Share this Post

dailyvideo

DIAMOND AKUBALI MATOKEO YA BET AWARDS 2014 SOMA ALICHO KIANDIKA HUKO INSTAGRAM

Ikiwa unatukio Lolote au Habari yoyote usisite kututumia kupitia Barua Pepe blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba yetu +255765056399

"Tusipopenda
kukubali Matokeo na Ushindi wa Wenzetu basi Daima Hatutaweza kuwa
Washindani....Muhimu ni kujua wapi tulipotoka na Wapi tulipo Leo...
Katika Nchi zaidi ya 20 zenye wasanii zaidi ya Million 40, kuchaguliwa
Tanzania ni fursa, Heshima na Hatua kubwa... Cha Muhimu ni kuitumia
vyema Fursa Hii na Kuhakikisha Mwakani tunapiga Hatua Zaidi!.... Asante
sana kwa wote wanaozidi kuni support kwa hali na Mali, Mapambano ndio
kwaaaanza yanaanza sasa.....!!!!!!
@wcb_wasafi For Life Baby 💪👊😁"

Diamond alikuwa kwenye kipengele cha BEST AFRICAN ACT , tuzo hiyo imenyakuliwa na msanii Davido kutoka nigeria


Posted by Editor on 16:58. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for DIAMOND AKUBALI MATOKEO YA BET AWARDS 2014 SOMA ALICHO KIANDIKA HUKO INSTAGRAM

Post a Comment

Recent Entries

Recent Comments

Photo Gallery