MABAKI YA NDEGE ALGERIA YAONEKANA
Mabaki ya ndege iliyopotea ikiwa na watu 116 njiani kutoka Burkanafaso kwenda Algers yamepatikana nchini Mali.
Maafisa wa Jeshi wa Burkina
faso wamesema ndege hiyo iliyokuwa chini ya shirika la ndege la Algeria
imeanguka karibia kilomita 50 kutoka mpaka wa Burkanafaso.
Waongoza ndege walipoteza
mawasilino na ndege hiyo muda mfupi baada ya kupata taarifa kutoka kwa
Rubani kuwa alikuwa kwenye eneo lenye hali mbaya ya hewa.
CHANZO: BBC SWAHILI
Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399
Posted by Editor
on 16:52.
Filed under
feature,
tragedynews
.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0