BREAKING NUUUUUUZ: ASKARI POLISI AJINYONGA
YULE Askari jasiri Donald Julius Mathew mwenye namba za polisi F 3276 aliyejitokeza hazarani na kuwaataja askari wenzake wa mkoani hapa akiwashutumu kwa mambo mbali mbali ya kiwemo ya kushirlikiana na waharifu.
Leo saa 11 Alfajiri mwili wake ulikutwa ukining'inia juu ya mti uliopo jirani na daraja la Shani katikati ya mji wa Morogoro akidaiwa kujinyonga.kabla ya kufika uamuzi huo baadhi ya wananchi wa mkoani hapa jana mchana walimshuhdia Afande huyo ambaye ni maarufu kwa jina la Dunga akilanda landa kwenye mtaa ya mji wa Morogoro huku akionekana kama mtu aliyechnganyikiwa.
Picha na habari na Dustan Shekidele(GPL)
Posted by Editor
on 10:58.
Filed under
eastafricannews,
feature,
gallery
.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0