RACHEL SITOKI NA TID JAMANI!
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat maarufu kama Rachel,
Stori: shani ramadhani
Nyumba ya Vipaji Tanzania (THT), aliyetamba na kibao chake cha
Kizunguzungu, alisema maneno hayo siyo mageni kwake, lakini ukweli ni
kwamba hawana uhusiano wa kimapenzi, isipokuwa amemuweka katika mipango
ya kuja kufanya kazi na mkali huyo wa singo iliyotamba sana ya Zeze.
Aidha alisema katika maisha yake ya kila siku, hategemei kuhongwa vitu
au hela na wanaume, ila baada ya kupata mafanikio kupitia sanaa,
anaitumia kama mtaji wa kufanya shughuli nyingine za kumuingizia kipato
na hivyo kuwa na uwezo wa kukidhi mahitaji yake.
CHANZO:GPL
Posted by Editor
on 09:26.
Filed under
celebritiesnews
.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0