HII NAYO KALI: Mwanamuziki mkongwe Chris Brown amesema marijuana ndicho kitu kikubwa kinacho msaidia kumpunguzia Njaa.
Baada ya ushahidi kukamilika na kumtaka mwanamuziki mkongwe
Chris Brown kuonesha vipimo vyake kutoka hospitali juu ya kuthibitisha kuwa anatumia madawa ya kulevya Chris Brown asema anaomba aruhusiwe kuendelea kutumia Marijuana kwa sababu yanamsaidia kupunguza njaa, na pia yanaruhusiwa kisheria huko Carfornia.
Chris Brown kuonesha vipimo vyake kutoka hospitali juu ya kuthibitisha kuwa anatumia madawa ya kulevya Chris Brown asema anaomba aruhusiwe kuendelea kutumia Marijuana kwa sababu yanamsaidia kupunguza njaa, na pia yanaruhusiwa kisheria huko Carfornia.
Chris Brown akiwa anawasili katika mahakama mojawapo huko Los Angeles , kwa utetezi wake na kuomba kwama anatakiwa aruhusiwe tuu kutumia kilevi hicho kwani ndicho pekee kinampunguzia njaa.
Chris Brown ambaye ana umri wa miaka 24 akiwa katika ulinzi mkali
]
Chris Brown akiongea na waandishi wa habari na kuthibitisha huku akisisitiza kuwa hawezi acha kutumia marijuana kwa sababu inamsaidia sana katika kupunguza njaa yake
Chris Brown akiendelea kuongea na waandishi wa habari
Posted by Editor
on 10:45.
Filed under
celebritiesnews,
feature
.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0