EAST AFRICAN NEWS

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA MPAKANI MJINI MUTUKULA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Y...

10 Nov 2017 | 0 comments | Read more

WATANZANIA WANG'ARA SHINDANO LA MWANDISHI BORA WA SAYANSI NA KILIMO AFRIKA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Uganda na Mjumbe wa Bodi ya ASARECA, Dr. Ambrose Agona (kushoto), akimkabidhi cheti Mwand...

29 Sep 2017 | 0 comments | Read more
ENTERTAINMENT NEWS

WAZIRI MWAKYEMBE AUDHURIA TAMASHA LA JAMAFEST NCHINI UGANDA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akipokelewa na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ugand...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI (TASUBA) PAMOJA NA SHORT STATURE OF KENYA ZIKIONYESHA MAIGIZO TAMASHA LA JAMAFEST

 Kikundi cha burudani ya Uchekeshaji kutoka nchini Kenya maarufu kama Short Stature Society of Kenya kikitoa igizo lake la ku...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

DKT.MWAKYEMBE AMEWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA KWA KUSHIRIKI TAMASHA LA JAMAFEST KAMPALA, UGANDA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Utamaduni, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiangalia ngoma ya kiutamaduni iliy...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

WORLD NEWS

TECHNOLOGY

CONGRESS TO SMART DEVICE MAKERS: YOUR SECURITY SUCKS

Four senators propose the "Internet of Things Cybersecurity Improvement Act,"...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

HUAWEI CAME REALLY CLOSE TO SELLING AS MANY PHONES AS APPLE

Apple sold 41 million iPhones in the second quarter, while Huawei's shipments were a...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

SECRET SERVICE WILL REPORTEDLY TEST DRONE FOR TRUMP SECURITY

The Secret Service is looking at whether unmanned aerial vehicles could be use...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

WHAT APPLE'S EARNINGS TELL US ABOUT THE IPHONE 8

The iPhone 7 and 7 Plus may see it's future sibling sooner than many expected.  S...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more
CELEBRITIES NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | 0 comments| Read more

IMPRESSIVE! BEYONCE LOOKS SLENDER IN LOW-CUT DRESS ON SUSHI DATE IN LA WITH JAY Z

Crazy in love: Beyonce looked absolutely fabulous on a sushi date night with husband Jay Z on Wednesday ...

04 Aug 2017 | 0 comments| Read more

BLOODIED JESSICA BIEL SIZZLES IN STEAMY SEX SCENE WITH HER HUNKY ONSCREEN HUSBAND

Bloody: The gimmick of the show is figuring out why this mother and wife decided to stab a man to death in the first place ...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

Share this Post

SPORTS NEWS

JOSEPH KIMWAGA KUKAA NJE MIEZI MINNE BAADA YA UPASUAJI WA GOTI

WINGA wa Klabu ya Azam FC Joseph Kimwaga akiwa katika chumba cha matibabu katika Hospitali ya Vincent Palloti iliyopo jijini ...

06 Sep 2017 | Read more
HEALTH NEWS

PAMOJA NA UNENE LAKINI HAWEZI ACHA KULA

The Brazilian boy, known only as Misael, was born a healthy 6lb 6oz (2.9kg) But every month since, has gained 6lb (3kg), meaning he str...

29 Sep 2014 | Read more
TOP TEN

Top 10 ‘Breaking Bad’ Moments

Ursula Coyote / AMC 10. The ricin’s fate is revealed For all its discussion over the course of the series, ricin had never been ...

08 May 2014 | Read more
FACTS

WACHINA NOMA SANA

 Ukisikia Wachina balaa sasa hii ni moja wapo, Kiwanda Kimojawapo cha China kijulikanacho kwa jina la LandWind kimeibuka na Kutengene...

25 Nov 2014 | Read more
ENVIRONMENT NEWS

A CLIMATE CHANGE INSPIRED PROJECT LAUNCHES IN DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399 ...

04 Aug 2017 | Read more
FASHION

MH. CATHERINE MAGIGE AZINDUA RASMI DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY

. MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Vijana , Mkoa wa Arusha Catherine Magige  leo amezindua rasmi  duka ...

12 Jan 2015 | Read more
HISTORY

MAKALA FUPI: Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua

Meriam Yehya Ibrahim Ishag aliadhibiwa kwa makosa mawili, zinaa na kuas...

28 May 2014 | Read more
TRAGEDY NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | Read more

dailyvideo

Wamalawi waendelea kusubiri

Tume ya uchaguzi ya Malawi inaendelea na zoezi la kuhesabu upya kura, katika jitihada za kuonyesha kuwa nchi hiyo inaweza kuutatua mgogoro mkubwa wa kisiasa kwa kufuata katiba ili kunusuru demokrasia yake changa.
Malawi Präsidentin Joyce Banda Rais Joyce Banda
Tangu kufanyika kwa uchaguzi huo uliogubikwa na machafuko wiki iliyopita, rais wa sasa Joyce Banda amejaribu kuibatilisha kura hiyo, lakini jitihada zake ziligonga mwamba mbele ya mahakama.
Rais Banda anadai kuwa kura hiyo iligubikwa na mapungufu makubwa, na kutaka uitishwe uchaguzi mpya ndani ya siku 90, akisema kuwa hatashiriki uchaguzi huo mpya. Lakini haikuwa bayana iwapo anayo mamlaka ya kikatiba kuchukua hatua kama hiyo, na mahakama iliamuru zoezi la kuhesabu kura liendelee.
Wapigakura walivyopanga foreni kutumia haki ya kikatiba kuchagua viongozi. Wapigakura walivyopanga foreni kutumia haki ya kikatiba kuchagua viongozi.
Uhakiki kura kuchukuwa siku 30
Mkuu wa tume ya uchaguzi Maxon Mbedera aliwataka Wamalawi jana kuwa watulivu, na kuongeza kuwa zoezi la uhakiki wa kura litachukuwa hadi siku 30.
Mbendera alisema asilimia 95 ya matokeo yalikuwa tayari yamerikodiwa na karibu malalamiko 100 kati ya 275 yaliyopokelewa ilikuwa lazima yashughulikiwe.
Katika baadhi ya maeneo, idadi ya kura zilizopigwa inaripotiwa kuwa kubwa kuliko idadi ya wapiga kura wenyewe. Mbendera alisema matokeo kutoka vituo vinavyolalamikiwa yametengwa na wanayakagua kwa umakini kuangalia kasoro zilizopo.
Kiongozi wa upinzani Peter Mutharika, ambaye siku ya Ijumaa baada ya theluthi moja ya kura kuhesabiwa alikuwa anaongoza kwa asilimia 42 ya matokeo yasiyo rasmi, alipinga kuhesabiwa upya kwa kura, na kumuelezea rais Banda kama mfa maji.
"Kwanza kabisaa alitaka kura zehesabiwe kwa mkono, nafahamu, na sasa amebadilisha kwa kutaka kufuta uchaguzi kama unavyojua chama chake cha PP kinataka kuwapiga watu mitaani, sijui kwa nini na sioni haja ya maandamano, kwanza waandamana dhidi ya nani?," alisema bwana Mutharika.
Siku ya Jumamosi Mutharika aliepuka kujitangazia ushindi lakini alidai kuwa umma umezungumza na kwamba uchaguzi huo ulikuwa wa haki na wa kuaminika.
Wafuasi wa Banda kwa upande mwingine, wanaamini uchaguzi huu haukuwa wa haki, na wanahofu kuwa ndugu huyo wa marehemu rais Bingu Mutharika anaweza kuwa anajaribu kupora madaraka.
Mpinzani mkuu wa Banda, Peter Mutharika (k) akiwasalimia wafuasi wake. Mpinzani mkuu wa Banda, Peter Mutharika (k) akiwasalimia wafuasi wake.
Taasisi za serikali zasifiwa
Umoja wa Mataifa, Umoja wa Ulaya na Marekani zimetoa wito wa kuwepo na utulivu. Msemaji wa wizara ya mambo ya kigeni ya Marekani Marie Harf alisema katika taarifa kuwa Marekani inaungana na jamii ya kimataifa kutoa wito wa utulivu wakati ambapo tume ya uchaguzi ya Malawi ikiendelea kuhakiki kura na kutatua changamototo zozote na malalamiko.
Wachambuzi wameisifu tume ya uchaguzi ya Malawi na taasisi nyingine kwa namna zilivyoshughulikia mgogoro huo, ambao unaweza kuwa ndiyo mkubwa zaidi tangu nchi hiyo ilipopata uhuru wake mwaka 1963.
Mwangalizi kutoka kituo cha Sheira na haki za binaadamu cha Robert F. Kennedy chenye makao yake mjini Washington, Jeffrey Smith, alisema licha ya changamoto na wasiwasi uliyojitokeza, Malawi imeonyesha tena kwamba ina taasisi imara, zinazoheshimika na zisizoegemea upande.
Mwandishi: Iddi Ssessanga/afpe Mhariri: Josephat Charo

DW Swahili

Posted by Editor on 11:06. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for Wamalawi waendelea kusubiri

Post a Comment

Photo Gallery

Designed by Solaranlagen | with the help of Bed In A Bag and Lawyers