Share this Post

dailyvideo

MASHABIKI WA BRAZIL WAVURUGWA, WAAMUA KUCHOMA MOTO BASI BAADA YA KUPIGWA 7-1

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399


Basi lililochomwa na mashabiki wa Brazil waliokuwa na hasira likiteketea kwa moto.
Vikosi vya zimamoto vikijaribu kuzuia moto huo.
Taswira baada ya basi hilo kuteketea kwa moto.
Polisi wakimdhibiti shabiki huko Belo Horizonte baada ya mechi ya nusu fainali.
Mashabiki wa Brazil wakiwa na majonzi baada ya kipigo cha 7-1.

BAADA ya kubugizwa mabao 7-1 na Ujerumani katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2014, mashabiki wa Brazil wameamua kuchoma moto basi.

Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo huko Sao Paulo nchini humo baada ya mechi hiyo iliyopigwa Belo Horizonte.

Mashabiki walichukua hatua hiyo kutokana na hasira za timu yao kuondolewa katika michuano hiyo inayofanyika nyumbani kwao.

Posted by Editor on 09:20. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for MASHABIKI WA BRAZIL WAVURUGWA, WAAMUA KUCHOMA MOTO BASI BAADA YA KUPIGWA 7-1

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery