Breaking Nuuuuuuz: Maiti 22 za Wasomali walio fariki hivi karibuni zinazikwa sasa Morogoro
Miili ya Wasomali hao ikiwa inashushwa jwa ajili ya kuzika
Shughuli za Mazishi zimeanza
Haya ndiyo makaburi yanapo zikwa
Miili 22 ya Wasomali waliokuwa wakati wakisafiri kutoka nchini Ethiopia kwenda nchi za Malawi na Afrika kusini kwa lengo la kusaka maisha bora wamezikwa kuzikwa kwenye makaburi ya kola mkoani Morogoro.
Miili mingine 22 imezikwa mkoani Dodoma.
Picha zote na Mpiga picha maalum wa This Day magazine
Posted by Editor
on 18:22.
Filed under
eastafricannews,
feature
.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0