Share this Post

dailyvideo

Brazil:Luiz Felipe Scolari aacha kazi


Scolari amelaumiwa kwa kichapo ilichopata Brazil
Ripoti nchini Brazil zinasema kuwa kocha wa timu ya taifa ya Brazil,Luiz Felipe Scolari, ameacha kazi kama meneja wa timu hiyo.
Scolari alilaumiwa pakubwa sana kwa timu ya Brazil kupata kichapo kibaya ilipocheza na Ujerumani ambao wameibuka mabingwa wa kombe la dunia mwaka huu.
Kichapo hicho kilikuja wakati wa mechi ya nusu fainali dhidi ya Ujerumani.
Taarifa rasmi huenda ikatolewa baadaye leo na shirikisho la soka la Brazil.

BBC 

Posted by Editor on 16:16. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for Brazil:Luiz Felipe Scolari aacha kazi

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery