Share this Post

dailyvideo

TUKIO LA MAJONZI :BAADA YA FAMILIA YAKE KUNYANYASWA , KUTESWA , KUBAKWA KISHA KUUAWA KIKATILI MIAKA SITA ILIYOPITA,WILLIAM PETIT AFUNGA NDOA NA KUPATA MTOTO , TAZAMA HAPA



Dr.William Petit  alishikwa na mshituko baada ya  tukio ambalo kwa hakika hatokuja kulisahau maishani mwake ni baada ya Familia yake kutekwa na kuuawa kikatili.

Mnamo mwaka 2007, tukio  la kusikitisha na kuhuzunisha lilimpata
Dr.William Petit ambapo alipoteza mke na watoto wawili ambao walitekwa , wakanyanyaswa, wakaumizwa, wakabakwa na mwisho wakauawa kwa kifo cha kikatili...Gazeti la Daily mail online , limeandika kuwa baada ya kufanyiwa vitendo vyote hivyo nyumba hiyo ilichomwa kwa kutumia Gesi huku mke wa Dr.William Petit na watoto wake wawili wakiwa wamefungiwa kitandani na kuzibwa vichwa na mito.

shuhudia hapa 

Bundle of joy: William Arthur Petit III was born on November 23 to Christine Petit and her husband Dr William Petit
 Baada ya maumivu ya muda mrefu Dr.William Petit amepata mtoto huyu mwezi huu tarehe 23


Good news: The couple met while Christine was volunteering for the Petit Family Foundation, created in the memory of William's wife Jennifer Hawke-Petit and their daughters Hayley, 17, and Michaela, 11
 Dr.William Petit akiwa na mkewake mpya baada ya maumivu ya miaka 6 akiendelea kuumia na kuwaza juu ya mke wake na watoto wake

Joy: Christine Petit (second left) and her husband, Dr William Petit, announced that they are expecting their first child together
Dr.William Petit na mke wake mwezi wa nane mwaka huu wakitangaza kwamba wanatarajia mtoto.

First picture: Christine said her husband insists that the baby's foot seen in ultrasound images looks like a 'boy foot'
 Hizi zilikuwa picha za kwanza walizo weka mtandaoni Dr.William Petit na mkewake kuwa wanatarajiwa kupata mtoto.

Tragic loss: Dr Petit with his wife Jennifer Hawke-Petit and their daughters, Hayley, top center, and Michaela. The three women died in a horrific home invasion in 2007
 Ni huzuni sana kwa kweli Dr.William Petit akiwa na familia yake walio uwawa kikatili mwaka 2007
 Dr. William Petit (left) seemed to have the world on his side as he headed down the aisle with new love Christine Paluf (right), five years after he was the lone survivor of the brutal home invasion that left his wife and daughters dead.  
 Dr.William Petit  akiwa na furaha pamoja na mke wake mpya Christine Paluf

Michaela and her 17-year-old sister, Hayley, were tied to their beds and died of smoke inhalation after the house was doused in gas and set on fire
 Ni huzuni sana Mke wa Dr.William Petit pamoja na watoto wake wawili baada ya kubakwa na kuteswa wakiwa katika hili jumba walifungwa kitandani na kuunguza nyumba hii kwa kutumia gesi.

Scorched: The house was set alight with the girls still inside, tied up with pillowcases over their heads
 Mbaya zaidi wakati jengo linawaka moto watoto walikuwa wanamaumivu makali ya kubakwa na kuteswa huku kichwani wamefunikwa na mito.

asdf
 Inasikitisha na kuuma sana Hiki ndicho kitanda ambacho Mke wa Dr.William Petit pamoja na watoto wake wawili waliishia hapa kwa kuungua moto














Posted by Editor on 20:27. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for TUKIO LA MAJONZI :BAADA YA FAMILIA YAKE KUNYANYASWA , KUTESWA , KUBAKWA KISHA KUUAWA KIKATILI MIAKA SITA ILIYOPITA,WILLIAM PETIT AFUNGA NDOA NA KUPATA MTOTO , TAZAMA HAPA

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery