EAST AFRICAN NEWS

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA MPAKANI MJINI MUTUKULA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Y...

10 Nov 2017 | 0 comments | Read more

WATANZANIA WANG'ARA SHINDANO LA MWANDISHI BORA WA SAYANSI NA KILIMO AFRIKA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Uganda na Mjumbe wa Bodi ya ASARECA, Dr. Ambrose Agona (kushoto), akimkabidhi cheti Mwand...

29 Sep 2017 | 0 comments | Read more
ENTERTAINMENT NEWS

WAZIRI MWAKYEMBE AUDHURIA TAMASHA LA JAMAFEST NCHINI UGANDA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akipokelewa na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ugand...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI (TASUBA) PAMOJA NA SHORT STATURE OF KENYA ZIKIONYESHA MAIGIZO TAMASHA LA JAMAFEST

 Kikundi cha burudani ya Uchekeshaji kutoka nchini Kenya maarufu kama Short Stature Society of Kenya kikitoa igizo lake la ku...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

DKT.MWAKYEMBE AMEWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA KWA KUSHIRIKI TAMASHA LA JAMAFEST KAMPALA, UGANDA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Utamaduni, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiangalia ngoma ya kiutamaduni iliy...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

WORLD NEWS

TECHNOLOGY

CONGRESS TO SMART DEVICE MAKERS: YOUR SECURITY SUCKS

Four senators propose the "Internet of Things Cybersecurity Improvement Act,"...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

HUAWEI CAME REALLY CLOSE TO SELLING AS MANY PHONES AS APPLE

Apple sold 41 million iPhones in the second quarter, while Huawei's shipments were a...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

SECRET SERVICE WILL REPORTEDLY TEST DRONE FOR TRUMP SECURITY

The Secret Service is looking at whether unmanned aerial vehicles could be use...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

WHAT APPLE'S EARNINGS TELL US ABOUT THE IPHONE 8

The iPhone 7 and 7 Plus may see it's future sibling sooner than many expected.  S...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more
CELEBRITIES NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | 0 comments| Read more

IMPRESSIVE! BEYONCE LOOKS SLENDER IN LOW-CUT DRESS ON SUSHI DATE IN LA WITH JAY Z

Crazy in love: Beyonce looked absolutely fabulous on a sushi date night with husband Jay Z on Wednesday ...

04 Aug 2017 | 0 comments| Read more

BLOODIED JESSICA BIEL SIZZLES IN STEAMY SEX SCENE WITH HER HUNKY ONSCREEN HUSBAND

Bloody: The gimmick of the show is figuring out why this mother and wife decided to stab a man to death in the first place ...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

Share this Post

SPORTS NEWS

JOSEPH KIMWAGA KUKAA NJE MIEZI MINNE BAADA YA UPASUAJI WA GOTI

WINGA wa Klabu ya Azam FC Joseph Kimwaga akiwa katika chumba cha matibabu katika Hospitali ya Vincent Palloti iliyopo jijini ...

06 Sep 2017 | Read more
HEALTH NEWS

PAMOJA NA UNENE LAKINI HAWEZI ACHA KULA

The Brazilian boy, known only as Misael, was born a healthy 6lb 6oz (2.9kg) But every month since, has gained 6lb (3kg), meaning he str...

29 Sep 2014 | Read more
TOP TEN

Top 10 ‘Breaking Bad’ Moments

Ursula Coyote / AMC 10. The ricin’s fate is revealed For all its discussion over the course of the series, ricin had never been ...

08 May 2014 | Read more
FACTS

WACHINA NOMA SANA

 Ukisikia Wachina balaa sasa hii ni moja wapo, Kiwanda Kimojawapo cha China kijulikanacho kwa jina la LandWind kimeibuka na Kutengene...

25 Nov 2014 | Read more
ENVIRONMENT NEWS

A CLIMATE CHANGE INSPIRED PROJECT LAUNCHES IN DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399 ...

04 Aug 2017 | Read more
FASHION

MH. CATHERINE MAGIGE AZINDUA RASMI DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY

. MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Vijana , Mkoa wa Arusha Catherine Magige  leo amezindua rasmi  duka ...

12 Jan 2015 | Read more
HISTORY

MAKALA FUPI: Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua

Meriam Yehya Ibrahim Ishag aliadhibiwa kwa makosa mawili, zinaa na kuas...

28 May 2014 | Read more
TRAGEDY NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | Read more

dailyvideo

MAHAKAMA YA AFRIKA KUHAMASISHA WADAU NCHINI GUINEA BISSAU KUHUSU UWEPO NA KAZI ZA MAHAKAMA HIYO


Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) yenye makao yake makuu Jijini Arusha inafanya Ziara ya kikazi nchini Guinea Bissau ili kukutana na kufanya mazungumzo na wadau mbalimbali kwa lengo la kuitangaza Mahakama hiyo.

Katika ziara hiyo ya siku mbili inayoanza Jumatatu August 14 hadi 15 mwaka huu,Wajumbe wake ambao ni pamoja na Majaji watatu wa Mahakama hiyo na baadhi ya Maafisa wa Ofisi ya Msajili wa Mahakama watakutana na Rais wa Guinea Bissau,Waziri wa Mambo ya Nje,Waziri wa Sheria na Spika wa Bunge la nchi hiyo.

Rais wa AfCHPR, Mheshimiwa Jaji Sylvain Ore’ amesema ili kufanikisha malengo ya AfCHPR na pia kuimarisha mfumo wa Haki za Binadamu Barani Afrika,Nchi nyingi za Umoja wa Afrika hazina budi kuridhia itifaki iliyounda Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu kwa Mujibu wa kifungu cha 34(6) na kutoa tamko rasmi la kutambua na kukubali Mamlaka ya Mahakama hiyo kuweza kupokea kesi za watu binafsi na Mashirika yasiyo ya kiserikali(NGO’s).

Kwa mujibu wa Jaji Ore’,Uelewa wa wadau hao kuhusu uwepo wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu pia utaleta hamasa kwa Nchi nyingi zaidi za umoja wa Afrika kuridhia itifaki iliyoanzisha Mahakama hiyo.

Hadi sasa ni Nchi 30 kati ya Nchi 55 wanachama wa umoja wa Afrika ndiyo zimeridhia itifaki na kati ya hizo,Ni nchi 8 tu ndio zimekwisha toa tamko rasmi la kutambua Mamlaka ya Mahakama hiyo na kuruhusu Watu binafsi na Mashirika yasiyo ya kiserikali kupeleka kesi katika Mahakama hiyo.
Guinea Bissau imetia saini mkataba ulioanzisha AfCHPR mwezi June,1998 lakini haijaridhia na wala kutoa tamko la kuruhusu watu binafsi na Ngo’s kupeleka kesi Mahakamani hapo.

“Tangu mwaka 2010,AfCHPR imefanikiwa kuendesha programu mbalimbali zinazolenga kuhamasisha na kutoa elimu juu ya uwepo wa Mahakama hiyo na shughuli zake ambapo imefanya ziara katika baadhi ya Nchi wanachama wa Umoja wa Afrika kuendesha Semina na Mikutano katika ngazi ya Kitaifa na Kikanda kwa lengo la kukuza uelewa wa wadau juu ya uwepo wa Mahakama.”Alisema Jaji Ore’.

Mwezi April mwaka huu,Mahakama hiyo iliendesha semina kama hiyo ya uhamasishaji Nchini Misri na Tunisia na tayari Tunisia imetoa tamko la kuruhusu watu binafsi na NGo’s katika nchi hiyo kupeleka kesi zao moja kwa moja katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu,huku Misri ikieleza kuridishwa kwake na utekelezaji wa shughuli za Mahakama katika kipindi cha Miaka 10 iliyopita na kuahidi kuwa itaridhia itifaki husika.

Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu ilianzishwa kwa mujibu wa kifungu namba 1 cha itifaki ya mkataba ulioanzisha Mahakama hiyo ambapo Itifaki hiyo ilikubaliwa juni 09,1998 nchini Burkina Faso na ikaanza kutumika Januari 25,2004 na ilianza shughuli zake rasmi Novemba 2006.

Posted by Editor on 12:23. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for MAHAKAMA YA AFRIKA KUHAMASISHA WADAU NCHINI GUINEA BISSAU KUHUSU UWEPO NA KAZI ZA MAHAKAMA HIYO

Post a Comment

Photo Gallery

Designed by Solaranlagen | with the help of Bed In A Bag and Lawyers