EAST AFRICAN NEWS

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA MPAKANI MJINI MUTUKULA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Y...

10 Nov 2017 | 0 comments | Read more

WATANZANIA WANG'ARA SHINDANO LA MWANDISHI BORA WA SAYANSI NA KILIMO AFRIKA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Uganda na Mjumbe wa Bodi ya ASARECA, Dr. Ambrose Agona (kushoto), akimkabidhi cheti Mwand...

29 Sep 2017 | 0 comments | Read more
ENTERTAINMENT NEWS

WAZIRI MWAKYEMBE AUDHURIA TAMASHA LA JAMAFEST NCHINI UGANDA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akipokelewa na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ugand...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI (TASUBA) PAMOJA NA SHORT STATURE OF KENYA ZIKIONYESHA MAIGIZO TAMASHA LA JAMAFEST

 Kikundi cha burudani ya Uchekeshaji kutoka nchini Kenya maarufu kama Short Stature Society of Kenya kikitoa igizo lake la ku...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

DKT.MWAKYEMBE AMEWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA KWA KUSHIRIKI TAMASHA LA JAMAFEST KAMPALA, UGANDA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Utamaduni, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiangalia ngoma ya kiutamaduni iliy...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

WORLD NEWS

TECHNOLOGY

CONGRESS TO SMART DEVICE MAKERS: YOUR SECURITY SUCKS

Four senators propose the "Internet of Things Cybersecurity Improvement Act,"...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

HUAWEI CAME REALLY CLOSE TO SELLING AS MANY PHONES AS APPLE

Apple sold 41 million iPhones in the second quarter, while Huawei's shipments were a...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

SECRET SERVICE WILL REPORTEDLY TEST DRONE FOR TRUMP SECURITY

The Secret Service is looking at whether unmanned aerial vehicles could be use...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

WHAT APPLE'S EARNINGS TELL US ABOUT THE IPHONE 8

The iPhone 7 and 7 Plus may see it's future sibling sooner than many expected.  S...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more
CELEBRITIES NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | 0 comments| Read more

IMPRESSIVE! BEYONCE LOOKS SLENDER IN LOW-CUT DRESS ON SUSHI DATE IN LA WITH JAY Z

Crazy in love: Beyonce looked absolutely fabulous on a sushi date night with husband Jay Z on Wednesday ...

04 Aug 2017 | 0 comments| Read more

BLOODIED JESSICA BIEL SIZZLES IN STEAMY SEX SCENE WITH HER HUNKY ONSCREEN HUSBAND

Bloody: The gimmick of the show is figuring out why this mother and wife decided to stab a man to death in the first place ...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

Share this Post

SPORTS NEWS

JOSEPH KIMWAGA KUKAA NJE MIEZI MINNE BAADA YA UPASUAJI WA GOTI

WINGA wa Klabu ya Azam FC Joseph Kimwaga akiwa katika chumba cha matibabu katika Hospitali ya Vincent Palloti iliyopo jijini ...

06 Sep 2017 | Read more
HEALTH NEWS

PAMOJA NA UNENE LAKINI HAWEZI ACHA KULA

The Brazilian boy, known only as Misael, was born a healthy 6lb 6oz (2.9kg) But every month since, has gained 6lb (3kg), meaning he str...

29 Sep 2014 | Read more
TOP TEN

Top 10 ‘Breaking Bad’ Moments

Ursula Coyote / AMC 10. The ricin’s fate is revealed For all its discussion over the course of the series, ricin had never been ...

08 May 2014 | Read more
FACTS

WACHINA NOMA SANA

 Ukisikia Wachina balaa sasa hii ni moja wapo, Kiwanda Kimojawapo cha China kijulikanacho kwa jina la LandWind kimeibuka na Kutengene...

25 Nov 2014 | Read more
ENVIRONMENT NEWS

A CLIMATE CHANGE INSPIRED PROJECT LAUNCHES IN DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399 ...

04 Aug 2017 | Read more
FASHION

MH. CATHERINE MAGIGE AZINDUA RASMI DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY

. MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Vijana , Mkoa wa Arusha Catherine Magige  leo amezindua rasmi  duka ...

12 Jan 2015 | Read more
HISTORY

MAKALA FUPI: Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua

Meriam Yehya Ibrahim Ishag aliadhibiwa kwa makosa mawili, zinaa na kuas...

28 May 2014 | Read more
TRAGEDY NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | Read more

dailyvideo

Rais Uhuru Kenyatta atakiwa kufika ICC

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399

Mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC Ijumaa (19.09.2014) imemtaka rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kufika katika mahakama hiyo kwa madai kwamba serikali yake inazuwia nyaraka zinazotakiwa na mwendesha mashataka.

AU-Gipfel in Addis Abeba, Äthiopien, 31.01.2014 Uhuru Kenyatta
Rais Uhuru Kenyatta anatakiwa mjini The Hague
Nyaraka hizo zinatakiwa na mwendesha mashataka kutayarisha kesi dhidi ya rais Uhuru Kenyatta ya uhalifu dhidi ya ubinadamu.
Kenyatta , ambaye anakabiliwa na mashtaka matano katika mahakama ya ICC kuhusiana na madai ya kuhusika kwake katika kupanga ghasia zilizohusiana na uchaguzi mwaka 2007-2008, ameamriwa kufika katika mahakama hiyo Oktoba 8, mahakama hiyo yenye makao yake makuu mjini The Hague imesema katika taarifa.
Kenia Prozess gegen William Ruto in Den Haag Fatou Bensouda
Mwendesha mashtaka wa ICC Fatou Bensouda
Itakuwa mara ya kwanza Kenyatta kufika katika mahakama hiyo, kwa kuwa amekuwa akisisitiza mara kadhaa kuwa anataka kubakia nchini Kenya kupambana na wanamgambo wa kundi la al-Shabaab wenye mafungamano na kundi la kigaidi la al-Qaeda, na kushughulikia masuala ya kitaifa.
Kenyatta anatakiwa kuhudhuria
Mahakama ya ICC imesema majadiliano na Kenyatta , na siku nyingine ya majadiliano siku moja kabla na mwakilishi wa Kenya, yatalenga katika "hali ya ushirikiano kati ya waendesha mashtaka na serikali ya Kenya na masuala yatakayojitokeza katika tamko la upande wa mashitaka la Septemba 5 mwaka 2014."
"Mwakilishi wa serikali ya Kenya anaalikwa kuhudhuria kikao cha kwanza cha kujadili hadhi na rais Kenyatta anatakiwa kuwapo katika kikao cha pili cha kujadili hadhi," taarifa hiyo imesema.
Mwendesha mashitaka Fatou Bensouda amewataka majaji kuahirisha kesi hiyo kabisa, akiwalaumu maafisa wa serikali ya Kenya kwa kuzuwia upatikanaji wa ushahidi muhimu ambao unaweza kuonesha Kenyatta alifadhili ghasia hizo za kikabila za baada ya uchaguzi ambapo watu 1,200 waliuwawa na wengine laki sita wamekimbia makaazi yao.
Kenia Prozess gegen William Ruto in Den Haag
makamu wa rais wa Kenya William Ruto (kulia)akiwa mjini The Hague
Bila ya nyaraka hizo , amesema , hakutakuwa na sababu za msingi kumshitaki kiongozi huyo mwenye nguvu katika Afrika mashariki , na kusababisha mawakili wake kwa mara nyingine tena kuomba kesi hiyo itupiliwe mbali.
Nyaraka muhimu zimezuiwa
Kenya imekana madai kuwa imeiwekea ngumu mahakama ya ICC na kuikatalia kutoa nyaraka hizo, ikiwa ni pamoja na nyaraka zinazohusiana na kampuni, taarifa za benki, manunuzi ya ardhi, uhakiki wa kodi, simu zilizopigwa na rekodi za miamala ya fedha za kigeni.
ICC pia imeahirisha tarehe iliyotangazwa hivi karibuni ya ufunguzi , ---Oktoba 7 -- kwa kuwa Kenya mara kadhaa imechelewesha kesi hiyo. Kesi ya hasimu wake ambaye amegeuka kuwa mshirika , makamu wa rais William Ruto, ambaye anakabiliwa na madai kama hayo, ilianza mjini The Hague Septemba 2013.
Mawakili wa wahanga wa ghasia za mwaka 2007-2008 wameilaumu serikali ya Kenya kwa kuchukua hatua za makusudi za kuzuwia kesi hiyo kuendelea," wakati shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeelezea hali ya kukata tamaa kwa wahanga ambao wamejeruhiwa na kupoteza mali wakati wa ghasia hizo.
DW-Interview Raila Odinga
Kiongozi wa upinzani Raila Odinga
Matukio hayo yamechafua heba ya Kenya kama nguzo ya uthabiti katika kanda hiyo mwishoni mwa mwaka 2007 wakati huo kiongozi wa upinzani Raila Odinga alipomshutumu rais Mwai Kibaki kwa kughushi matokeo ya uchaguzi.
Kile kilichoanza kama ghasia za kisiasa haraka kiligeuka kuwa mauaji ya kikabila ya watu wa kabila la rais Kenyatta , Wakikuyu, ambao nao walianza mashambulizi ya kulipiza kisasi, na kuitumbukiza Kenya katika wimbi baya kabisa la machafuko tangu uhuru mwaka 1963.
Mwandishi: Sekione Kitojo / afpe
Mhariri : Bruce Amani

DW

Posted by Editor on 14:59. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for Rais Uhuru Kenyatta atakiwa kufika ICC

Post a Comment

Photo Gallery

Designed by Solaranlagen | with the help of Bed In A Bag and Lawyers