LILE ROLI LA MCHANGA LILILO VAMIA BAR NA KUUA TEGETA HILI HAPA
Roli aina ya SICANIA lililokuwa limebeba mchanga likiwa limeacha njia
na kuingia kwenye kwenye Bar ijulikanoyo kama Kmm maeneo ya Tegeta Kibaoni jijini Dar es salaam leo kwenye ajali hiyo mtu mmoja amefariki
hapohapo na wengine wawili majeruhi.
na kuingia kwenye kwenye Bar ijulikanoyo kama Kmm maeneo ya Tegeta Kibaoni jijini Dar es salaam leo kwenye ajali hiyo mtu mmoja amefariki
hapohapo na wengine wawili majeruhi.
Mabaki ya vifaa mbalimbali vilivyoharibiwa kwenye bar hiyo baada ya kutokea kwa ajali hiyo leo maeneo ya Tegeta.
Jeshi la polisi likiimarisha ulinzi katika ajali hiyoiliyotokea leo maeneo ya Tegeta Kibaoni
PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE
PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE
Posted by Editor
on 08:37.
Filed under
eastafricannews,
feature
.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0