Share this Post

dailyvideo

Dr. Fenela Ziarani China‏

 


Pichani ujumbe wa Waziri ukitembelea sehemu mbalimbali zikiwemo studio na vivutio mbalimbali vya Utangazaji katika kituo cha Tv cha Jimbo la Sichuan nchini China.

Waziri wa Habari,  Vijana,  Utamaduni na Michezo Dkt.  Fenela Mukangala yuko nchini China katika ziara ya kuangalia maendeleo ya Sekta ya Utangazaji na kuimarisha ushirikiano katika sekta ya Utangazaji kati ya Tanzania na China.

Katika ziara hiyo ameongozana na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi. Sihaba Nkinga,  Mkurugenzi Mkuu wa TBC Bw. Clement Mshana na Mkurugenzi wa Utangazaji TCRA Bwana Habbi Gunze. 


Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399

Posted by Editor on 07:47. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for Dr. Fenela Ziarani China‏

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery