Share this Post

dailyvideo

"Mimi pia ni binaadamu, nina hisia" , Hajawahi kutembelewa na Ndugu zake.


Mbiu ya Mnyonge inasimulia hadithi ya mtoto Hassani na wenzake wenye ulemavu wa ngozi kwenye kituo cha Skuli Maalum ya Msingi ya Buhangija, Tanzania, wakisema nao pia ni wanaadamu, wana hisia, wana ndoto na wana roho.
Mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Henry, akiangalia televisheni na ndugu zake. Mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Henry, akiangalia televisheni na ndugu zake.
Kwa mwaka wa tano sasa, mvulana Hassani Hamisi mwenye umri wa 16 amehifadhiwa kwenye Skuli Maalum ya Msingi ya Buhangija, lakini - kama walivyo wenzake kadhaa miongoni mwa watoto 176 wenye ulemavu wa ngozi kituoni hapo - hajawahi kutembelewa na mzazi wake.
Mohammed Khelef anaangazia jaala ya watoto hao ambayo ni kielelezo cha mchanganyiko wa hofu na matumaini.
Mwandishi: Mohammed Khelef
Mhariri: Mohamed Abdul-Rahman


DW SWAHILI

Posted by Editor on 11:09. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for "Mimi pia ni binaadamu, nina hisia" , Hajawahi kutembelewa na Ndugu zake.

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery