EAST AFRICAN NEWS

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA MPAKANI MJINI MUTUKULA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Y...

10 Nov 2017 | 0 comments | Read more

WATANZANIA WANG'ARA SHINDANO LA MWANDISHI BORA WA SAYANSI NA KILIMO AFRIKA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Uganda na Mjumbe wa Bodi ya ASARECA, Dr. Ambrose Agona (kushoto), akimkabidhi cheti Mwand...

29 Sep 2017 | 0 comments | Read more
ENTERTAINMENT NEWS

WAZIRI MWAKYEMBE AUDHURIA TAMASHA LA JAMAFEST NCHINI UGANDA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akipokelewa na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ugand...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI (TASUBA) PAMOJA NA SHORT STATURE OF KENYA ZIKIONYESHA MAIGIZO TAMASHA LA JAMAFEST

 Kikundi cha burudani ya Uchekeshaji kutoka nchini Kenya maarufu kama Short Stature Society of Kenya kikitoa igizo lake la ku...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

DKT.MWAKYEMBE AMEWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA KWA KUSHIRIKI TAMASHA LA JAMAFEST KAMPALA, UGANDA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Utamaduni, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiangalia ngoma ya kiutamaduni iliy...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

WORLD NEWS

TECHNOLOGY

CONGRESS TO SMART DEVICE MAKERS: YOUR SECURITY SUCKS

Four senators propose the "Internet of Things Cybersecurity Improvement Act,"...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

HUAWEI CAME REALLY CLOSE TO SELLING AS MANY PHONES AS APPLE

Apple sold 41 million iPhones in the second quarter, while Huawei's shipments were a...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

SECRET SERVICE WILL REPORTEDLY TEST DRONE FOR TRUMP SECURITY

The Secret Service is looking at whether unmanned aerial vehicles could be use...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

WHAT APPLE'S EARNINGS TELL US ABOUT THE IPHONE 8

The iPhone 7 and 7 Plus may see it's future sibling sooner than many expected.  S...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more
CELEBRITIES NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | 0 comments| Read more

IMPRESSIVE! BEYONCE LOOKS SLENDER IN LOW-CUT DRESS ON SUSHI DATE IN LA WITH JAY Z

Crazy in love: Beyonce looked absolutely fabulous on a sushi date night with husband Jay Z on Wednesday ...

04 Aug 2017 | 0 comments| Read more

BLOODIED JESSICA BIEL SIZZLES IN STEAMY SEX SCENE WITH HER HUNKY ONSCREEN HUSBAND

Bloody: The gimmick of the show is figuring out why this mother and wife decided to stab a man to death in the first place ...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

Share this Post

SPORTS NEWS

JOSEPH KIMWAGA KUKAA NJE MIEZI MINNE BAADA YA UPASUAJI WA GOTI

WINGA wa Klabu ya Azam FC Joseph Kimwaga akiwa katika chumba cha matibabu katika Hospitali ya Vincent Palloti iliyopo jijini ...

06 Sep 2017 | Read more
HEALTH NEWS

PAMOJA NA UNENE LAKINI HAWEZI ACHA KULA

The Brazilian boy, known only as Misael, was born a healthy 6lb 6oz (2.9kg) But every month since, has gained 6lb (3kg), meaning he str...

29 Sep 2014 | Read more
TOP TEN

Top 10 ‘Breaking Bad’ Moments

Ursula Coyote / AMC 10. The ricin’s fate is revealed For all its discussion over the course of the series, ricin had never been ...

08 May 2014 | Read more
FACTS

WACHINA NOMA SANA

 Ukisikia Wachina balaa sasa hii ni moja wapo, Kiwanda Kimojawapo cha China kijulikanacho kwa jina la LandWind kimeibuka na Kutengene...

25 Nov 2014 | Read more
ENVIRONMENT NEWS

A CLIMATE CHANGE INSPIRED PROJECT LAUNCHES IN DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399 ...

04 Aug 2017 | Read more
FASHION

MH. CATHERINE MAGIGE AZINDUA RASMI DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY

. MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Vijana , Mkoa wa Arusha Catherine Magige  leo amezindua rasmi  duka ...

12 Jan 2015 | Read more
HISTORY

MAKALA FUPI: Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua

Meriam Yehya Ibrahim Ishag aliadhibiwa kwa makosa mawili, zinaa na kuas...

28 May 2014 | Read more
TRAGEDY NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | Read more

dailyvideo

MAKUBWA HAYA: Hiki ndicho Chama cha Urithi wa wanawake Kenya

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399

Wanachama waliosalia katika chama cha kuwarithi wajane Kenya
Kuna vyama vya kisiasa na vya mambo mengine katika nchi mbalimbali, lakini Je umewahi kusikia chama cha wanaume kuwarithi wajane?
Basi hilo linapatikana katika kijiji cha Kakmasia huko Migori Magharibi mwa Kenya.
Paul Nabiswa alimtembelea mwenyekiti wa chama hicho mzee Peter Ogema Nyajwaya Oria ambaye ana miaka 71.
Mzee Peter Ogema Nyajwaya ni mmoja wa wazee wakakamavu katika umri wake, wala hajutii kuwarithi wanawake akisema kuwa alichukua mwelekeo huo kwa sababu alizaliwa katika familia ambayo ilikuwa inapenda suala la kurithi wanawake waume zao wanapofariki.
Na ili kuonyesha kuwa pengine anahalalisha mipango ya kurithi wajane, waliungana wanaume watano na kubuni chama kitakachojulikana kwa kurithi wanawake. Yeye anasema alichaguliwa kuwa mwenyekiti kwa sababu wenzake walimtambua kuwa mtu mwenye uwezo.
Wanachama hao walipokuwa watano walikuwa wakitembela katika mazishi na kucheza na mkuki na ngao wakipanga namna ya kuwarithi wajane waume zao wakifariki.
Mzee Peter Ogema Nyajwaya
Hata hivyo wamesalia wawili tu katika kundi hilo kwani wenzake watatu wamefariki na Ogema anadai kuwa walikufa vifo vya kawaida.
Japokuwa watu katika maeneo hayo ya magharibi mwa Kenya wamekashifu maazimio ya chama hicho Ogema anasema kuwa amefaulu kuwarithi zaidi ya wanawake kumi.
'Je anawatosheleza?'
''Wanawake niliorithi wamefika karibu kumi naweza kuwatosheleza wote kwa mapenzi, hufanyi mapenzi na wote kila siku unagawanya siku zako,'' alisema mzee Ogema.
Baadhi ya kanuni za chama hicho kulingana na Ogema ni kuwa wanawake wanaorithiwa wanasalia katika maboma yao na wanaume wanawatembelea huko.
Vivyo hivyo ikiwa amemrithi mwanamke na amesafiri mbali, wanaenda kupimwa virusi vya ukimwi kabla ya kuingiliana kimwili. Mbali na hayo anapigia debe matumizi ya mipira ya Condom akisema kuwa wazee kama yeye hawajaachwa nyuma kuitumia wanapolazimika kufanya hivyo.
'Zamani sana'
Ogema ambaye ana wanawake wawili kando na wale kumi aliorithi kwa sasa hakumbuki miaka aliorithi wanawake hao.
''Siwezi kukumbuka ni lini nilirithi hao wanawake kwa sababu kifo hutokea kwa wakati tofauti, mtu mmoja anaweza kufa leo mwingine baada ya mika mitatu na kadhalika.''
Mzee Ogema na wake zake pamoja na wanawe
Mke wake Mary Aluoch ambaaye amedumu naye katika ndoa kwa karibu miaka 50, anasema kuwa hana tatizo na mume kuwarithi wanawake wengine kwa sababu ni mila na hata yeye anaweza kurithiwa ikiwa mumewe atafariki sasa.
Jambo linalojitokeza katika mpango huu ni kuwa Ogema amemeathirika kwa sababu anawahudumia pia watoto zaidi ya kumi aliowazaa na wanawake aliowarithi.
''mimi nimezaa watoto wanne, na bibi mmoja watoto wanne na bibi mwingine, watoto wawili kwa mwingine mmoja kwa mwingine, na mmoja kwa mwingine. Mimi huwa nawafanyia kila kitu wakihitaji.''
Eneo la Migori na maeneo jirani ni kati ya sehemu zilizoathirika na kusambaa kwa ugonjwa wa ukimwi na ndoa za urithi huenda zikachangia hali kuwa mbaya ikiwa tahadhari hazitachukuliwa.
 BBC SWAHILI

Posted by Editor on 12:20. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for MAKUBWA HAYA: Hiki ndicho Chama cha Urithi wa wanawake Kenya

Post a Comment

Photo Gallery

Designed by Solaranlagen | with the help of Bed In A Bag and Lawyers