Share this Post

dailyvideo

RAMADHANI SHAULI AONESHWA MKANDA WA UBINGWA WA IBF AFRICA ATAKAOGOMBANIA IDDI PILI


Bondia Nassibu Ramadhani kushoto na Ramadhani Shauli wakifungua mkanda wa ubingwa wa IBF Africa utakaogombaniwa na Ramadhani Shauli kushoto na bondia Sande Kizito kutoka Uganda picha na .
 
Ramadhani Shauli akiwa na mkanda wa ubingwa wa IBF Africa 

Bondia  Ramadhani Shauli akiwa ameushika Mkanda wa I.B.F Africa wakati ulipokuwa ukioneshwa mbele ya waandishi wa habari baada ya kuwasili Dar es salaam jana ukitokea USA mkanda huo utakaogombaniwa na Shauli na bondia Sande Kizito kutoka Uganda utafanyika siku ya Iddi pili katika ukumbi wa Diamond Jubilee kushoto ni Makamu wa Rais wa  Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBC) Madaraka Nyerere na Promota wa mpambano huo, Mkurugenzi wa Kitwe General Traders, Lucas Rutainirwa.

Posted by Editor on 08:45. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for RAMADHANI SHAULI AONESHWA MKANDA WA UBINGWA WA IBF AFRICA ATAKAOGOMBANIA IDDI PILI

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery