EAST AFRICAN NEWS

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA MPAKANI MJINI MUTUKULA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Y...

10 Nov 2017 | 0 comments | Read more

WATANZANIA WANG'ARA SHINDANO LA MWANDISHI BORA WA SAYANSI NA KILIMO AFRIKA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Uganda na Mjumbe wa Bodi ya ASARECA, Dr. Ambrose Agona (kushoto), akimkabidhi cheti Mwand...

29 Sep 2017 | 0 comments | Read more
ENTERTAINMENT NEWS

WAZIRI MWAKYEMBE AUDHURIA TAMASHA LA JAMAFEST NCHINI UGANDA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akipokelewa na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ugand...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI (TASUBA) PAMOJA NA SHORT STATURE OF KENYA ZIKIONYESHA MAIGIZO TAMASHA LA JAMAFEST

 Kikundi cha burudani ya Uchekeshaji kutoka nchini Kenya maarufu kama Short Stature Society of Kenya kikitoa igizo lake la ku...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

DKT.MWAKYEMBE AMEWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA KWA KUSHIRIKI TAMASHA LA JAMAFEST KAMPALA, UGANDA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Utamaduni, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiangalia ngoma ya kiutamaduni iliy...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

WORLD NEWS

TECHNOLOGY

CONGRESS TO SMART DEVICE MAKERS: YOUR SECURITY SUCKS

Four senators propose the "Internet of Things Cybersecurity Improvement Act,"...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

HUAWEI CAME REALLY CLOSE TO SELLING AS MANY PHONES AS APPLE

Apple sold 41 million iPhones in the second quarter, while Huawei's shipments were a...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

SECRET SERVICE WILL REPORTEDLY TEST DRONE FOR TRUMP SECURITY

The Secret Service is looking at whether unmanned aerial vehicles could be use...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

WHAT APPLE'S EARNINGS TELL US ABOUT THE IPHONE 8

The iPhone 7 and 7 Plus may see it's future sibling sooner than many expected.  S...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more
CELEBRITIES NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | 0 comments| Read more

IMPRESSIVE! BEYONCE LOOKS SLENDER IN LOW-CUT DRESS ON SUSHI DATE IN LA WITH JAY Z

Crazy in love: Beyonce looked absolutely fabulous on a sushi date night with husband Jay Z on Wednesday ...

04 Aug 2017 | 0 comments| Read more

BLOODIED JESSICA BIEL SIZZLES IN STEAMY SEX SCENE WITH HER HUNKY ONSCREEN HUSBAND

Bloody: The gimmick of the show is figuring out why this mother and wife decided to stab a man to death in the first place ...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

Share this Post

SPORTS NEWS

JOSEPH KIMWAGA KUKAA NJE MIEZI MINNE BAADA YA UPASUAJI WA GOTI

WINGA wa Klabu ya Azam FC Joseph Kimwaga akiwa katika chumba cha matibabu katika Hospitali ya Vincent Palloti iliyopo jijini ...

06 Sep 2017 | Read more
HEALTH NEWS

PAMOJA NA UNENE LAKINI HAWEZI ACHA KULA

The Brazilian boy, known only as Misael, was born a healthy 6lb 6oz (2.9kg) But every month since, has gained 6lb (3kg), meaning he str...

29 Sep 2014 | Read more
TOP TEN

Top 10 ‘Breaking Bad’ Moments

Ursula Coyote / AMC 10. The ricin’s fate is revealed For all its discussion over the course of the series, ricin had never been ...

08 May 2014 | Read more
FACTS

WACHINA NOMA SANA

 Ukisikia Wachina balaa sasa hii ni moja wapo, Kiwanda Kimojawapo cha China kijulikanacho kwa jina la LandWind kimeibuka na Kutengene...

25 Nov 2014 | Read more
ENVIRONMENT NEWS

A CLIMATE CHANGE INSPIRED PROJECT LAUNCHES IN DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399 ...

04 Aug 2017 | Read more
FASHION

MH. CATHERINE MAGIGE AZINDUA RASMI DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY

. MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Vijana , Mkoa wa Arusha Catherine Magige  leo amezindua rasmi  duka ...

12 Jan 2015 | Read more
HISTORY

MAKALA FUPI: Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua

Meriam Yehya Ibrahim Ishag aliadhibiwa kwa makosa mawili, zinaa na kuas...

28 May 2014 | Read more
TRAGEDY NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | Read more

dailyvideo

MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA, SHERIA NGOWI AMVALISHA RAIS MPYA WA ZAMBIA


Rais mpya wa
Zambia, Edgar Lungu akiwa amevaa suti maalum  (Presidential suit)
iliyobuniwa na Mbunifu wa mavazi wa Kimataifa kutoka Nchini Tanzania
Sheria Ngowi
akikagua gwaride rasmi kabla ya kuapishwa katika sherehe
za kuapishwa kwake jana asubuhi katika viwanja vya National Heroes, mjini
Lusaka-Zambia. Guy Scott, of Scottish 
 

Rais mpya wa
Zambia, Edgar Lungu akiwa amevaa suti maalum (Presidential
suit)iliyobuniwa na Mbunifu wa mavazi wa Kimataifa kutoka Nchini
Tanzania Sheria
Ngowi
akila kiapo cha kuwa Rais Mpya wa Zambia  katika
sherehe
za zilizofanyika  jana asubuhi katika viwanja vya National Heroes, mjini
Lusaka-Zambia. Guy Scott, of Scottish


 Rais mpya wa
Zambia, Edgar Lungu akiwa amevaa suti maalum (Presidential
suit)iliyobuniwa na Mbunifu wa mavazi wa Kimataifa kutoka Nchini
Tanzania Sheria
Ngowi
akitia saini Hati Maalum Muda mfupi baada ya 
kuapishwa katika sherehe
za kuapishwa kwake jana asubuhi katika viwanja vya National Heroes, mjini
Lusaka-Zambia.
 
 Rais mpya wa
Zambia, Edgar Lungu akiwa amevaa suti maalum (Presidential suit)
iliyobuniwa na Mbunifu wa mavazi wa Kimataifa kutoka Nchini Tanzania
Sheria Ngowi
akipokea salaam Maalum Kutoka kwa Rais wa Mpito wa Zambia Guy Scotts
Muda mfupi baada ya   kuapishwa katika sherehe
za kuapishwa kwake jana asubuhi katika viwanja vya National Heroes, mjini
Lusaka-Zambia.
  Rais mpya
wa Zambia, Edgar Lungu akiwa amevaa suti maalum (Presidential
suit)iliyobuniwa na Mbunifu wa mavazi wa Kimataifa kutoka Nchini
Tanzania Sheria Ngowi  akiwa na Mkewe Eshter Lungu  Muda
mfupi baada ya   kuapishwa katika sherehe
za kuapishwa kwake jana asubuhi katika viwanja vya National Heroes, mjini
Lusaka-Zambia.

Na Mwandishi
Wetu

Mbunifu wa mavazi
wa kimataifa, Sheria Ngowi ameendelea
kuipeperusha bendera ya Tanzania kupitia kipaji chake cha ubunifu wa
mavazi baada ya kumvalisha Rais mpya wa Zambia, Edgar Lungu katika sherehe
za kuapishwa kwake jana asubuhi katika viwanja vya National Heroes, mjini
Lusaka-Zambia.


Rais Lungu 58,
aling’arisha sherehe hizo baada
ya kuvaa suti rasmi (Presidential suit) rangi ya bluu, shati jeupe na
tai nyekundu zilizobuniwa na Mbunifu wa mavazi wa kimataifa, Sheria
Ngowi. Lungu aliambatana na mke wake, Eshter Lungu walipokuwa wanaingia
viwanjani hapo huku wakisindikizwa na ulinzi mkali.


Akizungumza baada
ya hafla hiyo, Sheria Ngowi alisema
amefurahi kupata nafasi ya kipekee ya kumvalisha Rais Lungu katika sherehe
za kuapishwa kwake na kusema ni hatua kubwa katika kazi yake kama mbunifu
wa mavazi wa kimataifa.


“Hii ni hatua
kubwa katika kazi yangu ya ubunifu
wa mavazi, namshukuru Mungu kwa kipaji alichonipa kinachoweza kunitambulisha
na kunifanya niaminike hata kufikia hatua ya kuvuka mipaka ya Tanzania
na kumvalisha Rais mpya wa Zambia, Mheshimiwa Edgar Lungu”, alisema
Ngowi.


Mbunifu Ngowi
alisisitiza kuwa juhudi, nidhamu, bidii
na kumweka Mungu mbele ndio chachu ya mafanikio katika kila utendaji
wa kazi zake akiwa na malengo ya kuipeleka kazi yake katika nyanja za
kimataifa hata kutambulika katika sekta ya ubunifu wa mavazi duniani
kote.


Hafla hiyo
ilihudhuriwa na aliyekuwa Rais wa muda
wa Zambia, Guy Scott na mke wake Charlotte, Mwenyekiti wa jumuiya ya
maendeleo ya nchi za kusini(SADC), Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe, baadhi
ya viongozi wa juu wa Zambaia na nchi mbalimbali pamoja na wananchi
wake.


Mbunifu huyo
ameendelea kuonyesha na kudhihirisha
kuwa Tanzania ni nchi yenye vipaji vinavyoweza kuiletea nchi ya Tanzania
sifa na kuinua uchumi wake katika sekta mbalimbali. Hii si mara ya kwanza
kwa mbunifu huyo kukata mawingu kuitangaza nchi yetu, kwani ni miongoni
mwa wabunifu mashuhuri kutoka Afrika wanaopata fursa kuonyesha ubunifu
wa mavazi yao katika maonyesho ya kimataifa kama vile New York Fashion
Week nchini Marekani na Mercedes Benz fashion Week nchini Afrika
Kusini.


Hii ni changamoto
pia kwa wabunifu wa Tanzania kuziwania
fursa zilizopo na pia kuongeza juhudi ili kutangaza na kupeleka kazi
zao katika soko la kimataifa kama vile Sheria Ngowi alivyofungua
mlango.

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399

Posted by Editor on 09:20. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA, SHERIA NGOWI AMVALISHA RAIS MPYA WA ZAMBIA

Post a Comment

Photo Gallery

Designed by Solaranlagen | with the help of Bed In A Bag and Lawyers