EAST AFRICAN NEWS

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA MPAKANI MJINI MUTUKULA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Y...

10 Nov 2017 | 0 comments | Read more

WATANZANIA WANG'ARA SHINDANO LA MWANDISHI BORA WA SAYANSI NA KILIMO AFRIKA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Uganda na Mjumbe wa Bodi ya ASARECA, Dr. Ambrose Agona (kushoto), akimkabidhi cheti Mwand...

29 Sep 2017 | 0 comments | Read more
ENTERTAINMENT NEWS

WAZIRI MWAKYEMBE AUDHURIA TAMASHA LA JAMAFEST NCHINI UGANDA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akipokelewa na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ugand...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI (TASUBA) PAMOJA NA SHORT STATURE OF KENYA ZIKIONYESHA MAIGIZO TAMASHA LA JAMAFEST

 Kikundi cha burudani ya Uchekeshaji kutoka nchini Kenya maarufu kama Short Stature Society of Kenya kikitoa igizo lake la ku...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

DKT.MWAKYEMBE AMEWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA KWA KUSHIRIKI TAMASHA LA JAMAFEST KAMPALA, UGANDA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Utamaduni, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiangalia ngoma ya kiutamaduni iliy...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

WORLD NEWS

TECHNOLOGY

CONGRESS TO SMART DEVICE MAKERS: YOUR SECURITY SUCKS

Four senators propose the "Internet of Things Cybersecurity Improvement Act,"...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

HUAWEI CAME REALLY CLOSE TO SELLING AS MANY PHONES AS APPLE

Apple sold 41 million iPhones in the second quarter, while Huawei's shipments were a...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

SECRET SERVICE WILL REPORTEDLY TEST DRONE FOR TRUMP SECURITY

The Secret Service is looking at whether unmanned aerial vehicles could be use...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

WHAT APPLE'S EARNINGS TELL US ABOUT THE IPHONE 8

The iPhone 7 and 7 Plus may see it's future sibling sooner than many expected.  S...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more
CELEBRITIES NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | 0 comments| Read more

IMPRESSIVE! BEYONCE LOOKS SLENDER IN LOW-CUT DRESS ON SUSHI DATE IN LA WITH JAY Z

Crazy in love: Beyonce looked absolutely fabulous on a sushi date night with husband Jay Z on Wednesday ...

04 Aug 2017 | 0 comments| Read more

BLOODIED JESSICA BIEL SIZZLES IN STEAMY SEX SCENE WITH HER HUNKY ONSCREEN HUSBAND

Bloody: The gimmick of the show is figuring out why this mother and wife decided to stab a man to death in the first place ...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

Share this Post

SPORTS NEWS

JOSEPH KIMWAGA KUKAA NJE MIEZI MINNE BAADA YA UPASUAJI WA GOTI

WINGA wa Klabu ya Azam FC Joseph Kimwaga akiwa katika chumba cha matibabu katika Hospitali ya Vincent Palloti iliyopo jijini ...

06 Sep 2017 | Read more
HEALTH NEWS

PAMOJA NA UNENE LAKINI HAWEZI ACHA KULA

The Brazilian boy, known only as Misael, was born a healthy 6lb 6oz (2.9kg) But every month since, has gained 6lb (3kg), meaning he str...

29 Sep 2014 | Read more
TOP TEN

Top 10 ‘Breaking Bad’ Moments

Ursula Coyote / AMC 10. The ricin’s fate is revealed For all its discussion over the course of the series, ricin had never been ...

08 May 2014 | Read more
FACTS

WACHINA NOMA SANA

 Ukisikia Wachina balaa sasa hii ni moja wapo, Kiwanda Kimojawapo cha China kijulikanacho kwa jina la LandWind kimeibuka na Kutengene...

25 Nov 2014 | Read more
ENVIRONMENT NEWS

A CLIMATE CHANGE INSPIRED PROJECT LAUNCHES IN DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399 ...

04 Aug 2017 | Read more
FASHION

MH. CATHERINE MAGIGE AZINDUA RASMI DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY

. MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Vijana , Mkoa wa Arusha Catherine Magige  leo amezindua rasmi  duka ...

12 Jan 2015 | Read more
HISTORY

MAKALA FUPI: Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua

Meriam Yehya Ibrahim Ishag aliadhibiwa kwa makosa mawili, zinaa na kuas...

28 May 2014 | Read more
TRAGEDY NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | Read more

dailyvideo

Waafrika Kusini wachagua wabunge


Raia Afrika kusini wanapiga kura leo kuwachaguwa wabunge, huki pakiwa hapana shaka kwa mujibu wa utafiti wa maoni ya wapiga kura kwamba chama tawala cha ANC kitaendelea madarakani.
Wahlen Südafrika 2014 Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini
Vituo vya kupigia kura vimefunguliwa tangu alfajiri saa 11 na vitafungwa rasmi saa 1 usiku ambapo matokeo ya kwanza yataanza kufamika kesho mchana.
Huu ni uchaguzi wa bunge wa kwanza ambapo vijana walozaliwa baada ya kumalizika utawala wa ubaguzi, watashiriki.
Baadhi ya wataalamu wanahisi kwamba shauku na umaarufu uliokuweko wakati wa uhai wa Nelson mandela kwa chama hicho huenda ukapunguwa, huku wapiga kura wakifikiria zaidi juu ya kuzorota kwa hali kiuchumi na visa vilivyoukumba muhula wa kwanza wa rais Jacob Zuma ikiwa ni pamoja na rushwa miongoni mwa vigogo serikalini.
Ni raia milioni 25,3 watakao wachaguwa wabunge 400 ambao ambao hapo mei 21 watamchaguwa rais wa nchi hiyo.
Akiwa na umri wa miaka 72 rais Jacob Zuma atanarajia kuchaguliwa kwa muhla mwingine wa miaka 5.
Uchaguzi wa kutatanisha
Uchaguzi huu umetajwa kama wa " kutatanisha zaidi " katika kipindi cha miaka 20 ya nyuma, alisema Lizette Lancaster mtaalam kwenye taasisi ya utafiti wa usalama. Na kwamba walitarajia " ANC kitapoteza uwanja wake".
Mpinzani mkuu wa chama ANC, muungano wa kidemokrasia Democratic alliance ,ulipata kura 16, 7 katika uchaguzi wa 2009, licha yakusonga mbele tangu wakati huo, lakini kinazingatiwa kama kituvu chake ni chama cha wazungu.
Changamoto nyingine kwa chama ANC, ni kutoka chama cha ukombozi wa kiuchumi EFF kinacho ongozwa na mkuu wa zamani wa tawi la vijana wa ANC Julius Malema, ambaye alifikia hata kuvaa kofia nyekundu akimuigiza rais wa zamani msosialisti wa Venezuela , hayati Hugo Chaves.
Julius Malema na chama chake kipya katika siasa za afrika kusini aweka mbele utaifa, na kuahidi kutaifa sekta kama benkim na madini na kupokonya mali za wazungu wenye kumiliki mashamba makubwa pasina kulipa fidia, na kugawa upya utajiri wa nchi kwa namna iliyo sawa.
Jana Malema aliwahutubia wachimba migodi waliyo mgomoni tangu januari. katika maeneo ya kakszini. " Kama hamtopiga kura chama ANC kitasalia madarakani" Hata kama mko mgomoni lazima kesho mwende kupiga kura hata kama mko mgomoni, hatima ya nchi hii iko mikononi mwenu, alisisitiza kiongozi huyo kijana ".
Hadi kwenye saa za mwisho jana viongozi wa usalama walikuwa wakitowa mwito ya utulivu kwenye siku hii ya uchaguzi, wakati maandamano yenye ghasia yalivikumba vitongoji na mitaa inayo kaliwa na watu wengi masikini hususan Johannesburg.
Afrika kusini imesalia nchi isiyo na usawa licha ya kumalizika utawala wa ubaguzi, ambapo wazungu waanapokea mara 6 zaidi ya raia weusi. Pia hawakabiliwi na ukosefu ajira kama ilivyo kwa weusi na wakipata elimu ambayo weusi hawaipati.
Ikiwa na ukuwaji unao kadiriwa sawa na asilimia 3, 3 katika miaka 20 ya nyuma Afrika kusini bado iko mbali na kutimiza mkakati wa kuwapatia ajira mamilioni ya raia wake wasio na kazi.
Mwandishi/ Amida ISSA
Mhariri / Mohammed Abdul-Rahman

DW Swahili

Posted by Editor on 15:26. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for Waafrika Kusini wachagua wabunge

Post a Comment

Photo Gallery

Designed by Solaranlagen | with the help of Bed In A Bag and Lawyers