Share this Post

dailyvideo

MAAJABU: DAWA AINA YA METAKELFIN YAMGEUZA KIJANA HUYU KUWA ALBINO


Bw.Hafidh Masokola Damson ambaye alibadilika na kuwa Albino kutokana na matumizi ya dawa za Malaria baada ya kuzitumia mnamo mwaka 2010,Kwa maelezo yake mara baada ya kunywa dawa aina ya Metakelfin alianza kubabuka ngozi ya mwili wake huku magamba yakitoka mithiri ya nyoka katika mwili wake.

Hafidh Masokola kabla ya kubadilika kuwa mlemavu wa ngozi Albino.
Kwa uthibitisho wa habari hii waweza kumpigia kwa simu ya kiganjani 0767 298 348 au 0658 298 348.

Posted by Editor on 10:18. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for MAAJABU: DAWA AINA YA METAKELFIN YAMGEUZA KIJANA HUYU KUWA ALBINO

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery