Share this Post

dailyvideo

MABAKI YA NDEGE ALGERIA YAONEKANA


Mabaki ya ndege iliyopotea ikiwa na watu 116 njiani kutoka Burkanafaso kwenda Algers yamepatikana nchini Mali.
Maafisa wa Jeshi wa Burkina faso wamesema ndege hiyo iliyokuwa chini ya shirika la ndege la Algeria imeanguka karibia kilomita 50 kutoka mpaka wa Burkanafaso.
Waongoza ndege walipoteza mawasilino na ndege hiyo muda mfupi baada ya kupata taarifa kutoka kwa Rubani kuwa alikuwa kwenye eneo lenye hali mbaya ya hewa.

CHANZO: BBC SWAHILI

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399

Posted by Editor on 16:52. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for MABAKI YA NDEGE ALGERIA YAONEKANA

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery