MTOTO WA KAJALA "PAULINA" ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA WATOTO WENYE MATATIZO YA UBONGO
Pichani aliyesimama katikati ni mtoto wa msanii wa bongo movie KAJALA
MASANJA anajulikana kwa jina la PAULINA na leo anakumbuka siku yake ya
kuzaliwa akaona siku hii muhimu aje kusherehekea na wanafunzi wanaosoma
Sinza Maalumu watoto ambao wanamatatizo ya akili. Walikuwepo watu
mbalimbali wakiwemo wasanii wa bongo movie na wasanii bongo fleva,
endelea kutizama picha hizi nilizokuchukulia mdau wangu nikiwa eneo la
tukio.
Hii ni ofisi ya mwalimu mkuu wa shule hiyo
Msanii wa bongo fleva Quick Rocker nae alikuwepo
Pichani ni walimu wanaowafundisha wanafunzi hao.
Rais wa Bongo Movie akizungumza machache kabla ya kuwatambulisha wageni alioongozana nao shuleni hapo
Add caption |
Paulina na mama yake Kajala
Chanzo Dj Choka Blog
Posted by Editor
on 11:03.
Filed under
celebritiesnews
.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0