RACHEL HAULE MSANII WA BONGO MOVIE KUAGWA LEADERS CLUB NA KUZIKWA KESHO.
Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399
Steve Nyerere akijadili jambo na wasanii wenzake
Msanii
wa filamu Rachel Haule aliyefariki usiku wa kuamkia jana katika
hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam anatarajiwa kuagwa siku
kesho Alhamis katika viwanja vya Leaders Club na kuzikwa siku hiyohiyo
katika makaburi Kinondoni.
Akizungumza
na mtandao huu jana mwenyekiti wa bongomovie Steve Nyerere amesema kuwa
bado wapo kwenye mikakati ya kukusanya michango itakayosaidia shughuli
hiyo.
“Tulikuwa
tunachangishana pesa ili kuwezesha suala la msiba,tunashukuru Mungu
mambo yameenda salama, suala la kuaga ,tutaaga siku ya alhamisi pale
Leaders na baada ya hapo tutaelekea katika makaburi ya Kinondoni kwenda
kumzika ndugu yetu, “alisema.
Posted by Editor
on 14:33.
Filed under
celebritiesnews
.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0