Share this Post

dailyvideo

Waziri Wa Fedha Aendelea Na Ziara


 Waziri wa fedha Mhe. William Mgimwa akiwa na maongezi ya uwekezaji na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Standard. (Standard Bank) hapa jijini Tokyo- Japan.
 Waziri wa Fedha Mhe. William Mgimwa  akiwa na  Makamu wa Waziri Mkuu na Waziri wa Fedhana maendeleo ya uchumi, Mhe. Xavier – Luc Duval walipokuwa wakibadilishana mawazo kuhusu maendeleo ya nchi zao hizo mbili hapa Jijini – Japan – Tokyo.
 Waziri wa Fedha Mhe. William Mgimwa akiwa na wajumbe  kutoka  nchi Mauritius kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Maendeleo ya uchumi, Bw. Ali Mansoor akifuatiwa na Makamu wa  Waziri Mkuu na Waziri wa Fedha na Maendeleo ya uchumi , Mhe. Xavier – Luc Duval walipokuwa wakielezana juu ya  maendeleo kati ya nchi hizi mbili  Jijini – Japan - Tokyo
  Waziri wa Fedha Mhe. William Mgimwa akimpokea  Waziri wa fedha wa Kenya Bw. Robinson Githae tayari kwa kikao chao kinachohusu mambo ya Jumuiya ya Afrika Mashariki  wa Jumuiya ya Afrika Mashariki  kulia ni waziri wa Fedha wa Rwanda. Picha na Ingiahedi Mduma na Scola Malinga Jijini Tokyo - Japan 

Posted by Editor on 11:31. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for Waziri Wa Fedha Aendelea Na Ziara

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery