Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji
wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni wakiwa
wamesimama wakati nyimbo za Taifa za nchi zao pamoja na wa Jumuiya ya
Afrika Mashariki zikipigwa kabla ya kuanza kwa sherehe za uwekaji wa
jiwe la msingi la mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki
(EACOP) katika kijiji cha Luzinga pamoja na kuzindua Kituo cha Pamoja
cha huduma za mpakani (One Stop Border Post - OSBP) Mutukula nchini
Uganda Novemba 9, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akikagua
gwaride la heshima kabla ya kuanza kwa sherehe za uwekaji wa jiwe la
msingi la mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP)
katika kijiji cha Luzinga pamoja na kuzindua Kituo cha Pamoja cha huduma
za mpakani (One Stop Border Post - OSBP) Mutukula nchini Uganda Novemba
9, 2017
Mke
wa Rais wa Tanzania Mama Janeth Magufuli akiwa na Mke wa Rais wa Uganda
Mama Janeth Museveni wakati nyimbo za taifa zikipigwa kabla ya kuanza
kwa sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi la mradi wa Bomba la Mafuta
Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) katika kijiji cha Luzinga pamoja na
kuzindua Kituo cha Pamoja cha huduma za mpakani (One Stop Border Post -
OSBP) Mutukula nchini Uganda Novemba 9, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli
akitambulisha ujumbe alioongozana nao kwa mwenyeji wake Rais wa Jamhuri
ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni kabla ya kuanza kwa sherehe za
uwekaji wa jiwe la msingi la mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika
Mashariki (EACOP) katika kijiji cha Luzinga pamoja na kuzindua Kituo cha
Pamoja cha huduma za mpakani (One Stop Border Post - OSBP) Mutukula
nchini Uganda Novemba 9, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipeana
mikono na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta
Museveni huku wake zao wakifurahia baada ya viongozi hao kuzindua Kituo
cha Pamoja cha huduma za mpakani (One Stop Border Post - OSBP) Mutukula
nchini Uganda Novemba 9, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji
wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni wakiongozana
na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Charles Kichere
baada ya kuzindua Kituo cha Pamoja cha huduma za mpakani (One Stop
Border Post - OSBP) Mutukula nchini Uganda Novemba 9, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji
wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni wakisalimiana
na viongozi wa kampuni ya Total ya Ufaransa wakati wa sherehe
za uwekaji wa jiwe la msingi la mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la
Afrika Mashariki (EACOP) katika kijiji cha Luzinga Mutukula nchini
Uganda Novemba 9, 2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji
wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta wakiweka jiwe
la msingi la mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP)
katika kijiji cha Luzinga Mutukula nchini Uganda Novemba 9, 2017. Picha
na IKULU
Imeandikwa na KIGALI, Rwanda
“UKIWA mwalimu, hakika wewe ni mtu muhimu sana katika malezi ya
mwanafunzi, kwani una nafasi kubwa ya kupenda mapema na kujifunza kutoka
kwako kwa sababu wewe ni mwalimu, mlezi na kioo cha mwanafunzi, haya
yakiunganishwa yanaweza kumtengeneza mwanafunzi bora,” anaandika Kahlil
Gibran katika kitabu chake, The Prophet `Mtume’, akioanisha majukumu
aliyonayo mwalimu.
Walimu kwa upande wao, wanasema zawadi kubwa kwao ni kuona wanafunzi
wao wanakuwa na mafanikio katika jamii. Na hicho ndicho kinachompa
furaha Augustin Nyabutsitsi, mwalimu mwenye umri wa miaka 74
aliyemfundisha Rais wa Rwanda, Paul Kagame katika madarasa ya sita na
saba kati ya mwaka 1967 na 1968. Nyabutsitsi ambaye bado ni mwalimu,
akifundisha katika Shule ya Le Bon Berger iliyopo Kimironko, Kigali,
anakiri kwamba alimwadhibu Kagame wakati anasoma Shule ya Msingi
Rwengoro iliyopo katika kambi ya wakimbizi Gahunge nchini Uganda.
Kwa mujibu wa mwandishi Marie-Anne Dushimana wa gazeti la Newtimes la
Rwanda, ikiwa imepita miaka 50 sasa, mwalimu huyo anasema anawakumbuka
vyema wanafunzi wake wa miaka hiyo. “Kagame alikuwa kama watoto wengine,
lakini alikuwa na utofauti, alikuwa mwerevu sana. Alipendelea masomo ya
Hisabati na Kiingereza. Alikuwa pia mdadisi, hakuacha kuuliza maswali
mpaka alipoona amejiridhisha,” anasema Nyabutsitsi na kuongeza kuwa,
daima Kagame alikuwa kinara darasani kwake.
Aidha, anakumbuka kuwa enzi hizo, Kagame alipendelea mno mchezo wa
soka, akitumia mpira wa `chandimu’ uliotengenezwa na kufungwa kwa kamba
za majani ya mgomba. Nyabutsitsi anasema hakuna kitu kinachofurahisha
kwa mwalimu, kama kuona mwanafunzi wake anamkumbuka na kutambua mchango
wa mwalimu katika maisha. Anasema kwa miaka mingi alikuwa na ndoto za
kuonana na mwanafunzi wake, Kagame, bila ya kujua kuwa Rais huyo wa sasa
wa Rwanda pia alikuwa na ndoto kama hizo.
Alisema hali hiyo siku alipokutana na Rais Kagame mkutanoni huko
Nyagatare, ambako aliuliza kama kuna yeyote anayefahamu anakoishi
mwalimu wake wa shule ya msingi, Augustin Nyabutsitsi. Alimkabidhi pia
jukumu hilo Profesa Manasseh Nshuti, akimtaka ahakikishe anamtafuta
Mwalimu Nyabutsitsi. Hatimaye, Kagame na mwalimu wake walikutana Januari
25, mwaka 2016.
Kwa sasa, Nyabutsitsi anaishi eneo la Kata ya Kinyinya katika wilaya
ya Gasabo katika kijiji cha kisasa maarufu kama “Kwa Dubai”. Anaishi
katika nyumba ya kisasa ya vyumba vinne aliyozawadiwa na Rais Kagame.
“Tulipokutana, sikuomba chochote kutoka kwake, lakini nilishangaa
alikuwa na taarifa nyingi juu yangu. Aliniambia amesikia naishi nyumba
ya kupanga, akaagiza nipatiwe nyumba ya kisasa. Hiki ndicho unachokiona
(anaonesha nyumba), ni zawadi ya Rais Kagame. Sikuwa na ndoto za
kumiliki nyumba ya aina hii.
Namshukuru sana,” alisema Nyabutsitsi huku sura yake ikiwa na
tabasamu pana. Anasema tukio hilo liliwashitua wengi, kiasi cha
kumiminika kuishuhudia. Dada wa Nyabutsitsi, Teddy Kawera (60) ambaye
pia ni Mwalimu katika shule ya Wellspring Academy ya jijini Kigali,
anasema kwa ujumla, zawadi hiyo ya nyumba ikiwa sawa na miujiza kwao.
“Tulikuwa tunaishi nyumba ya vyumba vitatu ya kupanga eneo la Kanombe
kwa gharama ya Faranga za Rwanda 150,000. Kodi ya nyumba sasa imebaki
historia, tunaishi kwa amani, bila ya kuumiza kichwa kufikiria kodi ya
pango, asante Rais Kagame,” anasema Kawera. Furaha ya Mwalimu Anasema
amekuwa mwenye furaha mno kuona baadhi ya wanafunzi wake wamekuwa watu
mashuhuri nchini Rwanda.
“Naamini nimekuwa na faida kwa nchi yangu. Kuna maofisa wengi wakubwa
na wanajeshi niliowafundisha, miongoni mwao ni Joseph Mugambage
anayefanya kazi na Rais Kagame, pia wamo Meja Rugira, Alexis Kagame na
wengine wengi. Orodha ni ndefu, lakini kinara wao ni Rais Kagame,”
anasema Nyabutsitsi. Akiwa katika fani ya ualimu kwa miaka 50 sasa,
Mwalimu Nyabutsitsi anasema siku zote amekuwa na wito wa kufundisha
watoto wa Rwanda. “Hakuna kinachonifurahisha kama kuona watu
niliowafundisha wanageuka kuwa muhimu katika nchini… ni bahati iliyoje,”
anasema.
Anasema mazingira ya kazi ya walimu, si kigezo cha kushindwa
kufundisha vyema, bali kiu ya kufanya kazi inapaswa kuwa mbele, ikiwa ni
pamoja na kuwa na upendo kwa wanafunzi. “Nashauri walimu wasiangalie
mazingira ya kazi tu, bali mwito kwanza. Wanafunzi wakiona wanapendwa,
hurudisha upendo kwa walimu wao na hata kuendeleza upendo kwa wengine.
Zawadi hii ya nyumba ni uthibitisho wa haya niyasemayo, nimefarijika
kukumbukwa na mwanafunzi wangu ambaye kwa sasa ni Rais wa Rwanda, Paul
Kagame,” anasema. Stevenson Mutunzi, mwalimu wa Shule ya Le Bon Berger,
anasema amepata fundisho kubwa kutoka kwa Mwalimu Nyabutsitsi. “Ametupa
fundisho kubwa la uvumilivu na kuipenda kazi licha ya changamoto kadhaa
zikiwemo za mishahara,” anasema.
Naye Egide Musoni, Mjumbe wa Kamati ya Wazazi wa shule ya Le Bon
Berger, anasema amefurahi kuona watoto wao wakifundishwa na mwalimu
aliyemfundisha pia mtu mashuhuri kama Rais Kagame. Baada ya kushuhudia
mabadiliko makubwa ambayo Rwanda imeyafikia kimaendeleo tangu mwaka
1994, anaamini miaka michache ijayo nchi hiyo chini ya Rais Kagame
itapiga hatua zaidi na zaidi, hivyo anamwombea maisha marefu
`mwanafunzi’ wake.
CHANZO HABARI LEO
Imeandikwa na Mwandishi Maalumu, Pretoria
WAKUU wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika
(SADC), wamempongeza Rais John Magufuli kwa kazi nzuri aliyoifanya
wakati akiwa mwenyekiti Asasi ya Ushirikiano wa Siasa, Ulinzi na Usalama
ya jumuiya hiyo.
Walitoa pongezi hizo jana wakati wakihitimisha Mkutano wao wa 37
mjini Pretoria, Afrika Kusini. Akizungumzia mambo muhimu yaliyojadiliwa
katika mkutano huo wa 37 wa SADC, Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan
ambaye alimwakilisha Rais Magufuli katika mkutano huo, alisema pamoja na
mambo mengine, SADC imetambua na kuthamini mchango wa Tanzania katika
kipindi cha uongozi wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama iliyokuwa chini
ya Rais Magufuli.
Alisema Tanzania imeshakuwa mwenyekiti wa asasi hiyo mara tatu kwa
nyakati tofauti, ambapo mara ya kwanza ilikuwa kipindi cha 2006/2007,
mara ya pili 2012/2013 na mara ya tatu kipindi cha Agosti 2016 hadi
Agosti 2017. Tanzania imemaliza kipindi chake cha Uenyekiti wa Asasi ya
SADC Agosti 19, 2017 wakati wa mkutano huo wa 37. Tanzania ilipokea
kijiti cha uongozi huo kutoka Msumbiji wakati wa Mkutano wa 36,
uliofanyika Swaziland Agosti 30, 2016.
Miongoni mwa mafanikio yaliyopatikana wakati wa Uenyekiti wa Tanzania
katika asasi hiyo ni kusimamia uchaguzi wa Bunge nchini Seychelles,
uliofanyika Septemba, 2016. Aidha katika kipindi hicho, Tanzania
ilisaidia kurejesha hali ya amani na utulivu nchini Lesotho, ambayo kwa
muda mrefu tangu 2014 imekuwa kwenye mgogoro wa kisiasa; pamoja na
kushughulikia matatizo ya uchaguzi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya
Congo (DRC).
Wakati huo huo, Mkutano huo wa 37 wa SADC ulimuongezea muda mwingine
Mtanzania, Dk Stergomena Taxi kuendelea na wadhifa aliokuwa nao wa
Katibu Mtendaji wa SADC kwa kipindi cha miaka minne mingine, ambapo
atatumikia nafasi hiyo hadi mwaka 2021. Dk Taxi alithibitishwa jana na
Mkutano huo wa Wakuu wa Nchi na Serikali na kuapishwa rasmi kushika
nafasi hiyo.
CHANZO HABARI LEO
Imeandikwa na Mwandishi Wetu
SIKU 10 tangu kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Kenya, imeelezwa kuwa
nchi hiyo ndiyo inayoongoza kwa kufanya uchaguzi ghali zaidi barani
Afrika.
Aidha, kwa duniani imeshika nafasi ya pili, ikitanguliwa na Papua New
Guinea inayotajwa kuwa kinara duniani, kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali
vya habari. Wakati Papua NewGuinea ikitajwa kumgharimu kila mpigakura
Dola za Marekani 63 (Sh 132,300 za Tanzania), Kenya imetajwa kumgharimu
kila raia wake dola 25.4 (Sh 53,340) ili kulipia gharama za kila kura
katika mchakato huo wa kidemokrasia.
Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha ya Kenya, Kamau Thugge
katika taarifa yake kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Agosti 8, mwaka huu,
makadirio ya fedha za uchaguzi yalikuwa Shilingi za Kenya bilioni 49.9,
sawa na dola za Marekani milioni 499 (Sh trilioni 1.04 za Tanzania). “Ni
gharama za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja katika uchaguzi.
Gharama za moja kwa moja ni Shilingi za Kenya bilioni 33.3 (Dola
milioni 333, sawa na Sh za Tanzania bilioni 700). Kwa mujibu wa
mchanganuo uliokuwa umetolewa, dola milioni 429 zilitakiwa kwenda Tume
Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), huku kiasi kingine kikisambazwa kwa
ajili ya mahakama, taasisi za usalama na msajili wa vyama vya siasa.
Hii ina maana kwamba, kwa dola 25.4 kwa kila mpigakura kati ya
Wakenya milioni 19.6 waliojiandikisha, imetia fora kwa kufanya uchaguzi
ghali zaidi katika Bara la Afrika. Inaelezwa kuwa, mwaka 2013 Kenya
ilitumia Sh bilioni 26 za nchi hiyo, sawa na Dola za Marekani milioni
260 (Sh bilioni 540) kwa ajili ya uchaguzi mkuu uliomweka madarakani kwa
mara ya kwanza Uhuru Kenyatta.
Kiasi hicho ni takribani mara mbili ya uchaguzi wa mwaka huu.
Uchaguzi Mkuu wa Kenya mwaka huu pia umevutia idadi kubwa ya wagombea,
ambapo kulikuwa na wagombea 16,259 wakiwania nafasi mbalimbali 1,882
huku katika kiti cha urais kilichowaniwa na wagombea wanane, Uhuru
Kenyatta (55) alirejea madarakani baada ya kuvuna asilimia 54 ya kura
milioni 15.6 zilizopigwa, akimbwaga kwa mara nyingine mshindani wake,
Raila Odinga aliyepata asilimia 44.4 ya kura zote.
Hata hivyo, Raila aliyewania urais kwa tiketi ya Muungano wa Vyama
vya Upinzani (NASA), ikiwa ni mara yake ya nne kuisaka Ikulu ya Kenya,
lakini bila mafanikio, amegomea matokeo ya uchaguzi huo akidai haukuwa
huru na wa haki, licha ya waangalizi wa kimataifa kuusifia uchaguzi huo
kuwa haukuwa na dosari. Raila mwenye umri wa miaka 72, amekwenda
mahakamani kupinga rasmi matokeo ya uchaguzi huo.
Katika Afrika Mashariki, Rwanda ambayo pia imefanya uchaguzi wake
mkuu mapema mwezi huu uliomrejesha Rais Paul Kagame madarakani, hivyo
kuendelea kuongoza kwa muhula wa tatu, imeelezwa gharama zake za
uchaguzi kuwa zimemgharimu kila mpigakura Dola ya Marekani 1.05 (sawa na
Sh 2,205 za Tanzania). Ilikuwa na wapigakura waliojiandikisha milioni
6.8.
Katika mwaka 2010, inakadiriwa kila mpigakura wa Rwanda aliigharimu
nchi yake dola 1.71 (Sawa za Shilingi za Tanzania 3,591). Gharama za
Uchaguzi Mkuu wa Uganda wa mwaka jana, 2016 zinaonesha zilikuwa sawa na
Dola 4 za Marekani (Shilingi za Tanzania 8,400), wakati Uchaguzi Mkuu wa
Tanzania wa mwaka 2015 uliomweka madarakani Rais mchapakazi na `kioo’
cha nchi nyingi, Dk John Magufuli ulimgharimu kila mpigakura dola 5.16
(Shilingi za Tanzania 10,836).
Uchaguzi wa Ghana wa mwaka jana umetajwa ndiyo uliokuwa na gharama za
chini zaidi barani Afrika, kwa wastani wa dola 0.70 (Sh 1,050 za
Tanzania), wakati kiwango cha chini duniani ni wastani wa dola 5 (Sh
10,500 za Tanzania). Nigeria, taifa lenye watu milioni 186 ambalo lina
wapigakura takribani milioni 70, mwaka 2015 lilitajwa kutumia dola
milioni 603 (Sh za Tanzania trilioni 1.26), sawa na dola 8.61 (Sh
18,081) kwa kila mpigakura.
Tume ya Uchaguzi Tanzania Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi
(NEC), Ramadhan Kailima amesema kuna mambo ambayo Tanzania inaweza
kujifunza kwa namna ambavyo uchaguzi nchini Kenya umefanyika. Aidha,
ameipongeza Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya (IEBC) kwa
kufanya vizuri katika uchaguzi mkuu uliofanyika Agosti 8, mwaka huu na
Rais Kenyatta kurejea madarakani akiwabwaga washindani wake saba,
akiwemo wa karibu, Odinga.
“Tume imefanya mambo mazuri sana na wamekuwa mfano hata kuna taasisi
zimesema hivyo ikiwemo AU (Umoja wa Afrika) na EU (Jumuiya ya Ulaya),
hivyo nina kila sababu ya kumpongeza mtendaji mwenzangu,” alisema
Kailima. Alisema utaratibu waliotumia hauna tofauti na utaratibu
uliotumika nchini katika uchaguzi mkuu uliopita, lakini kuna baadhi ya
mambo yanapaswa kuigwa kutoka kwao. “Mfano matumizi makubwa ya
teknolojia, utoaji wa elimu ya mpigakura ambapo wao wameanza kipindi cha
maandalizi ya kuboresha daftari la kupigia kura, lakini sisi tutafanya
kwa mwaka mzima, kufanya midahalo baina ya Tume na wananchi ili wapate
nafasi ya kuuliza maswali na kujibiwa,” alisema Kailima.
CHANZO HABARI LEO
Africa's richest man, Aliko Dangote (60) wants to buy Arsenal and declares the first thing he would do is to SACK Arsene Wenger. Source; Mail.
Watu 13 wameripotiwa kufariki na wengine wengi kujeruhiwa
kufuatia gari moja kuendeshwa na kuvamia umati wa watu eneo la utalii la
Las Ramblas mjini Barcelona.
Polisi wameripoti tukio hilo na kusema ni shambulio la kigaidi.
UEFA Super Cup 2017, Real Madrid vs Man United, Leo Saa 3:45 Usiku - Telekom Arena,Skopje,Macedonia.
Imeandikwa na NAIROBI, Kenya
WAKATI Wakenya wanapiga kura leo ya kumchagua Rais wa nchi, imeelezwa
kuwa ukosefu wa ajira, rushwa, gharama za maisha, hali ya usalama na
huduma za umma za bure ni miongoni mwa mambo ambayo yanapewa kipaumbele
na wapiga kura nchini humo.
Suala la usalama kwa uchaguzi wa leo na baada ya uchaguzi ni jambo
linalotazamwa kipekee na Wakenya wenyewe, lakini pia Jumuiya ya
Kimataifa hasa kutokana na tukio la hivi karibuni la kutekwa na kuuawa
kwa Meneja wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT) wa Tume ya
Uchaguzi ya Kenya (IEBC), Chris Msando.
Pamoja na tukio hilo, wananchi nchini humo wanataka uchaguzi uwe wa
amani na haki ili zisijirudie vurugu za mwaka 2007-2008 ambapo watu
takriban 1,200 waliuawa baada ya Raila Odinga kupinga ushindi wa Mwai
Kibaki. Katika maombi yao kwa taifa juzi kutokana na uchaguzi wa leo,
baadhi ya viongozi wa dini walisema walisumbuliwa na kauli za wanasiasa
zinazosababisha hofu na wasiwasi kwa wananchi.
“Tuliombea amani na uchaguzi wa haki, tuendelee kutunza amani ili
tusije tukaangukia kwenye machafuko kama yaliyotokea mwaka 2007-2008,”
alisema Moses Njagi, mmoja wa viongozi wa dini walioendesha maombi ya
kuombea amani. Ikumbukwe kuwa Raila Odinga mwenye umri wa miaka 72,
anagombea urais wa Kenya kwa mara ya nne; kwa sasa anagombea kwa upande
wa upinzani kupitia Muungano wa NASA (National Super Alliance). Kwa
Odinga, nafasi hii ni muhimu na huenda ikawa ya mwisho kwake katika
kinyang’anyiro cha urais kutokana na umri wake kuwa mkubwa.
Aliwania urais kwa mara ya kwanza mwaka 1997 na baadaye mwaka 2007,
2013 na sasa 2017. Wakati Odinga akigombea urais kwa mara ya nne, Rais
Uhuru Kenyatta (56) anatetea nafasi yake ya urais kwa kipindi cha pili
kupitia Muungano wa Jubilee. Katika uchaguzi uliopita wa mwaka 2013,
takwimu zinaonesha kuwa Rais Kenyata alimshinda Odinga kwa kupata kura
milioni 6.1 wakati Odinga alipata kura milioni 5.3 kati ya kura zote
12.3 zilizopigwa.
Katika uchaguzi wa leo, Wakenya takriban milioni 20 watapiga kura ya
kuamua ama kumbakisha Rais Kenyatta Ikulu au kumwingiza Odinga. Kutokana
na ushindani mkubwa kati ya wanasiasa hao wawili kwa kipindi chote cha
siku 70 za kampeni, Wakenya, Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na
ulimwengu unasubiri kwa hamu kujua nani ataingia Ikulu ya Nairobi.
CHANZO HABARI LEO
Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399
Crazy in love:
Beyonce looked absolutely fabulous on a sushi date night with husband
Jay Z on Wednesday evening in Los Angeles, nearly two months after the
birth of twins Rumi and Sir
Nearly two months after they welcomed twins Rumi and Sir Carter into the world, Beyonce looked to be in top form on date night with husband Jay Z.
The
35-year-old mother-of-three was positively beaming as she left Sushi
Park in a mini mall on the Sunset Strip in West Hollywood on Wednesday
evening.
With nearly 10 years of marriage under their belts, the couple looked crazy in love as they headed into their romantic dinner.
Daily Mail
Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399
Klabu ya Psg imetangaza rasmi kumsajili mshambuliaji Neymar Jr kutoka Barcelona kwa mkataba wa miaka mitano. Amesajiliwa kwa ada ya rekodi ya dunia ya Pauni milioni 198 na anatarijawa kutambulishwa kwa mashabiki katika uwanja wa Parc De Princes.
Taylor Swift is keeping her head down before appearing in court next week for her assault trial against former DJ David Mueller.
The 27-year-old songstress was spotted leaving her New York City apartment wearing all black on Wednesday.
Hidden
between an entourage that included her mother Andrea and father Scott,
Swift made a quick getaway into a waiting vehicle.
Blank space: Taylor Swift wore an all black outfit as she exited her New York apartment with an entourage on Wednesday
+11
All black everything: The 27-year-old held the hood over her face as she escaped through the back door of her apartment building
The
blonde popstar wore a over sized black sweatshirt and held the hood
over her face as she escaped through the back door of her apartment
building.
Her long legs were fully-covered in a pair of black tights and she wore black Nike running shoes.
Sporting a black backpack, Swift used a pair of dark shades to shield her eyes as she followed a bodyguard to a waiting vehicle.
Mom's here: Taylor's mom Andrea was seen carrying a large black bag into her daughter's Tribeca apartment
Daily Mail
Bloody: The gimmick of the show is figuring out why this mother and wife decided to stab a man to death in the first place
Graphic scenes: Biel plays Cora
Tannetti, a depressed woman, who seemingly out of nowhere kills a man in
front of her son and husband
It will take all eight episodes of the mini-series to learn why she murdered this man.
'I
have challenges standing up for myself sometimes. Times when I don't
trust my own voice. And that's the stuff I needed to bring out and
explore to understand Cora,' Jessica recently explained to Marie Claire.
But she said examining her dark side through Cora was a transformative experience.
Daily Mail
By
Ryan Smith for MailOnline
Over the years, she's turned herself into quite the social media superstar, boasting a collective 156 million followers on her Instagram and Twitter accounts.
But late Wednesday night, Kim Kardashian took to Instagram to ask for her followers' help in sharing some suggestions on ways she can 'step up' her popular page.
Sharing
a snapshot of herself wearing a figure-hugging white off-the-shoulder
dress, the 36-year-old wrote: 'I need more consistency on my insta feed.
Should I go back to all one filter? Please help. I really need to step
my insta page up.' [sic]
Scroll down for video
Help! Kim Kardashian took to
Instagram to ask her followers for suggestions on how she could improve
her Instagram page on Wednesday night, as she shared a sizzling new shot
Daily Mail
Apple sold 41 million iPhones in the
second quarter, while Huawei's shipments were at 38.5 million, according
to Counterpoint Research.
Huawei's phone sales rose 20 percent year over year in the second quarter.
César Salza/CNET
The gap in global phone sales between Apple and Huawei is smaller than ever.
Apple, the world's No. 2 phone seller by volume, sold 41 million iPhones
in the second quarter. Huawei, the No. 3 global phone brand thanks to
its popularity in China and Europe, sold 38.5 million phones during the
same period, Counterpoint Research said Tuesday.
Huawei's
numbers are up 20 percent from the same quarter last year, while
Apple's year-on-year growth was 2 percent. Of course, the Cupertino,
California-based company has little to worry about. Though it sells
fewer phones than Samsung and may eventually fall behind Huawei, it has
always topped profit share. In 2016, Apple accounted for just under 80 percent of all smartphone profits.
"Apple
is the most profitable smartphone brand on the planet with highest
brand equity, however, it is in a conundrum," Counterpoint's Neil Shah
told CNET. Apple is losing ground in China, while brands like Huawei and
Oppo are becoming more popular. "Apple has been losing revenues in
China since (the 2014) iPhone 6 (and) 6Plus launch, which was the peak
for Apple in China," he said.
Oppo and Xiaomi, two other Chinese phone
giants, also grew considerably. The former sold 30.5 million phones in
the second quarter, a 33 percent rise, while the latter's 23.3 million
was a 60 percent increase over the prior year.
Samsung is still
king though, with 80.4 million in phone sales in the quarter. LG, its
South Korean competitor, sold 13.3 million phones, 600,000 fewer than in
the same quarter last year.
CNET NEWS
The Secret Service is looking at whether unmanned aerial vehicles could be useful in protecting the president, Reuters reports.
President Donald Trump's new security detail?
Dave Cheng/CNET
The US Secret Service is reportedly turning to drones to bolster security for President Donald Trump.
The
president's security detail will deploy a small tethered drone during
the president's upcoming visit to his golf club in New Jersey to
determine whether the unmanned aerial vehicles could be useful in
protecting the president, Reuters reported Wednesday.
The
drone will fly autonomously at an altitude of 300 or 400 feet, focusing
on the perimeter of the Trump National Golf Club in Bedminster, Reuters
reported. The test is part of the agency's effort to incorporate
several types of drones and tethered systems into its overhead
security-monitoring efforts, the Secret Service said in a document
released Wednesday.
The Secret Service's aerial surveillance is
currently conducted by manned aircraft supplied by local, state and
federal government agencies. But the manned aircraft is often too loud
and cannot provide consistent coverage, Reuters reported.
The Secret Service couldn't immediately be reached for comment.
CNET NEWS
Image copyrightAFP
Lanky and
soft-spoken, Rwanda's President Paul Kagame portrays himself as a
modern-day politician who sees social media as a way of championing
democracy and development.
However, his opponents accuse him of
being the latest in a long line of authoritarian rulers in Africa, who
will win the 4 August election after his regime brutally suppressed the
opposition and killed some of his most vocal critics - a charge his
allies vehemently deny.
One of the first African leaders to set up a website
with a presence on Twitter, Facebook, Instagram and Flickr, Mr Kagame
believes the IT revolution has meant there are "few excuses" for
political intolerance and poverty.
"There is a global awareness of
national events - for example, in China, and days before that, in Iran,
that is due to Twitter, Facebook, YouTube, and relatively inexpensive
access to technology," the 59-year-old Rwandan leader said at the World Technology Summit in 2009, long before many other African leaders had grasped the significance of social media.
"These moments in history are captured and diffused in remote corners of the world, even as the events unfold," he added.
'Schooled in conflict'
His comments are ironic, given that the international media watchdog Reporters Without Borders
identifies him as a "predator" who attacks press freedom, citing the
fact that in the last two decades, eight journalists have been killed or
have gone missing, 11 have been given long jail terms, and 33 forced to
flee Rwanda.
"A lot of effort has been made to improve internet
access, but the idea is still to control discourse on social media,
including by trolling journalists," Reporters Without Borders Africa
head Clea Kahn told the BBC.
Media captionRwanda elections 2017: A one-horse race?
Mr Kagame, who received military training in Uganda, Tanzania and the US, is seen as a brilliant military tactician.
A
refugee in neighbouring Uganda since childhood, he was a founding
member of current Ugandan President Yoweri Museveni's rebel army in
1979.
He headed its intelligence wing, helping Mr Museveni take power in 1986.
Then
he spearheaded the launch of the Rwandan Patriotic Front (RPF) rebel
movement. It took power in Kigali to end the 1994 genocide which killed
some 800,000 Tutsis - the ethnic minority group to which Mr Kagame
belongs - and moderate Hutus.
BBC NEWS
Image copyrightGetty Images
South African
Airways (SAA) has run out of money and is teetering on the edge of
bankruptcy, according to information given to the country's parliament.
It is thought the national carrier may soon be unable to pay salaries.
The cash-flow statement shown to MPs and seen by the BBC paints a picture of an airline haemorrhaging cash.
It says that matters may improve by October, but only if it gets a 792m-rand (£45m) bailout from the government.
Even then, the situation is expected to deteriorate again by December with a forecast cash outflow in that month of £38m.
The
airline has lost money in each of the past seven years. Acting chief
executive Musa Zwane, who has led the company for the last 18 months,
has been trying to put together a recovery plan since January.
Last month, the Treasury paid out £125m to settle a loan from Standard Chartered Bank‚ which the bank had refused to extend.
South
Africa's Finance Minister, Malusi Gigaba, has disclosed that SAA asked
the Treasury in March for a £560m recapitalisation. He is expected to
give an answer by October.
BBC NEWS
A South African held hostage by al-Qaeda in Mali since 2011 has been released.
Stephen McGown was kidnapped from a hotel in Timbuktu along with two other foreign nationals.
In December 2015 a video of Mr McGown and another hostage - Swede Johan Gustafsson, freed in June - was posted on YouTube to show they were alive.
Authorities say he was released after efforts by the two countries' governments and NGO Gift of the Givers.
He
was freed on 29 July and is now home with his family. But it is not
clear why news of the release was delayed - some believe this was a
security precaution.
"It was a big surprise when I saw Stephen
walk through the door. When I hugged him, he felt as strong as ever,"
his father told Malcolm McGown told reporters in Pretoria where the
announcement of his son's release was made.
He thanked South Africans of "every race and creed" for their support over the last few years.
"I
wouldn't ever wish this to happen to anyone else, but they will have
the support of the government...I would like to thank President Zuma for
everything they did," he said.
The government says no ransom was paid for Mr McGown's release.
"We
are happy to announce that finally these efforts have culminated in Mr
McGown's release on 29 July 2017. We would like to warmly welcome him
back home and wish him good health and good fortune in his life as a
free man," International Relations Minister Maite Nkoana-Mashabane told a
media briefing in Pretoria.
"It is with sadness though, that his
dear mother, Beverly passed on in May 2017 without seeing her son again.
The government extends, its deepest condolences to Stephen and his
family. May her soul rest in eternal peace," she added.