EAST AFRICAN NEWS

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA MPAKANI MJINI MUTUKULA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Y...

10 Nov 2017 | 0 comments | Read more

WATANZANIA WANG'ARA SHINDANO LA MWANDISHI BORA WA SAYANSI NA KILIMO AFRIKA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Uganda na Mjumbe wa Bodi ya ASARECA, Dr. Ambrose Agona (kushoto), akimkabidhi cheti Mwand...

29 Sep 2017 | 0 comments | Read more
ENTERTAINMENT NEWS

WAZIRI MWAKYEMBE AUDHURIA TAMASHA LA JAMAFEST NCHINI UGANDA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akipokelewa na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ugand...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI (TASUBA) PAMOJA NA SHORT STATURE OF KENYA ZIKIONYESHA MAIGIZO TAMASHA LA JAMAFEST

 Kikundi cha burudani ya Uchekeshaji kutoka nchini Kenya maarufu kama Short Stature Society of Kenya kikitoa igizo lake la ku...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

DKT.MWAKYEMBE AMEWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA KWA KUSHIRIKI TAMASHA LA JAMAFEST KAMPALA, UGANDA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Utamaduni, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiangalia ngoma ya kiutamaduni iliy...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

WORLD NEWS

TECHNOLOGY

CONGRESS TO SMART DEVICE MAKERS: YOUR SECURITY SUCKS

Four senators propose the "Internet of Things Cybersecurity Improvement Act,"...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

HUAWEI CAME REALLY CLOSE TO SELLING AS MANY PHONES AS APPLE

Apple sold 41 million iPhones in the second quarter, while Huawei's shipments were a...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

SECRET SERVICE WILL REPORTEDLY TEST DRONE FOR TRUMP SECURITY

The Secret Service is looking at whether unmanned aerial vehicles could be use...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

WHAT APPLE'S EARNINGS TELL US ABOUT THE IPHONE 8

The iPhone 7 and 7 Plus may see it's future sibling sooner than many expected.  S...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more
CELEBRITIES NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | 0 comments| Read more

IMPRESSIVE! BEYONCE LOOKS SLENDER IN LOW-CUT DRESS ON SUSHI DATE IN LA WITH JAY Z

Crazy in love: Beyonce looked absolutely fabulous on a sushi date night with husband Jay Z on Wednesday ...

04 Aug 2017 | 0 comments| Read more

BLOODIED JESSICA BIEL SIZZLES IN STEAMY SEX SCENE WITH HER HUNKY ONSCREEN HUSBAND

Bloody: The gimmick of the show is figuring out why this mother and wife decided to stab a man to death in the first place ...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

Share this Post

SPORTS NEWS

JOSEPH KIMWAGA KUKAA NJE MIEZI MINNE BAADA YA UPASUAJI WA GOTI

WINGA wa Klabu ya Azam FC Joseph Kimwaga akiwa katika chumba cha matibabu katika Hospitali ya Vincent Palloti iliyopo jijini ...

06 Sep 2017 | Read more
HEALTH NEWS

PAMOJA NA UNENE LAKINI HAWEZI ACHA KULA

The Brazilian boy, known only as Misael, was born a healthy 6lb 6oz (2.9kg) But every month since, has gained 6lb (3kg), meaning he str...

29 Sep 2014 | Read more
TOP TEN

Top 10 ‘Breaking Bad’ Moments

Ursula Coyote / AMC 10. The ricin’s fate is revealed For all its discussion over the course of the series, ricin had never been ...

08 May 2014 | Read more
FACTS

WACHINA NOMA SANA

 Ukisikia Wachina balaa sasa hii ni moja wapo, Kiwanda Kimojawapo cha China kijulikanacho kwa jina la LandWind kimeibuka na Kutengene...

25 Nov 2014 | Read more
ENVIRONMENT NEWS

A CLIMATE CHANGE INSPIRED PROJECT LAUNCHES IN DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399 ...

04 Aug 2017 | Read more
FASHION

MH. CATHERINE MAGIGE AZINDUA RASMI DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY

. MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Vijana , Mkoa wa Arusha Catherine Magige  leo amezindua rasmi  duka ...

12 Jan 2015 | Read more
HISTORY

MAKALA FUPI: Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua

Meriam Yehya Ibrahim Ishag aliadhibiwa kwa makosa mawili, zinaa na kuas...

28 May 2014 | Read more
TRAGEDY NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | Read more

dailyvideo

DOCUMENTARY VIDEO: Serengeti - Safari kuelekea kusikojulikana

Kwa zaidi ya miaka 50 wanaharakati wa haki za wanyama wamekuwa wakipambana kuinusuru Serengeti. Lakini mabadiliko ya tabianchi, kuongezeka kwa idadi ya watu na ujangili vimeiaathiri pakubwa mbuga hii ambayo ni mkusanyiko wa spishi mbalimbali za wanyamapori barani Afrika. Tunakupeleka katika ulimwengu huu wa kuvutia. Jionee simba wanaounguruma, pundamilia wanaobweka na maelfu ya nyumbu - katika safari yetu ndani ya Serengeti.
“Serengeti haitakufa“ – Filamu ya Bernhard Grzimek iliyoshinda tuzo ya Oscar haikuiweka tu Seregenti katika ramani, bali pia iliikuwa kama kioo cha maisha ya porini. Zaidi ya miaka 50 baadaye, mada zilizogusiwa katika filamu hiyo zina umuhimu kuliko ilivyowahi kutokea: Mabadiliko ya tabianchi, ujangili, magonjwa ya wanyama, na ongezeko kubwa la watu vinaitishia tunu hii. Serengeti iko hatarini.
Hata katika safari yake ya kwanza barani Afrika, Bernhard Grzimek alishtushwa na hali ya wanyamapori wa bara hili: “Dunia inazidi kuwa ndogo kwa ajili ya kulisha idadi kubwa na inayozidi kuongezeka ya watu. Hiyo ndiyo sababu idadi ya wanyama inapungua.” Mapema miaka ya 1950, mtafiti huyo wa wanyama alitambua tatizo kuu katika mbuga ya Serengeti: Kadiri idadi ya watu inavyozidi kuwa kubwa, ndivyo inavyozidi kuwa vigumu kuendeleza hali ya kuishi kwa kustahmiliana kati ya binaadamu na mazingira asili.
Wakati huo ni wachache sana katika taifa hilo lililokuwa koloni la Ujerumani katika Afrika ya Mashariki waliokuwa wanajihusisha na utunzaji wa mazingira ya asili. Tayari mbuga ya Taifa ya Serenegeti ilikuwepo, lakini mipaka yake ilikuwa karibu kubadilishwa. Grzimek aliiona hatua hiyo kama kitisho kwa wanyama katika mbuga hiyo. Lakini ni maeneo yapi yalikuwa muhimu hasa kwa wanyamapori? Grzimek na mtoto wake waliamua kuwahesabu wanyama kutokea angani – kwa ufanisi. Walimshawishi rais wa kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere, juu ya umuhimu wa savana ya kaskazini mwa taifa hilo changa. Utunzaji wa Serengeti uliboreka, shukurani kwa kina Grzimek.
Leo warithi wao wanaisimamia mbuga hiyo ya taifa. Timu ya Afrika ya Jumuiya ya Kutunza Wanyama ya Frankfurt (FZS) inatoa kipaumbele cha juu kabisa kwa mbuga ya wanyama ya Serenegeti. Na leo hii, Serengeti ni miongoni mwa mbuga za wanyama zenye ulinzi bora zaidi duniani. Lakini maisha ya wanyamapori huko yanazihisi athari za ulimwengu wa kisasa. Hiyo inatoa changamoto kwa watunzaji wa wanyama. Kwa mfano, jumuiya ya FZS iliweza kuzuwia ujenzi wa barabara kuu kupitia katika mbuga hiyo. Barabara hiyo ingeweza kuvuruga uhamaji wa wanyama na kuharibu mfumo wa ikolojia wa Seregenti katika muundo wake wa sasa.
Mbuga hii hufadhiliwa kwa kiasi kikubwa kupitia malipo yanayotozwa kwa wageni. Kiasi kingine cha euro milioni moja kutoka mjini Frankfurt kila mwaka, hutumiwa katika ulinzi wa Serengeti. FZS inatumia fedha hizo kuisaidia Mamlaka ya Mbuga za Wanyamapori ya Tanzania (TANAPA) katika programu zake za mafunzo na uendeshaji, au kuipatia vifa vya ufundi kama vile magari yanayotumiwa na wasimamizi wa mbuga. Bila ushirikiano huu na kujitolea bila kuchoka kwa wahifadhi, wanyama wa Serengeti wangekabiliwa tena na maangamizi.



    Mwandishi: Inga Sieg

    Tafsiri: Iddi Ssessanga

    Kamera na Picha: Axel Warnstedt

    Sauti: Moritz Polomski

    Uhariri: Klaudia Begic
    DW News

    Posted by Editor on 15:17. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

    0 comments for DOCUMENTARY VIDEO: Serengeti - Safari kuelekea kusikojulikana

    Post a Comment

    Photo Gallery

    Designed by Solaranlagen | with the help of Bed In A Bag and Lawyers