasmi  duka ...

12 Jan 2015 | Read more
HISTORY

MAKALA FUPI: Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua

Meriam Yehya Ibrahim Ishag aliadhibiwa kwa makosa mawili, zinaa na kuas...

28 May 2014 | Read more
TRAGEDY NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | Read more

dailyvideo

Ujerumani yazindua kikosi cha mwanzo cha Kombe la Dunia


Kocha wa Ujerumani Joachim Löw ameitaja orodha yake ya wachezaji 30 lakini watakaoiwakilisha nchi katika Kombe la Dunia nchini Brazil, akawashangaza wengi kwa kuwatema nje wachezaji wenye ujuzi kama vile Mario Gomez.
Aliwajumuisha kikosini wachezaji wasiojulikana sana, kama vile beki wa Genoa Shkrodan Mustafi, beki wa Borussia Dortmund Erik Durmm, kiungo mshambuliaji wa Augsburg Andre Hahn, mshambuliaji wa Hoffenheim Kevin Volland na viungo wa Schalke wenye umri wa miaka 19 Max Meyer na Leon Goretzka. Wote hao hawajahi kuichezea timu ya taifa lakini Löw ameutetea uamuzi wake huo
Löw amesema kuwa hana wasiwasi yoyote kuhusiana na kila mmoja wa wachezaji waliochaguliwa. Gomez ambaye ana magoli 25 katika mechi 59 alizoichezea Ujerumani, amekosa nafasi kutokana na jeraha lagoti lake la kushoto, baada ya msimu uliokumbwa na majeraha katika klabu ya Fiorentina nchini Italia.
Mario Gomez ametatizika sana na majeraha msimu huu tangu ahamie ligi kuu ya soka nchini Italia Mshambuliaji Mario Gomez ametatizika sana na majeraha msimu huu tangu ahamie ligi kuu ya soka nchini Italia
Pia hakukuwa na nafasi ya mlinda lango wa Borussia Moenchengladbach Marc-Andre ter Stegen wala kipa wa zamani nambari moja wa Ujerumani Rene Adler. Mlinda lango wa Borussia Roman Weidenfeller na mwenzake wa Hannover Ron-Robert Zieler wamechaguliwa pamoja na kipa nambari moja wa sasa Manuel Neuer wa Bayern Munich.
Löw amemwita kikosini Sami Khedira kiungo wa Real Madrid ambaye hajaichezea klabu hiyo tangu mwezi Novemba mwaka jana baada ya kufanyiwa upasuaji wa goti. Bayern imechangia wachezaji saba, Borussia Dortmund imewatoa wachezaji sita wakati Arsenal ya Uingereza ikiwatoa wachezaji watatu.
Kocha huyo ana hadi Mei 13 kuwasilisha kwa FIFA orodha yake ya mwisho isiyozidi wachezaji 30, huku muda wa mwisho wa kuwasilisha kikosi cha mwisho cha wachezaji 23 ukiwa Juni 2. Na kutokana na fainali ya kombe la Shirikisho la Soka la Ujerumani – DFB kati ya Bayern Munich na Borussia Dortmumd, itakayochezwa mjini Berlin Mei 17, Löw amekitaja kikosi tofauti cha wachezaji 18 kitakachocheza mchuano wa kirafiki Jumanne wiki ijayo dhidi ya Poland mjini Hamburg.
Kikosi cha mwanzo
Walinda lango: Manuel Neuer, Roman Weidenfeller, Ron–Robert Zieler
Defenders: Jerome Boateng, Erik Durm, Kevin Grosskreutz, Benedikt Höwedes, Mats Hummels, Marcell Jansen, Philipp Lahm, Per Mertesacker, Shkodran Mustafi, Marcel Schmelzer
Viungo: Lars Bender, Julian Draxler, Matthias Ginter, Leon Goretzka, Mario Götze, Andre Hahn, Sami Khedira, Toni Kroos, Max Meyer, Thomas Müller, Mesut Özil, Lukas Podolski, Marco Reus, Andre Schürrle, Bastian Schweinsteiger
Washambuliaji: Miroslav Klose, Kevin Volland
Mwandishi: Bruce Amani/AFP/DPA
Mhariri: Yusuf Saumu

DW SWAHILI

Posted by Editor on 21:21. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for Ujerumani yazindua kikosi cha mwanzo cha Kombe la Dunia

Post a Comment

Photo Gallery

Designed by Solaranlagen | with the help of Bed In A Bag and Lawyers