Matokeo ya mechi za Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Septemba 19, 2012
JKT Ruvu 0-2 Simba SC
Mtibwa Sugar 3-0 Yanga SC
African Lyon 1-0 Polisi Moro
Ruvu Shooting 2-1 Mgambo JKT
Prisons 1-1 Coastal Union
Kagera Sugar 0-0 JKT Oljoro
Toto Africans 2-2 Azam FC
Simba ambao walicheza mchezo kwa dakika nyingi baada ya mshambuliaji wao tegemeo Emmanuel Okwi kutolewa nje kwa kadi nyekundu kipindi cha kwanza cha mchezo, walipata mabao yao kutoka kwa kiungo Amri Kiemba aliyefunga bao la kwanza na Haruna Moshi Boban aliyepiga kidude cha pili. (picha: ShaffihDauda.com) Simba SC leo iliundwea na: Juma Kaseja, Nassor Masoud ‘Chollo’, Amir Maftah, Shomary Kapombe, Juma Nyosso, Mwinyi Kazimoto, Amri Kiemba, Haruna Moshi ‘Boban’, Daniel Akuffo, Mrisho Ngassa na Emanuel Okwi. (Maelezo: BongoStaz blog)
MECHI ZIJAZO:
Septemba 22, 2012
Yanga SC Vs JKT Ruvu (Taifa, Dar es Salaam)
Azam FC Vs Mtibwa Sugar (Chamazi, Dar es Salaam)
JKT Oljoro Vs Polisi Morogoro (Amri Abeid, Arusha)
Coastal Union Vs Toto Africans (Mkwakwani, Tanga)
Septemba 23, 2012
Mgambo JKT Vs Kagera Sugar (Mkwakwani, Tanga)
Simba SC Vs Ruvu Shooting (Taifa, Dar es Salaam)
African Lyon Vs Prisons (Chamazi, Dar es Salaam)
source: BongoStaz blog






