EAST AFRICAN NEWS

RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA BOMBA LA MAFUTA GHAFI, WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA MPAKANI MJINI MUTUKULA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Y...

10 Nov 2017 | 0 comments | Read more

WATANZANIA WANG'ARA SHINDANO LA MWANDISHI BORA WA SAYANSI NA KILIMO AFRIKA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Uganda na Mjumbe wa Bodi ya ASARECA, Dr. Ambrose Agona (kushoto), akimkabidhi cheti Mwand...

29 Sep 2017 | 0 comments | Read more
ENTERTAINMENT NEWS

WAZIRI MWAKYEMBE AUDHURIA TAMASHA LA JAMAFEST NCHINI UGANDA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akipokelewa na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ugand...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI (TASUBA) PAMOJA NA SHORT STATURE OF KENYA ZIKIONYESHA MAIGIZO TAMASHA LA JAMAFEST

 Kikundi cha burudani ya Uchekeshaji kutoka nchini Kenya maarufu kama Short Stature Society of Kenya kikitoa igizo lake la ku...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

DKT.MWAKYEMBE AMEWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TANZANIA KWA KUSHIRIKI TAMASHA LA JAMAFEST KAMPALA, UGANDA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Utamaduni, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiangalia ngoma ya kiutamaduni iliy...

14 Sep 2017 | 0 comments| Read more

WORLD NEWS

TECHNOLOGY

CONGRESS TO SMART DEVICE MAKERS: YOUR SECURITY SUCKS

Four senators propose the "Internet of Things Cybersecurity Improvement Act,"...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

HUAWEI CAME REALLY CLOSE TO SELLING AS MANY PHONES AS APPLE

Apple sold 41 million iPhones in the second quarter, while Huawei's shipments were a...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

SECRET SERVICE WILL REPORTEDLY TEST DRONE FOR TRUMP SECURITY

The Secret Service is looking at whether unmanned aerial vehicles could be use...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

WHAT APPLE'S EARNINGS TELL US ABOUT THE IPHONE 8

The iPhone 7 and 7 Plus may see it's future sibling sooner than many expected.  S...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more
CELEBRITIES NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | 0 comments| Read more

IMPRESSIVE! BEYONCE LOOKS SLENDER IN LOW-CUT DRESS ON SUSHI DATE IN LA WITH JAY Z

Crazy in love: Beyonce looked absolutely fabulous on a sushi date night with husband Jay Z on Wednesday ...

04 Aug 2017 | 0 comments| Read more

BLOODIED JESSICA BIEL SIZZLES IN STEAMY SEX SCENE WITH HER HUNKY ONSCREEN HUSBAND

Bloody: The gimmick of the show is figuring out why this mother and wife decided to stab a man to death in the first place ...

03 Aug 2017 | 0 comments| Read more

Share this Post

SPORTS NEWS

JOSEPH KIMWAGA KUKAA NJE MIEZI MINNE BAADA YA UPASUAJI WA GOTI

WINGA wa Klabu ya Azam FC Joseph Kimwaga akiwa katika chumba cha matibabu katika Hospitali ya Vincent Palloti iliyopo jijini ...

06 Sep 2017 | Read more
HEALTH NEWS

PAMOJA NA UNENE LAKINI HAWEZI ACHA KULA

The Brazilian boy, known only as Misael, was born a healthy 6lb 6oz (2.9kg) But every month since, has gained 6lb (3kg), meaning he str...

29 Sep 2014 | Read more
TOP TEN

Top 10 ‘Breaking Bad’ Moments

Ursula Coyote / AMC 10. The ricin’s fate is revealed For all its discussion over the course of the series, ricin had never been ...

08 May 2014 | Read more
FACTS

WACHINA NOMA SANA

 Ukisikia Wachina balaa sasa hii ni moja wapo, Kiwanda Kimojawapo cha China kijulikanacho kwa jina la LandWind kimeibuka na Kutengene...

25 Nov 2014 | Read more
ENVIRONMENT NEWS

A CLIMATE CHANGE INSPIRED PROJECT LAUNCHES IN DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399 ...

04 Aug 2017 | Read more
FASHION

MH. CATHERINE MAGIGE AZINDUA RASMI DUKA LA ZURII HOUSE OF BEAUTY

. MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Vijana , Mkoa wa Arusha Catherine Magige  leo amezindua rasmi  duka ...

12 Jan 2015 | Read more
HISTORY

MAKALA FUPI: Mwanamke aliyehukumiwa kifo Sudan ajifungua

Meriam Yehya Ibrahim Ishag aliadhibiwa kwa makosa mawili, zinaa na kuas...

28 May 2014 | Read more
TRAGEDY NEWS

JOCKTAN MAKEKE KUSHIRIKI MAONESHO YA UTAMADANI NCHINI NIGERIA

 Mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini, Tanzania Devotha Mdachi  akikabidhiwa bendera Msanii wa mitindo, Jocktan...

09 Sep 2017 | Read more

dailyvideo

Viongozi wa Umoja wa ulaya wakutana kwa dharura Brussels


Viongozi wa Umoja wa Ulaya wanakutana kwa dharura mjini Brussels kusaka jibu litakalotuliza hofu zilizojitokeza wakati wa uchaguzi wa bunge la Ulaya Jumapili iliyopita na kupelekea makundi ya siasa kali kupata nguvu
KItambulisho cha Umoja wa Ulaya
"Wakati umewadia wa kurekebisha sera za Ulaya" ameshadidia waziri mkuu wa Italia Matteo Renzi. Akijivunia ushindi mkubwa wa mrengo wa kati kushoto nchini mwake wakati wa uchaguzi wa bunge la Ulaya,dhidi ya chama cha Beppe Grillo anaeuangalia kwa jicho la wasi wasi Umoja wa Ulaya,na kumvunja nguvu Silvio Berlusconi na chama chake cha mrengo wa kulia,Renzi anataka lipatikane jibu la haraka.Anataka kuitumia zamu yake kama mwenyekiti wa Umoja wa ulaya,kuanzia julai mosi ijayo,kuanzisha mikakati inayohitajika.
Waziri mkuu wa Italia atahitaji lakini uungaji mkono wa viongozi wenzake pamoja pia na ule wa kansela Angela Merkel wa Ujerumani ambao bado si dhahir.
"Kupata nguvu makundi yanayoupinga umoja wa ulaya ni jambo la kusikitisha-kilichobakia ni kuwazinduwa wapiga kura kupitia sera zitakazopalilia mashindano ya kiuchumi,zitakazochochea ukuaji wa kiuchumi na kubuni nafasi zaidi za kazi-hilo likiwa jibu bora zaidi kwa hasira za wapigakura." Amesema kansela Angela Merkel.
La muhimu anahisi waziri mkuu wa Italia ni kuwachagua viongozi wepya wa Umoja wa Ulaya ili kuweza kupanga ratiba ya mikakati itakayosaidia kubuni nafasi zaidi za kazi na kushughulikia wimbi la wakimbizi.
Malengo yanatofautiana na kiongozi huyo kijana wa Italia atajaribu kutafuta uungaji mkono wa rais Francois Hollande wa Ufarasa.Lakini kiongozi huyo wa kasri la Elysee anafika Brussels akiwa katika hali ya unyonge,akidhoofishwa kwa ushindi mkubwa wa chama cha siasa kali za mrengo wa kulia Front National FN.Chama hicho kinachoongozwa na wakili Marine Le Pen kinataka kulazimisha sera zake zifuatwe na hasa kuhusu suala la uhamiaji.
Mageuzi ya sera za umoja wa ulaya hayawezekani kabla ya kwanza kuteuliwa mwenyekiti wa halmashauri kuu ya umoja wa Ulaya.
Waziri mkuu wa Zamani wa Luxemburg Jean-Claude Juncker anaepigania kuwa mwenyekiti wa halmashauri kuu ya Umoja wa Ulaya
Wakuu wa makundi ya kisiasa yanayowakilishwa katika bunge la Ulaya wamekutana hii leo mjini Brussels na kuwatolea wito viongozi wa Umoja wa Ulaya wamwachie mgombea wa wahafidhina waziri mkuu wa zamani wa Luxembourg,Jean-Claude Juncker atafute wingi wa viti 376 kuweza kuteuliwa mwenyekiti wa halmashauri kuu ya Umoja wa Ulaya.Chama chake cha wahafidhina wa Ulaya kimejikingia viti 213-kinahitaji angalao viti 60 kuweza kuteuliwa kushika nafasi itakayoachwa na Jose Manuel Barroso.
Viongozi wa Umoja wa Ulaya watalizungumzia suala la nani ateuliwe kumrithi Barroso katika kikao chao leo usiku mjini Brussels.
Mwandishi:Hamidou Oummilkheir/AFP
Mhariri: Josephat Charo

DW SWAHILI

Posted by Editor on 11:01. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for Viongozi wa Umoja wa ulaya wakutana kwa dharura Brussels

Post a Comment

Photo Gallery

Designed by Solaranlagen | with the help of Bed In A Bag and Lawyers