PICHA: Google kuunda magari yanayojiendesha
Kampuni ya Teknologia ya Google imesema itaanza kutengeneza magari yasiyohitaji madereva .
Kampuni hiyo ambayo imejijengea sifa kwa njia ya
kipekee ya utendakazi wake katika sekta ya kiteknolojia imekuwa
ikikarabati magari ya kawaida.Google imesambaza picha ya gari hilo ambalo inasema ni la kutumiwa mijini na linapaswa kuwa chambo kwa wale ambao bado hawana imani na teknolojia hii ya hali ya juu.
Brin alisema kuwa teknolojia hiyo inauwezo mkubwa wa kuimarisha maisha ya watu .
Watafiti wa magari yanayojiendesha yenyewe bado wanajadili iwapo kuwepo kwa magari hayo mabarabarani yatakuwa na upungufu wowote ikiwemo dhana kuwa itachangia ongezeko la msongamano wa magari .
BBC SWAHILI
Posted by Editor
on 10:55.
Filed under
technology
.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0