Share this Post

dailyvideo

HATIMAYE MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA MAISHA PLUS/MAMA SHUJAA WA CHAKULA YATANGAZWA RASMI


 Kutoka kushoto ni Afisa Mtendaji wa Kampuni ya DMB ambao ni wamiliki wa Maisha Plus Masoud Ally (Kipanya) , Sharon Mariwa  Meneja wa Mahusiano OXFAM, Francis Bonda(Kaka Bonda) Mkurugenzi wa Usanifu katika Kampuni ya DMB pamoja na Mkamiti Mgawe Afisa utetezi wa haki za kiuchumi OXFAM, wakati wa kutangaza rasmi majina ya waliochaguliwa katika Maisha Plus/ Mama Shujaa wa Chakula leo.
Afisa Mtendaji wa Kampuni ya DMB ambao ni wamiliki wa Maisha Plus Masoud Ally (Kipanya) akielezea Mchakato mzima wa kazi ilivyokuwa kabla , wakati wa kuwatafuta washiriki wa Maisha Plus/Mama Shujaa wa Chakula na kutaja rasmi majina ya waliochaguliwa katika usahili huo.

   Meneja wa Mahusiano OXFAM Sharon Mariwa  akielezea utaratibu utakao fuatia baada ya kutangazwa rasmi majina ya waliochaguliwa katika shindano la Maisha Plus/ Mama Shujaa wa Chakula
 Francis Bonda(Kaka Bonda) Mkurugenzi wa Usanifu katika Kampuni ya DMB akitilia mkazo baadhi ya mambo wakati wa kutangaza rasmi majina ya waliochaguliwa kuingia Maisha Plus/ Mama Shujaa wa Chakula.
 Afisa Mtendaji wa Kampuni ya DMB ambao ni wamiliki wa Maisha Plus Masoud Ally (Kipanya) akijibu Maswali yaliyo ulizwa na waandishi wa Habari.
Baadhi ya Waandishi wa Habari na wadau Mbalimbali wakiwa wanasikiliza kutangazwa kwa majina ya waliochaguliwa katika Shindano la Maisha Plus/ Mama Shujaa wa Chakula.


*************
Majina ya waliochaguliwa kwa ajili ya usaili wa Mama Shujaa wa Chakula / Maisha Plus 2014.
Usaili:
Mama Shujaa watapigiwa kura mtandaoni ili kupata washiriki 20 ambao wataingia kijijini Maisha Plus. Zoezi la kuwapigia kura litafanyika baada ya uhakiki ‘verification’ pamoja na upigaji picha kuthibitisha taarifa walizojaza kwenye fomu.
Kauli mbiu ya Mwaka huu ni Wekeza kwa wakulima wadogo wanawake. INALIPA.
Vijana wa Maisha Plus watagawanywa katika makundi mawili ya watu 20 na kupelekwa katika vijiji vilivyochaguliwa Iringa na Zanzibar, huko wataishi pamoja na familia zilizochaguliwa na kutakiwa kuishi maisha sawa na familia hizo. Zoezi kuu litakuwa kusaidia kutatua changamoto zinazowakabili wakazi wa vijiji hivyo kama changamoto za maji, n.k.
Baada ya siku 7 wanakijiji watatakiwa kuwapigia kura vijana hao ili kupata jumla ya vijana 18 watakaopelekwa katika kijiji cha Maisha Plus kuungana na wenzao 12 kutoka nchi za Burundi, Kenya, Rwanda na Uganda.
Kauli mbiu ya Mwaka huu ni Maisha Plus REKEBISHA.

Majina

Mama Shujaa wa Chakula
  1. Amina Kupela Chikaponya – Mtwara
  2. Anna James Yuda – Morogoro
  3. Anna Mwanilyela Chrisant – Katavi
  4. Bahati Muriga –Mwanza
  5. Clara Ancilla Ibihya – Pwani
  6. Cristina Kurwa Malale – Zanzibar
  7. Dina Rusoti – Mara
  8. Dionisia Rashidi Karata – Tanga
  9. Doricus Msafiri Shumbi – Singida
  10. Edina Jamas – Mbeya
  11. Elinuru Moses Pallangyo – Arusha
  12. Elizabeth Matayo – Geita
  13. Elizabeth Simon – Morogoro
  14. Ezeleda Chedego – Dodoma
  15. Fredina M. Said – Shinyanga
  16. Gladness Ebenezery Mmary – Kilimanjaro
  17. Grace G.D. Mahumbuka – Kagera
  18. Janeth Niima – Manyara
  19. Kuruthumu Ramadhani Mwengele – Tanga
  20. Leah Dominick Mnyambugwe – Dodoma
  21. Mary Athanaz Ndasi – Rukwa
  22. Mary John Mwanga – Singida
  23. Mary Kessy – Dar es salaam
  24. Neema Robert – Simiyu
  25. Nyachum Haji Ame – Zanzibar
  26. Pendo Musa – Morogoro
  27. Santina Mapile – Njombe
  28. Thereza Kitinga – Mwanza
  29. Zaituni Shedrack Kalenbi – Kigoma
  30. Zamda Daniely Mgonganga – Iringa

Vijana wa Maisha Plus

  1. Adolph Anacleth - Mwanza
  2. Agatha Kalesu – Rukwa
  3. Ally Thabit - Mwanza
  4. Anastazia John – Mara
  5. Asumta Mwingira – Dar es salaam
  6. Ausi Abdul Moyo – Ruvuma
  7. Bakari Khalid – Shinyanga
  8. Boniphace Meng’anyi Nyankena – Dar es salaam
  9. Charles Daniel – Simiyu
  10. Douglas Said Msalu - Arusha
  11. Ellymathew Kika – Njombe
  12. Elizabeth Joachim - Tabora
  13. Fahamni Kaite Mwadini – Zanzibar
  14. Farida Ally – Pwani
  15. Fadhili Isanga - Kilimanjaro
  16. Flora John - Singida
  17. Frederick Joseph Ndahani – Singida
  18. Hyasinta T. Hokororo - Mtwara
  19. Jane Julio Kalinga – Iringa
  20. John Sylvester Malima - Geita
  21. Joyce Jacob Mushy - Arusha
  22. Marriam Mosses - Shinyanga
  23. Mary Nicholaus Kavishe – Manyara
  24. Mbonimpaye N. Nkoronko – Rukwa
  25. Mohammed Selemani Lipemba - Lindi
  26. Moureene K. Daud - Kagera
  27. Nelson Daniel – Dar es salaam
  28. Ngoma Abdallah – Kigoma
  29. Osama Norman – Mbeya
  30. Otilia Selestin Simime - Mbeya
  31. Said Salum – Katavi
  32. Salumu Saidi Johari – Mtwara
  33. Scholastica Deusidedith – Geita
  34. Seif Mohamed Salum - Tabora
  35. Shaaban Masoud Shaaban – Zanzibar
  36. Shida Keneth Mganga – Dodoma
  37. Shishira G. Mnzava - Morogoro
  38. Thomas P. Mgazwa – Dodoma
  39. Yassini Hamisi Suddi – Dar es salaam
  40. Zaharani Yusuph Hossen – Tanga


Taarifa zaidi Tembelea : www.maishaplus.tv

Posted by Editor on 19:18. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for HATIMAYE MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA MAISHA PLUS/MAMA SHUJAA WA CHAKULA YATANGAZWA RASMI

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery