EAST AFRICAN NEWS

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA MPAKANI MJINI MUTUKULA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Y...

10 Nov 2017 | 0 comments | Read more

WATANZANIA WANG'ARA SHINDANO LA MWANDISHI BORA WA SAYANSI NA KILIMO AFRIKA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Uganda na Mjumbe wa Bodi ya ASARECA, Dr. Ambrose Agona (kushoto), akimkabidhi cheti Mwand...

29 Sep 2017 | 0 comments | Read more
ENTERTAINMENT NEWS

WAZIRI MWAKYEMBE AUDHURIA TAMASHA LA JAMAFEST NCHINI UGANDA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akipokelewa na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ugand...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI (TASUBA) PAMOJA NA SHORT STATURE OF KENYA ZIKIONYESHA MAIGIZO TAMASHA LA JAMAFEST

 Kikundi cha burudani ya Uchekeshaji kutoka nchini Kenya maarufu kama Short Stature Society of Kenya kikitoa igizo lake la ku...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

DKT.MWAKYEMBE AMEWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA KWA KUSHIRIKI TAMASHA LA JAMAFEST KAMPALA, UGANDA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Utamaduni, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiangalia ngoma ya kiutamaduni iliy...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

WORLD NEWS

TECHNOLOGY

CONGRESS TO SMART DEVICE MAKERS: YOUR SECURITY SUCKS

Four senators propose the "Internet of Things Cybersecurity Improvement Act,"...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

HUAWEI CAME REALLY CLOSE TO SELLING AS MANY PHONES AS APPLE

Apple sold 41 million iPhones in the second quarter, while Huawei's shipments were a...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

SECRET SERVICE WILL REPORTEDLY TEST DRONE FOR TRUMP SECURITY

The Secret Service is looking at whether unmanned aerial vehicles could be use...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

WHAT APPLE'S EARNINGS TELL US ABOUT THE IPHONE 8

The iPhone 7 and 7 Plus may see it's future sibling sooner than many expected.  S...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more
CELEBRITIES NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | 0 comments| Read more

IMPRESSIVE! BEYONCE LOOKS SLENDER IN LOW-CUT DRESS ON SUSHI DATE IN LA WITH JAY Z

Crazy in love: Beyonce looked absolutely fabulous on a sushi date night with husband Jay Z on Wednesday ...

04 Aug 2017 | 0 comments| Read more

BLOODIED JESSICA BIEL SIZZLES IN STEAMY SEX SCENE WITH HER HUNKY ONSCREEN HUSBAND

Bloody: The gimmick of the show is figuring out why this mother and wife decided to stab a man to death in the first place ...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

Share this Post

SPORTS NEWS

JOSEPH KIMWAGA KUKAA NJE MIEZI MINNE BAADA YA UPASUAJI WA GOTI

WINGA wa Klabu ya Azam FC Joseph Kimwaga akiwa katika chumba cha matibabu katika Hospitali ya Vincent Palloti iliyopo jijini ...

06 Sep 2017 | Read more
HEALTH NEWS

PAMOJA NA UNENE LAKINI HAWEZI ACHA KULA

The Brazilian boy, known only as Misael, was born a healthy 6lb 6oz (2.9kg) But every month since, has gained 6lb (3kg), meaning he str...

29 Sep 2014 | Read more
TOP TEN

Top 10 ‘Breaking Bad’ Moments

Ursula Coyote / AMC 10. The ricin’s fate is revealed For all its discussion over the course of the series, ricin had never been ...

08 May 2014 | Read more
FACTS

WACHINA NOMA SANA

 Ukisikia Wachina balaa sasa hii ni moja wapo, Kiwanda Kimojawapo cha China kijulikanacho kwa jina la LandWind kimeibuka na Kutengene...

25 Nov 2014 | Read more
ENVIRONMENT NEWS

A CLIMATE CHANGE INSPIRED PROJECT LAUNCHES IN DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399 ...

04 Aug 2017 | Read more
FASHION

MH. CATHERINE MAGIGE AZINDUA RASMI DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY

. MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Vijana , Mkoa wa Arusha Catherine Magige  leo amezindua rasmi  duka ...

12 Jan 2015 | Read more
HISTORY

MAKALA FUPI: Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua

Meriam Yehya Ibrahim Ishag aliadhibiwa kwa makosa mawili, zinaa na kuas...

28 May 2014 | Read more
TRAGEDY NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | Read more

dailyvideo

Mahakama ya juu Libya yalifutilia mbali bunge

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399

CHANZO DW SWAHILI

Mahakama ya juu nchini Libya leo imetoa uamuzi kuwa bunge linalotambulika na jumuiya ya kimataifa lenye makao yake mjini Tobruk lilichaguliwa kinyume na sheria
Waasi wa kiislamu wanaoudhibiti mji mkuu wa Libya Tripoli tangu mwezi Agosti wameupokea uamuzi huo wa mahakama ya juu kwa shangwe na wamefyatua risasi kama ishara ya kusherehekea uamuzi huo ambao hauwezi kukatiwa rufaa.
Mahakama hiyo ya juu iliyoko mjini Tripoli pia imebatilisha marekebisho ya katiba yaliyofanywa na bunge la zamani yaliyopelekea kufanyika kwa chaguzi tarehe 25 mwezi Juni mwaka huu na hivyo kumaanisha uchaguzi huo na matokeo yake hayatambuliki kisheria na yamefutiliwa mbali.
Makundi ya waasi yanadhibiti miji mikuu
Serikali hiyo iliyovunjwa na mahakama inayoongozwa na waziri mkuu Abdullah al Thani ambayo ndiyo inayotambulika rasmi na jumuiya ya kimataifa imekuwa ikiendesha shughuli zake katika mji wa mashariki mwa Libya wa Tobruk ulioko karibu na mpaka na Misri na uongozi huo umepoteza udhibiti wa miji mikuu nchini Libya ambayo iko chini ya waasi wa kiislamu.
Kundi la waasi watiifu kwa Jenerali Khalifa Haftari
Kundi la waasi watiifu kwa Jenerali Khalifa Haftari
Kamati ya bunge kuhusu masuala ya kisheria imeitisha mkutano wa dharura kutathimini uamuzi huo wa mahakama. Mbunge mmoja wa bunge hilo la Tobruk Issam al Jehani ameandika katika ukurasa wake wa facebook kuwa wabunge hawatatambua uamuzi uliofikiwa kwa mtutu wa bunduki.
Mbunge mwingine Abubakar Baeira ameutaja uamuzi huo kuwa wa kisiasa na kuongeza utatoa nafasi kwa taifa hilo kugawanyika.Hata hivyo wakili Abdel Rahman amesema uamuzi huo unamaanisha walibya wanaanza upya
Bunge la Tobruk ndilo la pili kuchaguliwa tangu kung'olewa madarakani na kuuawa kwa Rais Moammar Gaddafi mwaka 2011.Tangu wakati huo,viongozi wa Libya wamejaribu kurejesha uthabiti nchini humo bila mafanikio kutokana na kitisho cha waasi wenye nguvu waliosaidia kumng'oa madarakani Gaddafi ambao wanaidhibiti miji muhimu.
Mapigano yanaendelea Benghazi
Hayo yanakuja huku kukiripotiwa mapigano makali kati ya wapiganaji wanaoiunga mkono serikali na waasi wa kiislamu katika mji wa Benghazi ambapo kiasi ya watu thelathini wameuawa katika kipindi cha siku tatu zilizopita.
Waziri mkuu wa Libya Abdullah al Thinni
Waziri mkuu wa Libya Abdullah al Thinni
Walioshuhudia mapigano hayo wamesema ndiyo mabaya zaidi tangu mkuu wa zamani wa jeshi jenerali Khalifa Haftar kuanzisha mapigano yanayoungwa mkono na serikali dhidi ya wanamgambo mwezi uliopita.
Wakati huo huo, watu waliokuwa na silaha walikishambulia kiwanda kikubwa cha mafuta cha El Sharara jana na kusababisha kufungwa kwa kiwanda hicho, hilo likiwa pigo jingine kwa sekta ya nishati ya nchi hiyo ambayo imetatizika kuzalisha mafuta.
Nchi za magharibi na nchi jirani na Libya zinahofia kuwa taifa hilo mwanachama wa jumuiya ya nchi zinazozalisha mafuta kwa wingi duniani OPEC linaelekea kutumbukia katika vita kamili vya wenyewe kwa wenyewe.
Mwandishi:Caro Robi/Reuters/afp
Mhariri: Yusuf Saumu

Posted by Editor on 21:07. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for Mahakama ya juu Libya yalifutilia mbali bunge

Post a Comment

Photo Gallery

Designed by Solaranlagen | with the help of Bed In A Bag and Lawyers