EAST AFRICAN NEWS

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA MPAKANI MJINI MUTUKULA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Y...

10 Nov 2017 | 0 comments | Read more

WATANZANIA WANG'ARA SHINDANO LA MWANDISHI BORA WA SAYANSI NA KILIMO AFRIKA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Uganda na Mjumbe wa Bodi ya ASARECA, Dr. Ambrose Agona (kushoto), akimkabidhi cheti Mwand...

29 Sep 2017 | 0 comments | Read more
ENTERTAINMENT NEWS

WAZIRI MWAKYEMBE AUDHURIA TAMASHA LA JAMAFEST NCHINI UGANDA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akipokelewa na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ugand...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI (TASUBA) PAMOJA NA SHORT STATURE OF KENYA ZIKIONYESHA MAIGIZO TAMASHA LA JAMAFEST

 Kikundi cha burudani ya Uchekeshaji kutoka nchini Kenya maarufu kama Short Stature Society of Kenya kikitoa igizo lake la ku...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

DKT.MWAKYEMBE AMEWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA KWA KUSHIRIKI TAMASHA LA JAMAFEST KAMPALA, UGANDA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Utamaduni, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiangalia ngoma ya kiutamaduni iliy...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

WORLD NEWS

TECHNOLOGY

CONGRESS TO SMART DEVICE MAKERS: YOUR SECURITY SUCKS

Four senators propose the "Internet of Things Cybersecurity Improvement Act,"...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

HUAWEI CAME REALLY CLOSE TO SELLING AS MANY PHONES AS APPLE

Apple sold 41 million iPhones in the second quarter, while Huawei's shipments were a...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

SECRET SERVICE WILL REPORTEDLY TEST DRONE FOR TRUMP SECURITY

The Secret Service is looking at whether unmanned aerial vehicles could be use...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

WHAT APPLE'S EARNINGS TELL US ABOUT THE IPHONE 8

The iPhone 7 and 7 Plus may see it's future sibling sooner than many expected.  S...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more
CELEBRITIES NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | 0 comments| Read more

IMPRESSIVE! BEYONCE LOOKS SLENDER IN LOW-CUT DRESS ON SUSHI DATE IN LA WITH JAY Z

Crazy in love: Beyonce looked absolutely fabulous on a sushi date night with husband Jay Z on Wednesday ...

04 Aug 2017 | 0 comments| Read more

BLOODIED JESSICA BIEL SIZZLES IN STEAMY SEX SCENE WITH HER HUNKY ONSCREEN HUSBAND

Bloody: The gimmick of the show is figuring out why this mother and wife decided to stab a man to death in the first place ...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

Share this Post

SPORTS NEWS

JOSEPH KIMWAGA KUKAA NJE MIEZI MINNE BAADA YA UPASUAJI WA GOTI

WINGA wa Klabu ya Azam FC Joseph Kimwaga akiwa katika chumba cha matibabu katika Hospitali ya Vincent Palloti iliyopo jijini ...

06 Sep 2017 | Read more
HEALTH NEWS

PAMOJA NA UNENE LAKINI HAWEZI ACHA KULA

The Brazilian boy, known only as Misael, was born a healthy 6lb 6oz (2.9kg) But every month since, has gained 6lb (3kg), meaning he str...

29 Sep 2014 | Read more
TOP TEN

Top 10 ‘Breaking Bad’ Moments

Ursula Coyote / AMC 10. The ricin’s fate is revealed For all its discussion over the course of the series, ricin had never been ...

08 May 2014 | Read more
FACTS

WACHINA NOMA SANA

 Ukisikia Wachina balaa sasa hii ni moja wapo, Kiwanda Kimojawapo cha China kijulikanacho kwa jina la LandWind kimeibuka na Kutengene...

25 Nov 2014 | Read more
ENVIRONMENT NEWS

A CLIMATE CHANGE INSPIRED PROJECT LAUNCHES IN DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399 ...

04 Aug 2017 | Read more
FASHION

MH. CATHERINE MAGIGE AZINDUA RASMI DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY

. MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Vijana , Mkoa wa Arusha Catherine Magige  leo amezindua rasmi  duka ...

12 Jan 2015 | Read more
HISTORY

MAKALA FUPI: Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua

Meriam Yehya Ibrahim Ishag aliadhibiwa kwa makosa mawili, zinaa na kuas...

28 May 2014 | Read more
TRAGEDY NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | Read more

dailyvideo

MAONI: yaliyojitokeza katika hadhara kuu ya Umoja wa Mataifa

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +25576505639

Vita dhidi ya wanamgambo wa Dola la Kiislamu (IS) na kusambaa haraka kwa maradhi ya Ebola ni masuala makuu muhimu wakati huu. Yote yalijitokeza usoni zaidi mbele ya mkutano Baraza kuu la Umoja wa Mataifa
New York Rede Steinmeier UN-Vollversammlung 27.09.2014
Lakini hakuna kilichoelezwa juu ya nafasi ya Umoja wa mataifa kama msimamizi kwani haukuwa Umoja huo bali ni rais Obama ndiye aliyetokeza kuwa mtu anayeshinikiza juu ya kuchukuliwa hatua za dharura dhidi ya Ebola na IS. Kwa hiyo Mkutano huo ulitawaliwa zaidi na Wamarekani katika hali isiyowahi kuonekana hapo kabla. Ufuatao ni uhariri ulioandikwa na Gero Schließ.
Uamuzi wa Obama wa kuushawishi Umoja wa mataifa juu ya mashambulizi ya angani nchini Syria katika mapambano dhidi ya kundi la Dola ya Kiislamu IS na kuingia katika awamu mpya, ni jambo lililothihirisha kuwa ni hatua mahiri. Hata kabla ya kuanza hotuba yake alifanikiwa kuishawishi hadhara kuu, juu ya haja ya kuutanua muungano dhidi ya IS. Mwishoni mwa juma zima la harakati katika Umoja wa mataifa hivi sasa kuna muungano ulio bega kwa bega zikijunga kuanzia Uingereza hadi nchi ndogo katika Ulaya kama Ubeligiji na Denmark. Jumuiya ya kimataifa imetambuwa hatari iliopo.
UN Vollversammlung 24.09.2014 - Barack Obama
Rais wa Marekani Barack Obama akiwahutubia viongozi wa ulimwengu katika Hadhara Kuu ya Umoja wa Mataifa
Baadhi miongoni mwa mataifa ya kihafidhina ya Kiarabu hivi wametokeza na msimamo ulio wazi. Hata Urusi nayo imekubaliana ana azimio la Obama dhidi ya wale wanaoitwa “ wapiganaji wa kigeni,” wanaopigana Iraq na Syria upande wa IS.
Kauli ya Ujerumani katika mazingira haya haikuwa rahisi kwa waziri wa kigeni Steinmeier, hasa kwa kuwa iliambatana na kile kisichotarajiwa kutajwa na Obama juu ya kushiriki kwa Ujerumani katika mashambulizi ya angani. Hata hivyo mwishowe alikuwa Steinmeier aliyeweza kucheza karata zake mwenyewe kwa mtazamo wa siasa za madola makuu. Kwa kutangaza mkutano wa kimataifa kuhusu wakimbizi mjini Berlin, ameweza kuchukuwa hatua kubwa na kuicheza karata ya Ujerumani. Kuonyesha uwezo katika utoaji misaada ya kibinaadamu.
Pia katika vita dhidi ya Ebola , uwezo huo unahitajika sana. Ingawa hapa Wamarekani kwa mara nyengine wako usoni wakiongoza, kutokana na Obama kutuma wanajeshi 3,000 na wahuduma wa afya katika nchi za kiafrika zilizoathiri8ka.
Kandoni mwa yote hayo kulizungumzwa pia mgogoro wa Ukraine mjini New York.
Alikuwa Stenmeiwer alipopanda jukwaani aliyeishutumu Urusi kwa kukiuka sheria. Waziri wa kigeni wa Urusi Lavrov alijibu akiushutumu upande wa Magharibi kwa mashambulizi ya angani dhidi ya mamlaka ya mipaka ya Syria, kwa kuwasaka wapiganaji wa IS na kuhujumu sheria ya kimataifa.
Habari njema hata hivyo, ni kuwa hatimae Urusi na nchi za magharibi zimeungana pamoja katika masuala makuu mawili ya mizozo. Mbali na vita dhidi ya IS pia kuna mgogoro wa mpango wa Nyuklia wa Iran. Msimamo katika mazungumzo safari hii ni mkali. Kwa jumla ,matokeo katika mjadala wa Baraza kuu la Umoja wa mataifa mwaka huu yalikuwa na tija.
Ingawa Baraza Kuu hutawaliwa zaidi na siasa za wakati husika, suala la mazingira tabia lilipewa kipaumbele na Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Ban Ki-moon katika mkutano wa kilele wa mabadiliko ya tabia nchi.Lakini kuna mengine mazito kama uongezko la idadi ya watoto, ugawanyaji wa mali asili au upunguzaji silaha za nyuklia,-haya pia ni ya dharura
Mwandishi: Gero Schließ, DW/ Mohammed Abdul-Rahman
Mhariri: Iddi Ssessanga

DW

Posted by Editor on 14:57. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for MAONI: yaliyojitokeza katika hadhara kuu ya Umoja wa Mataifa

Post a Comment

Photo Gallery

Designed by Solaranlagen | with the help of Bed In A Bag and Lawyers