Share this Post

dailyvideo

MATUKIO KATIKA MKUTANO WA SADC LUANDA, ANGOLA JANA



 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (kulia)  wakizungumza na Rais wa Zambia, Michael Santa katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi  Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC uliofanyika leo Juni 1, 2012, Luanda Angola. Mheshimiwa Pinda alimwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika Mkutano huo.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifurahia katika mazungumzo kati yake na Waziri Mkuu wa Kwanza wa Namibia, Hage Geigob wakati walipokutana  katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC, Luanda leo. Picha na PMO

Posted by Editor on 01:33. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for MATUKIO KATIKA MKUTANO WA SADC LUANDA, ANGOLA JANA

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery