EAST AFRICAN NEWS

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA MPAKANI MJINI MUTUKULA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Y...

10 Nov 2017 | 0 comments | Read more

WATANZANIA WANG'ARA SHINDANO LA MWANDISHI BORA WA SAYANSI NA KILIMO AFRIKA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Uganda na Mjumbe wa Bodi ya ASARECA, Dr. Ambrose Agona (kushoto), akimkabidhi cheti Mwand...

29 Sep 2017 | 0 comments | Read more
ENTERTAINMENT NEWS

WAZIRI MWAKYEMBE AUDHURIA TAMASHA LA JAMAFEST NCHINI UGANDA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akipokelewa na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ugand...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI (TASUBA) PAMOJA NA SHORT STATURE OF KENYA ZIKIONYESHA MAIGIZO TAMASHA LA JAMAFEST

 Kikundi cha burudani ya Uchekeshaji kutoka nchini Kenya maarufu kama Short Stature Society of Kenya kikitoa igizo lake la ku...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

DKT.MWAKYEMBE AMEWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA KWA KUSHIRIKI TAMASHA LA JAMAFEST KAMPALA, UGANDA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Utamaduni, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiangalia ngoma ya kiutamaduni iliy...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

WORLD NEWS

TECHNOLOGY

CONGRESS TO SMART DEVICE MAKERS: YOUR SECURITY SUCKS

Four senators propose the "Internet of Things Cybersecurity Improvement Act,"...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

HUAWEI CAME REALLY CLOSE TO SELLING AS MANY PHONES AS APPLE

Apple sold 41 million iPhones in the second quarter, while Huawei's shipments were a...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

SECRET SERVICE WILL REPORTEDLY TEST DRONE FOR TRUMP SECURITY

The Secret Service is looking at whether unmanned aerial vehicles could be use...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

WHAT APPLE'S EARNINGS TELL US ABOUT THE IPHONE 8

The iPhone 7 and 7 Plus may see it's future sibling sooner than many expected.  S...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more
CELEBRITIES NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | 0 comments| Read more

IMPRESSIVE! BEYONCE LOOKS SLENDER IN LOW-CUT DRESS ON SUSHI DATE IN LA WITH JAY Z

Crazy in love: Beyonce looked absolutely fabulous on a sushi date night with husband Jay Z on Wednesday ...

04 Aug 2017 | 0 comments| Read more

BLOODIED JESSICA BIEL SIZZLES IN STEAMY SEX SCENE WITH HER HUNKY ONSCREEN HUSBAND

Bloody: The gimmick of the show is figuring out why this mother and wife decided to stab a man to death in the first place ...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

Share this Post

SPORTS NEWS

JOSEPH KIMWAGA KUKAA NJE MIEZI MINNE BAADA YA UPASUAJI WA GOTI

WINGA wa Klabu ya Azam FC Joseph Kimwaga akiwa katika chumba cha matibabu katika Hospitali ya Vincent Palloti iliyopo jijini ...

06 Sep 2017 | Read more
HEALTH NEWS

PAMOJA NA UNENE LAKINI HAWEZI ACHA KULA

The Brazilian boy, known only as Misael, was born a healthy 6lb 6oz (2.9kg) But every month since, has gained 6lb (3kg), meaning he str...

29 Sep 2014 | Read more
TOP TEN

Top 10 ‘Breaking Bad’ Moments

Ursula Coyote / AMC 10. The ricin’s fate is revealed For all its discussion over the course of the series, ricin had never been ...

08 May 2014 | Read more
FACTS

WACHINA NOMA SANA

 Ukisikia Wachina balaa sasa hii ni moja wapo, Kiwanda Kimojawapo cha China kijulikanacho kwa jina la LandWind kimeibuka na Kutengene...

25 Nov 2014 | Read more
ENVIRONMENT NEWS

A CLIMATE CHANGE INSPIRED PROJECT LAUNCHES IN DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399 ...

04 Aug 2017 | Read more
FASHION

MH. CATHERINE MAGIGE AZINDUA RASMI DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY

. MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Vijana , Mkoa wa Arusha Catherine Magige  leo amezindua rasmi  duka ...

12 Jan 2015 | Read more
HISTORY

MAKALA FUPI: Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua

Meriam Yehya Ibrahim Ishag aliadhibiwa kwa makosa mawili, zinaa na kuas...

28 May 2014 | Read more
TRAGEDY NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | Read more

dailyvideo

KISWAHILI KUWA LUGHA RASMI EAC


Imeandikwa na Mwandishi Wetu


Katibu Mkuu wa EAC, Balozi Liberat Mfumukeko
UONGOZI wa Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC) umesema, kuna mipango ya kukifanya Kiswahili iwe lugha rasmi ya jumuia hiyo yenye watu zaidi milioni 150.
Katibu Mkuu wa EAC, Balozi Liberat Mfumukeko ameyasema hayo wakati alipokuwa anazungumza na Balozi mpya wa Uganda nchini Tanzania, Richard Kabonero kwenye ofisi za makao makuu jijini Arusha hivi karibuni. Hadi sasa Kiswahili ni lugha ya Taifa nchini Tanzania na baadhi ya wananchi kwenye nchi nyingine wanachama wanaizungumza lugha hiyo.
Hivi karibuni Naibu Waziri Mkuu wa Uganda anayeshughulikia masuala ya EAC, Kirunda Kivejinja alisisitiza umuhimu wa wananchi kwenye nchi wanachama kukitumia Kiswahili kuwaunganisha. Kiongozi huyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri EAC alisema, nchi wanachama wa EAC hazitafanikiwa kutekeleza kifungu cha 137 (2) cha makubaliano ya kuanzishwa jumuia hiyo kama hazitakitumia Kiswahili kuwaunganisha.
Aliyasema hayo Zanzibar wakati wa hafla ya kufungwa kwa Mkutano wa kwanza wa Kimataifa ulioandaliwa na Tume ya Kiswahili ya Afrika Mashariki (EAKC). Alisema ni muhimu kwa Kiswahili kifanywe rahisi na sehemu kubwa ya watu kwenye eneo la EAC waitumie lugha hiyo na lugha zao za asili zikiwemo za zaidi ya makabila 120 nchini Tanzania. Alitoa pendekezo kwa EAKC kutoa mapendekezo kwamba Kiswahili kitumike vipi ili kufanikiwa katika utekelezaji wa Malengo Endelevu ya Maendeleo (SDGs).
Katibu Mkuu wa EAKC, Profesa Kenneth Simala alisema kwenye mkutano huo kuwa, tume hiyo inafanya kazi kwa karibu na vyama vya Kiswahili kwenye nchi wanachama ili viwe na umoja. Wajumbe wa mkutano huo walijadili, pamoja na mambo mengine namna Kiswahili kinavyoweza kutumika kuzidisha mtangamano EAC sanjari na kuchangia utekelezaji wa malengo endelevu.
Wajumbe walieleza umuhimu wa kuanzishwa haraka mabaraza ya Kiswahili na vyama vya lugha hiyo kwenye kila nchi, kutumia lugha hiyo kwenye ngazi mbalimbali za elimu, kuhamasisha tafiti za Kiswahili na nchi wanachama kuitumia lugha hiyo kwenye programu za elimu ya watu wazima.
Wakati wa mazungumzo na Balozi Kabonero jijini Arusha, Balozi Mfumukeko alisema, pamoja na suala hilo la lugha ya Kiswahili, EAC pia inajielekeza kwenye kuongeza uwekezaji kwenye viwanda na sekta ya kilimo ikiwa ni sehemu ya mikakati kupunguza ukubwa wa tatizo la ukosefu wa ajira. Alisema, licha ya kutekeleza protokali za ushuru wa pamoja wa forodha, soko la pamoja na fedha ya pamoja, jumuiya pia inatafuta rasilimali ili kutekeleza miradi ya maendeleo ya miundombinu zikiwemo reli na barabara.
CHANZO HABARI LEO

Posted by Editor on 12:13. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for KISWAHILI KUWA LUGHA RASMI EAC

Post a Comment

Photo Gallery

Designed by Solaranlagen | with the help of Bed In A Bag and Lawyers