EAST AFRICAN NEWS

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA MPAKANI MJINI MUTUKULA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Y...

10 Nov 2017 | 0 comments | Read more

WATANZANIA WANG'ARA SHINDANO LA MWANDISHI BORA WA SAYANSI NA KILIMO AFRIKA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Uganda na Mjumbe wa Bodi ya ASARECA, Dr. Ambrose Agona (kushoto), akimkabidhi cheti Mwand...

29 Sep 2017 | 0 comments | Read more
ENTERTAINMENT NEWS

WAZIRI MWAKYEMBE AUDHURIA TAMASHA LA JAMAFEST NCHINI UGANDA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akipokelewa na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ugand...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI (TASUBA) PAMOJA NA SHORT STATURE OF KENYA ZIKIONYESHA MAIGIZO TAMASHA LA JAMAFEST

 Kikundi cha burudani ya Uchekeshaji kutoka nchini Kenya maarufu kama Short Stature Society of Kenya kikitoa igizo lake la ku...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

DKT.MWAKYEMBE AMEWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA KWA KUSHIRIKI TAMASHA LA JAMAFEST KAMPALA, UGANDA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Utamaduni, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiangalia ngoma ya kiutamaduni iliy...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

WORLD NEWS

TECHNOLOGY

CONGRESS TO SMART DEVICE MAKERS: YOUR SECURITY SUCKS

Four senators propose the "Internet of Things Cybersecurity Improvement Act,"...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

HUAWEI CAME REALLY CLOSE TO SELLING AS MANY PHONES AS APPLE

Apple sold 41 million iPhones in the second quarter, while Huawei's shipments were a...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

SECRET SERVICE WILL REPORTEDLY TEST DRONE FOR TRUMP SECURITY

The Secret Service is looking at whether unmanned aerial vehicles could be use...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

WHAT APPLE'S EARNINGS TELL US ABOUT THE IPHONE 8

The iPhone 7 and 7 Plus may see it's future sibling sooner than many expected.  S...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more
CELEBRITIES NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | 0 comments| Read more

IMPRESSIVE! BEYONCE LOOKS SLENDER IN LOW-CUT DRESS ON SUSHI DATE IN LA WITH JAY Z

Crazy in love: Beyonce looked absolutely fabulous on a sushi date night with husband Jay Z on Wednesday ...

04 Aug 2017 | 0 comments| Read more

BLOODIED JESSICA BIEL SIZZLES IN STEAMY SEX SCENE WITH HER HUNKY ONSCREEN HUSBAND

Bloody: The gimmick of the show is figuring out why this mother and wife decided to stab a man to death in the first place ...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

Share this Post

SPORTS NEWS

JOSEPH KIMWAGA KUKAA NJE MIEZI MINNE BAADA YA UPASUAJI WA GOTI

WINGA wa Klabu ya Azam FC Joseph Kimwaga akiwa katika chumba cha matibabu katika Hospitali ya Vincent Palloti iliyopo jijini ...

06 Sep 2017 | Read more
HEALTH NEWS

PAMOJA NA UNENE LAKINI HAWEZI ACHA KULA

The Brazilian boy, known only as Misael, was born a healthy 6lb 6oz (2.9kg) But every month since, has gained 6lb (3kg), meaning he str...

29 Sep 2014 | Read more
TOP TEN

Top 10 ‘Breaking Bad’ Moments

Ursula Coyote / AMC 10. The ricin’s fate is revealed For all its discussion over the course of the series, ricin had never been ...

08 May 2014 | Read more
FACTS

WACHINA NOMA SANA

 Ukisikia Wachina balaa sasa hii ni moja wapo, Kiwanda Kimojawapo cha China kijulikanacho kwa jina la LandWind kimeibuka na Kutengene...

25 Nov 2014 | Read more
ENVIRONMENT NEWS

A CLIMATE CHANGE INSPIRED PROJECT LAUNCHES IN DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399 ...

04 Aug 2017 | Read more
FASHION

MH. CATHERINE MAGIGE AZINDUA RASMI DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY

. MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Vijana , Mkoa wa Arusha Catherine Magige  leo amezindua rasmi  duka ...

12 Jan 2015 | Read more
HISTORY

MAKALA FUPI: Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua

Meriam Yehya Ibrahim Ishag aliadhibiwa kwa makosa mawili, zinaa na kuas...

28 May 2014 | Read more
TRAGEDY NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | Read more

dailyvideo

KALI YA KUMALIZA MWEZI HUU: TAZAMA MICHEZO HII HATARI LAKINI KWAO SALAMA YA KUJICHOMA MASHAVU KWA VISU VIKALI, KULAMBA NCHA ZA VISU NA KUJICHOMA NA PINI KWA WINGI HUKO MAJUU , SHUHUDIA MWENYEWE , NI AJABU

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399

Wanaamini wakifanya hivyo wanazuia mambo mengi na kukataa si kuto kula nyama tuu bali hata kuacha pombe na ngono uzembe , hii ni sherehe ya kawaida kwao ndio maana ili kufikisha ujumbe wanaamua kujichoma choma katika mashavu, haya si mazingaombwe lakini ni Live. 


Zaidi ya yote pia wanaoga mafuta yamoto hii yote ni kupendezesha mchezo wao ambao ni hatari lakini kwao salama 


Don't drink straight after! This spiritualist may soon realise he has really spiked his own guns by putting spikes in some guns and skewering his cheeks ... especially when he tries to drink some water

Hii ishara inaonesha kuwa hautakiwi kunywa pombe ..  sasa huyu jamaa anapata shida sana akitaka kunywa maji au chakula maana anatafuta kanafasi kadogo ili kufanya hivyo.

A sword of warning: He is one of hundreds of vegetarians in southern Thailand who believe that piercing their faces with unusual objects while abstaining from meat will banish evil and give them peace of mind
Ni alama ya tahadhali hii ni moja ya mamia ya watu ambao hawali nyama huko Thailand , huyu anaamini  kwa kujiweka mapaga makali na kujichoma hivi itasaidia watu kuacha maovu kabisa na kuwapa amani mioyoni mwao

Hii ni hali ya kawaida sana kwao 
Popular: Each year thousands of people travel to the Bang Neow Shrine, in Phuket, southern Thailand, to watch the bizarre vegetarian festival held by the ethnic-Chinese community of the island during the ninth lunar month of their homeland's calendar
Huu ni utalii kabisa ambapo watu wengi wanaenda kuutazama , ikiwa kama kwetu pia likitokea kundi kama hili wanaokataa mambo maovu kwa mtindo huu itakuwa ni sehemu nzuri ya utalii

Hebu mtazame kwa umakini huyu jamaa yeye amejichoma na sindano kibao hapa chukua muda wako uzihesabu
Popular: Each year thousands of people travel to the Bang Neow Shrine, in Phuket, southern Thailand, to watch the bizarre vegetarian festival held by the ethnic-Chinese community of the island during the ninth lunar month of their homeland's calendar
Huyu kasha kula sana vyuma

Skewered: Not only must they refuse meat during the Festival for Eating Vegetables, but also sex, alcohol and other vices
Hii ni sema hapana kuto kula nyama, kufanya mapenzi na kunywa pombe 



Killing evil: Their suffering – they hope – draws evil out of the community around them and, in doing so, brings positive luck to their friends and village
Hii inamaanisha ni lazima kuangamiza maovu 

Needled: A devotee of the Chinese Bang Neow Shrine with needles inserted into his face waits for the start of a street procession during the annual Vegetarian Festival
Haya si mapambo lakini  hawa wanakataa matendo ya ajabu ajabu 

Thready to go: This devotee appears to have passed large bunches of thread through his cheeks in a bid to ward off evil spirits

Sasa  huyu ametobolewa na kuwekwa makamba mdomo mzima pia wanapigania kuacha na kutokomeza uhalifu 

Photographer Christophe Archambault says: 'Those inserting the objects wear rubber gloves, which they change between each “operation”. But apart from that, hygiene is completely nonexistent'
Hapa Jibu unalo
Regulars: He added that 'each procedure is pretty quick. Many penitents have scars -- they are regulars'
Hapa wanaaminini nkabisa kwa kufanya hivi wanasema hapana kabisa uhalifu kataa uhalifu ndio maana yake hapa
Devoted: This one cuts his tongue on an axe during the ceremony. He is not allowed to eat meat or drink alcohol
Sasa Tazama huu Mjambia hapa jamaa analamba hajali vipi anaumia lakini anamaanisha uhalifu basi 

Other ways: For those who do not wish to mutilate their faces, there are other ways to scare off dark powers
Tazama nanasi hizo zimepita katika waya ambao unasaidiwa na midomo yao ambauyo wamechomwa 


Odd biginnings: The ten-day self-cleansing festival dates back to 1825, and the visit of a traveling Chinese theatre company to the Thai mining town of Get-Hoe
Please the gods: When the touring actors succumbed to tropical fever in the jungle-clad region, they opted to keep to a strict vegetarian diet, hoping that this would please the gods – who would then relieve them of the illness
The plan worked – although it was unclear if the thespians’ improved health was down to a better diet than celestial intervention – and the festival was born

MAELEZO NA THIS DAY MAGAZINE PICHA NA GATTY IMAGES/AFP/REUTERS


Posted by Editor on 15:48. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for KALI YA KUMALIZA MWEZI HUU: TAZAMA MICHEZO HII HATARI LAKINI KWAO SALAMA YA KUJICHOMA MASHAVU KWA VISU VIKALI, KULAMBA NCHA ZA VISU NA KUJICHOMA NA PINI KWA WINGI HUKO MAJUU , SHUHUDIA MWENYEWE , NI AJABU

Post a Comment

Photo Gallery

Designed by Solaranlagen | with the help of Bed In A Bag and Lawyers